Mwanangu we niombee tu kale kadogo kamenipa sumu nikiwaona wa size yake mwili unachemka
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hii mbaya Sana ..halafu sijui inakuwaga aje yaani ukitembea na jimama Basi unakuwa unasumbuliwa na mimama tu...ukitembea na vitoto pia inakuwa hivyo hivyo Daahh [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Aisee [emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] yaani umeshatomba halafu unatuambia sie tujitafakari ... Brother mind your own business tuache tufaidi mema yanchi
 
Duuuuhh [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3] incidence nyingine hizi daahhh [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
ndo maana kila siku nasema ntakosa nyumba ila gari lazma,ntalala njaa ila perfume ya gharama ntanunua.katika watu wanaopenda kunukia nukia na kuning'iniza funguo na mm nimo.
Mimi napenda kunukia lakini kuning'iniza funguo sipendi
 
NILIVYOMLA KIMASIHARA ASKARI WA KIKE WA IDDY AMIN KATIKA VITA NA UGANDA ...
Mm sio muhadithiaj mzur lakin nitaeleza tukio livyokuwa kidgo stay narudi.....
 
KIMASIHARA GOES WRONG[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]




Enzi hizo naishi kwa bro wangu morogoro yani Aisee acha tuu kiukweli ni noma sana ukichukulia kila mazingira unaweza kulaa tunda yani kuna Point unaweza haribu kazi yani mpaka ukajuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kiukweli wadada wa kazi ni changamoto sana yani hawakai kabisa unampata leo kesho anaondoka na kiukweli huwaga sina tabia ya kuwa na mazoea na wadada wa kazi kabisa wakiondoka ni kwa sababu zao tu sio kwamba Nimewatongoza hapana. Lakini kuna kipindi kwa bro alikuja beki tatu jamani hapanaa Ilibidi tu nimuulize bro imekuwaje kapata Beki tatu shombeshombe au ni Mchepuko wake??? Bro akasema hapana bhana huyu shida tu za maisha zimemleta hapa maana hata kumpata nilimpata Mtandaoni... Yule dada ni mnyamwezi ila ana asili ya ushombeshombe ni mweupe hasa na unywele wa kiarabu hivi sasa bhna kumbe kaja kufanya kazi za ndani bhasi tuu sababu ashahangaika sana na maisha ila sio kwamba anapenda.


Picha linaanza anaomba namba yangu mimi nikajua hapa tayari tukawa tunachat sijui vip nikuachie chakula mara leo unakuja kula mchana??? Mmmh nikasema huyu nishamlaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Siku hiyo bro na shem walitoka pamoja na mtoto wao mimi nimerudi namkuta beki tatu mwenyewe aisee si nkasema hii ndo nafasi. Nikamfata alipokuwa anapika nikamshika kwa nyuma aisee alishtuka me nkamwmabia usiogope ni mimi akasema why unanishika??? Nkasema nlikumiss eehe nkashangaa anasema pumbavu sitaki mazoea ya kijinga[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] Duu nkasema leo vimeumana dada wa kazi ana confidence kiasi hichi sikuamini wakuu ikabidi nimuombe msamaha. Lakini nikashangaa ameingia chumbani ghafla nikajua labda nimfate nimbembeleze wee nmafata nakuta amebeba begi lake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ooho yupo serious anataka kusepa yani. Kiukweli nikajua huyu demu hii kazi aliichoka sema mimi ndo chambo nkamwambia bhasi subiri kaka aje umuage akasema Alidhani anakuja kufanya kazi za ndani kwa amani kumbe hamna tofauti na kujiuza kiukweli nilijisikia vibaya. Nikatoa hela nimpe akarusisha.. Ikabdi nimpishe apite akasepa zake bro na shem wamerudi wanashangaa mtu hayupo wakimpigia wamuulize nini shida akawaambia waniulize mimi mamaeee... Shem alimind sana yani maana anahangaika kupata wadada wa kazi kumbe mimi ndo chanzo wanasepa lakini sio kweli yule fala ndo aliniharibia[emoji3][emoji3][emoji3] Bro alionekana amemind sana ila baadae baada ya shem kusepa alicheka sanaaa yanii akasema nilijua tu demu mwenyewe sio level za beki tatu hasa kwa familia zetu za kibongo hizi so sio Kesi.

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uligeuzwa tatizo la beki 3 kuacha kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…