Wewe ndo unajidanganya , nani Siku hizi anafanya group organised crime kijinga hivo? Ujambazi wenyewe umepungua sana kwa sababu watu wananaswa kwenye hatua za mwanzo kabisa kabla ya tukio, halafu ndo Kuorganise group ya kufumania amabyo inaweza geuka fatal anytime ?Mnajidanganya sana anyway subiri wakati ufike halafu uone kisu au bisbis kama itakuja kuwa msaada.
Dogo waziri mzima pamoja na kuwa na bastola lakn haikufaa akawekwa mtu kati mpaka polisi ndio walimuokoa. Ww unaongelea kisu na bisbis. Hahahaa hujakutana na shababi
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maswala ya kufumania sasa hivi ni magumu sana kwa sababu yanaangukia kwenye jinai moja kwa moja , vijana bado wanakariri either kwa kudanganyana au kutokukujua. Unless hiyo mission ifanywe na mtu mmoja which is extremely dangerous .We jaribu ingia kumi na name yangu .
Soon sikucheleweshi nahakikisha unaimbiwa mapambio siku hiyo .
Huyo waziri ni fala alipaswa awatengue hata magoti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii sui vita sasa khaaahYessss..hii ndo kanuni yangu pendwa! Awe mke wa mtu au demu, uwe guest au geto, akizama ndichi tu shart la kwanza Ni ZIMA SIMU.
Kingine,nikiingia guest na mwanamke , awe dem au mke wa mtu naingia na vitu vifuatavyo
a) kisu Cha kukunja
b) bisbis
c) lighter (kiberiti Cha gesi)
Ukija kunifumania hakikisha unani-time kisawa sawa, ukizembea imekula kwako!! Mkija wengi nakufa na mmoja.
Siingiagi guest kiboya!!!
Unajua mwanagu kufumaniwa ukapaniki inatokea pale unapoingia ndani huku huna awareness kuwa lolote laweza kutokea, ndo pale inapotokea ukagongewa mlango unapaniki ghafla.Haya maswala ya kufumania sasa hivi ni magumu sana kwa sababu yanaangukia kwenye jinai moja kwa moja , vijana bado wanakariri either kwa kudanganyana au kutokukujua. Unless hiyo mission ifanywe na mtu mmoja which is extremely dangerous .
Unamsemea yule waziri...... Au?Mnajidanganya sana anyway subiri wakati ufike halafu uone kisu au bisbis kama itakuja kuwa msaada.
Dogo waziri mzima pamoja na kuwa na bastola lakn haikufaa akawekwa mtu kati mpaka polisi ndio walimuokoa. Ww unaongelea kisu na bisbis. Hahahaa hujakutana na shababi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya nini kujiami na mavitu yote hayo, ni kwanini hamujiaminiYessss..hii ndo kanuni yangu pendwa! Awe mke wa mtu au demu, uwe guest au geto, akizama ndichi tu shart la kwanza Ni ZIMA SIMU.
Kingine,nikiingia guest na mwanamke , awe dem au mke wa mtu naingia na vitu vifuatavyo
a) kisu Cha kukunja
b) bisbis
c) lighter (kiberiti Cha gesi)
Ukija kunifumania hakikisha unani-time kisawa sawa, ukizembea imekula kwako!! Mkija wengi nakufa na mmoja.
Siingiagi guest kiboya!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwisho wa siku mtaanza kusema tupo nyuma hta kuliwa ndogo mamaeeeee zenu kenge nyie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jaribu ingia kumi na name yangu .
Soon sikucheleweshi nahakikisha unaimbiwa mapambio siku hiyo .
Huyo waziri ni fala alipaswa awatengue hata magoti
Achana na stori za vijiweni hizoMnajidanganya sana anyway subiri wakati ufike halafu uone kisu au bisbis kama itakuja kuwa msaada.
Dogo waziri mzima pamoja na kuwa na bastola lakn haikufaa akawekwa mtu kati mpaka polisi ndio walimuokoa. Ww unaongelea kisu na bisbis. Hahahaa hujakutana na shababi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mie nashangaa, sasa raha na starehe iko wapi, yaan inakua vita baridi lol.
Yaani unile kiboga halafu nikuache hivi .Haya maswala ya kufumania sasa hivi ni magumu sana kwa sababu yanaangukia kwenye jinai moja kwa moja , vijana bado wanakariri either kwa kudanganyana au kutokukujua. Unless hiyo mission ifanywe na mtu mmoja which is extremely dangerous .
Kwani tumeambiwa kufurahisha mkuuWala haujafurahisha,
Usijidanganye ww, unapotengenezewa fumanizi watu wanakuwa wamejiandaa na wanakuwa na hasira kuliko zako.Toa namba za mkeo halafu uje unifumanie, halafu uone nitakachokufanya!
Wewe ndo unajidanganya , nani Siku hizi anafanya group organised crime kijinga hivo? Ujambazi wenyewe umepungua sana kwa sababu watu wananaswa kwenye hatua za mwanzo kabisa kabla ya tukio, halafu ndo Kuorganise group ya kufumania amabyo inaweza geuka fatal anytime ?
Yaani hata hueleweki.. Kama hujui uliza uelezwe. Ipi unayosema story ya kijiweni
Ndugu yangu mimi niliwahi kula kimasihara mtuhumiwa wa ugaidi, sio haya mataputapu ya chuoToka hapa uongo tyuuh, ki masikhara mnawaokota hawa wa vyuoni. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo huyo alikuwa anamgongea jamaa mmoja tena ndani ya nyumba ya jamaa. Siku ikafika mwenye mke akapata nyepesi kuwa kigogo anamtafunia jamaa akasuka mpango waziri akajaa. Waziri alihaha hatari hata kuitumia bastola alishindwaUnamsemea yule waziri...... Au?
Muongo wewee, hakuna lolote.Ndugu yangu mimi niliwahi kula kimasihara mtuhumiwa wa ugaidi, sio haya mataputapu ya chuo
Watu hawajui vizuri kuhusu kufumaniwa, yaan hata uwe mjeda ukiwa ktk kufumaniwa unakua mdogo km priton.Huyo huyo alikuwa anamgongea jamaa mmoja tena ndani ya nyumba ya jamaa. Siku ikafika mwenye mke akapata nyepesi kuwa kigogo anamtafunia jamaa akasuka mpango waziri akajaa. Waziri alihaha hatari hata kuitumia bastola alishindwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini boss unasema ivyo?Ujue mi nashangaaga sana watu wanang'ang'ania kupima, ili iweje sasa?