Kwahyo hamleti tena visa vya kimasihara mmebaki kututisha na Mambo ya Fumanizi au?

Huwa siogopi fumanizi hata iweje maana najua ukishafika hatua ile unaweka maisha yako rehani ivyo kubali llte linaweza tokea Kufa au Kuua. Kujeruhiwa au Kujeruhi. Kuliwa au Kula.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza trend iliyopo sasa sio ya kuamini wanawake , chances za kuokota mwanamke asiye na mume au rafiki wa kiume ni very slim to none .unless uchukue mwanfunzi which is not my cup of tea
 
Yaani unile kiboga halafu nikuache hivi .

Mi nakula chako skuachi mzee[emoji1787]

Kama ulikoddi watu na Mimi nakodi watu wakukule [emoji1787] sio ishu ya hela tu [emoji1]

Labda uniue on the scene.

Otherwise the saga continue
Mkuu piga kazi!!!
hivyo vitu havipo tena kwa surveillance ya siku hizi, watu waliokuwa walifanya matukio haya walikuwa linked sana na makundi ya ujambazi ambao kwa sasa umedhibitiwa sana.
 
Mkuu acheni kubisha ukidakwa na mke wa mtu watu wanaweza kula kiboga bila shida? Na ucfifanye chochote... kwanza cku kinachofanyika unapewa warning ukileta ubishi wana kodiwa watu tòka mkoa unatengewa mtego wa demu then wanakuteka unaenda fumuliwa rinda vzr tu na vjana wenyewe wa cku hz wanavyopenda kitonga akiwekewa mtego wa dem mkali na pombe hachomoi
 
Tunaharibu maudhui ya huu uzi kujadili fumanizi , huyo kijana wa kumkodi mkafanye tukio anapatikana wapi ,? Unaelewa kwa nini ujambazi umedhibitiwa ?
Kuna mtu kapewa miaka 30 jela kwa mission kama hiyo na alifumania
 
Ona sasa nimesoma huu ufirauni na niko na mifugo hapa, nini unanihamasisha ndugu yangu, kumamae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…