Hahahaha nashangaa we pacha hadi leo hujaliwa kimasihara..mimi nimekula kimasihara juzi kati na ushuhuda upo hapo juu page iliyopita..ebu kanyegeke kdogo na hiyo story
Mbona sijaona pacha jamanii mmmh
 
HUU UZI SIUSOMI TENA MWEZI HUU KIMASIARA MARA TANO ZOTE KUUZA MECHI DUUU
JANA TU KIMASIARA MWANA SHERIA

nikisema ni adisie nitajaze page kumi
 
We mzee Kama ndio michezo yako kula viboga vya watu just hauko salama hata wewe kitaliwa kwa kisasa .
Ukileta utani kwa wake za watu rinda ilinafumuliwa vzr tu... Tena ww km ndio wale wabishi na wakuleta dharau unapewa warning hutaki kusikia!!! Tunafumua hadi uwe hanithi
 
Hivi unaelewa maana ya mtengo huyo mke wa mtu ndio atafungua mlango na ww utaliwa tu
 
Mkuu hawa watoto hawaelei maana ya umafia...!!! Yani mtu unafumuliwa rinda ukienda polisi kushitaki wenye hoteli wanasema hakuna kitu km hicho kilichotokea kwenye hotel yao na mwanamke anakataa hakuwepo na ww hyo cku, Una kosa ushahidi kabisa
 
Mkuu hawa watoto hawaelei maana ya umafia...!!! Yani mtu unafumuliwa rinda ukienda polisi kushitaki wenye hoteli wanasema hakuna kitu km hicho kilichotokea kwenye hotel yao na mwanamke anakataa hakuwepo na ww hyo cku, Una kosa ushahidi kabisa
Upo sahihi mkuu.
 
Juzi bhna nimechil zangu home Mida kama ya saa3 usiku hivi mara nikaona sms "Mambo" Mi poa nani mwenzangu akaniambia yule mdada niliekuja kutoa pesa mchana mchana nikakuomba namba ako ili ndgu yangu atume hela. Mi nikasema ooh mzima weye?
gafla akaniambia unaisha mtaa gani nikasema naishi mtaa x.akasema huo mtaa anaishi Dada hapa nipo jian naenda kumsalimia nikampa adress sana home maan aliasema atanipitia muda anaenda kwa sister ake . Akaniambia akikaribia hapo atani text ,mi niksema hapa leo lazima nimle.
NITAMALIZIA NAMUHUDUMIA KWANZA MTEJA.
 
Kilawo kilawo kilawo nimekuita mara ngapi??? Huku kwetu mtaa wa masihara hakuna nambo ya episode kama hadithi za shigongo
 
Story imeanza vizuri kinoma noma, ukaja kuharibu kwenye hitimisho yani unakuja malizia na sentensi nikaja kumla yule manzi ahhhhhhhh baharia vipi, hapo kwenye kumla ndiyo ulitakiwa ueleze sasa ilikua mpaka ukafika kwenye mbususu
 
Pia chai


Mara anaishi mwenyewe


Mara anamume


Mara niko nae
 
Hii chai hakuna kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…