Eehhh endelea nahayo

Mie napeleka motoo tuu, huyu kilichobaki nimtafutie tu muda mzuuuuuuri, nikamchape nao.
we jamaa story zako zote ni chai tu...unakuja na defensive mechanism ya kupost charts...Mambo ya kike hayo.

1. Ni nadra sana kuchukua namba first day tu na first txt ukaandika kama unavyoandika...coz hapo bado hujajua ata respond vp....Na hata kama hiyo njia itaapply kwa mmoja, haiwezi kuapply kwa kila mtu...Story zako 98% ni uongo mtupu..Hizo msg unaandika then una jijibu mwenyewe..

2. Matukio yako yalivyotokea tokea ni chai chai tu.

Mambo ya kupost charts humu ni ya kidwanzi...hauna tofauti na qeen jojo ambae toka nipost ushuhuda wangu humu, kapanic na kuanza kupost charts zangu humu na matusi juu..sijui napenda kulelewa sijui nn..Mambo ya ajabu.
 
Hapa kuna kakikohozi kamenibamba nakwambia sasa naona moto ukichanganya na uzito kupungua babu wee usiombe kukumbwa na hali ya hofu unaweza andika wosia kabisa budhaa.
pole mkuu...wasiwasi wako au hofu ndio tatizo lako..nilipitia situation kama yako mwaka juzi...nilikuwa naugua mara kwa mara napima naambiwa sina ugonjwa...kumbe psychology ilikuwa imeathirika kwa stress...niliwahi kupoteza kgs 6 ndani ya muda mfupi..mwisho nikaamua ngoja nijilipue nikaenda kupima....nikaonekana NEGATIVE na zile homa za mara kwa mara zikakata..
 
Bro hapa ndo hali ninayopitia nimekua na stress sana mpaka najiogopa nimezivumilia huu ni mwezi na week sasa mpaka miezi mitatu iishee nahisi nitakua nimepata funzo wacha niendelee kuvumilia bro maana hii hali inatesa mno raha kwako ni mwiko nimwendo wa kuwaza tu dhaa Mungu aniepushe kaka sitorudia kwakweli.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ngoja nimsaidie mkuu.....hiyo point namba 1 labda kama wewe nu muoga mzee watu wanajiamini kutuma message za kipumbavu na ndizo wanazotaka wanawake.....

jamaa mbona anaenda poa anaanza kusifia reply ikiwa nzuri anaingizia ujinga...hapo anaposifia anapima maji kwa miguu.....

ninaweza weka chats humu za dogo anaefanya part time kazini na hana hata week nimeishamla.....nilitumia huo upuuzi anaopost jamaa.....

pia kuna jamaa mume wa mtu amesema alisema sijui we nikifinye kitoto cha mtu kikanisemelee kwa mama ake pitia status ukikuta picha mzuri ya manzi uliyosave we mtumie hiyo utaleta matokeo hapa......wewe unaomba game mwenzio anasema twende tukatombane hapo nani anavuta hisia za mwanamke?
 
Dhaa bro nimekoma hapa niko nasubiria miezi mitatu ipite nipime but naishi kwa wasi wasi sana aisee hofu nimbaya sana but inafunza pia.
Kama hukupata michubuko una hofu gani, mim mwanamke aniambie Hana ukimwi simjui vizuri lazima nitumie kondomu
 
Wakat mwingine unakuta dem ameku ng"ang"ania unashindwa kumtoka hapo utatumia mbunu gan?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hukupata michubuko una hofu gani, mim mwanamke aniambie Hana ukimwi simjui vizuri lazima nitumie kondomu
Mimi nilimpima kabla ya kula mzigo sema vile vi bioline na vya kis*nge unasubiri majibu ndani ya dakk 15 viko fresh majibu ni- baada ya muda kidgo kana react kanaweka faint lines aisee... Sema kuondoa haya yote ndom ni muhimu budhaa au kuacha kugegeda ovyo.
 
Hivi kwanini jukwaa la wa kubwa lilifutwa? Huu uzi ungeenda kule jukwaa la wa kubwa ili kuwe na mchujo,
 
Wote mnaopangilia story zenu hapa na zinaeleweka kwa ufasaha, mnasalmiwa na kaka mwenye mapembe
 
Nipe namba ya mkeo /Demu wako inayopatikana, alafu usimwambie chochote kile.


Nitakuletea screenshots za kupanga lini nimtombe.

Trust me !!!....Ni PM.
Daaaah,, huu uzi Lengo lake lilikua ni kama kutufurahisha na kutusahaulisha na machungu ya hivi vyuma vilivyokaza hadi kuanza kusagana vyenyewe kwa vyenyewe,,,lkn huku tunapofikia sipo aisee.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
pole sana...achana na mambo ya miezi 3...kapime sasa hivi...itakusaidia kurudisha confidence wakati unasubiri hiyo miezi ifike...pima leo then baada ya miezi 2 tena unarudia...ukiendelea kusubiri hadi miezi 3 ifike utajikuta umejiumiza sana ndani kwa ndani...stress ni hatari kwa afya yako ya mwili....mimi nilipima nikapata confidence, mawazo yakapungua then baada ya mwezi na nusu nikarudia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…