Tafadhali mnaoshobokea madem wa karatu wameungua kinyama..pia na mto wa mbu. Reason kuu ni watalii maana hayo maeneo ndio watalii wanashinda kupiga misele kwakua ni karibu.. Mbaya zaidi Wambulu/Wairaq hawajui kumnyima mtu.
Watu wakiambiwa kua Wambulu ni wazuri lakini kukataa kugongwa kwao ni mwiko,hawaelewi,shauri yenu mnaoendekeza pekupeku kwa baadhi ya wadada wa kule,mtapata mnachokitaka.
 
Mlolongo wa elimu yangu imehusisha pia Archival Science kwenye nchi moja huko ughaibuni.
Moja ya kati ya jambo tulilojifunza ni kuweka kumbukumbu sawa. Lakini pia nina email ambayo inahifadhi drafts za matukio mbalimbali.
Sawa injinia (In V's voice)
 
kumbe huwa mnatupa tu maushari tujikaze tupunguze mawazo ni kitu cha kawaida kumbe na nyinyi mnauogopa?
 
Safi mkuu hapo siku 10 ungekaa mwezi inaonyesha ungetandika kimasihara wote 11.
 
Tupe dodoso, hao wengine ulitafunaje? Ulipata namba zao au dogo alifanya makeke tena
 
We jamaa nyoko kichizi umenifanya dushe lisimame balaaa
 
Ndio maana mimi siwezi kuruhusu Mke wangu atoe jina kwa mtoto wangu wa kiume, labda liwe la baba mkwe
 
Hii story huwa sipendi kuiongelea ila kwa vile tupo na fekero ngoja niiweke kukimbiza Uzi.

Kuna demu Mmoja undugu kwa Mbali, wakati nipo A-level yeye ndo amemaliza std seven na hakuendelea na shule akawa yupo tu home. Huyo demu alikuwa mzuri kiasi ila baada ya kuja kujipodoa alikuja kuwa mzuri zaidi. Nikiwa likizo nilikuwa napenda kwenda kufulia mtoni (nilikuwa sipendi kufuliwa Nguo zangu), Sasa njia ya kwenda mtoni inapita kwa akina huyo demu. Kwa hyo akiniona napita kuelekea mtoni Lazima atanifuata nyuma, na atakaa na mimi mtoni mpaka nimalize kufua ndo tunarudi wote. Alikuwaga anaonyesha kila dalili ya kutaka nimgegede ila mimi vilikuwa nadharau najisemea Sasa huyo Mtoto nimpeleke wapi mimi.

Baada ya kumaliza A level nikiwa Chuo na yeye akawa amekuja dar kwa sister yake. Kwa hayo nikiwa likizo mkoa sikubahatika kuonanan Naye na hatukuwai kuwasiliana hata kwa simu. Siku moja nipo Ubungo (nimeshamaliza chuo) nasubiria daladala kwenda getto akaja mtu kwa nyuma akanifunika macho kwa mokono. Hisia ikanipa tu kuwa hii ni mikono ya demu, nimtoa mikono kugeuka nikakuta ni Yule demu ila kawa kisu balaa (maji ya dar Sijui huwa yana nn tu na Watoto wa kike wanaotoka mkoani)

Basi nikapigwa na mshangoa nikamuuliza ni wewe au nimekufananisha, akjibu ni mimi, hapo sauti imeshakuwa ya kidasalam. Yaani hata sikuongea zaidi nikamwambia twende home basi, na yeye hata hakusita akaniambia twende. Basi tukarukia daladala huyo nikampeleka getto nilipokuwa nakaa. Kuingia ndani hakuna aliyemsemesha mwenzake tulianza tu kukiss na kuanza kugegedana, tuligegedana mpka jioni nikwamwambia twende nikusindikize uende home, akaniambia nalala hapa, nikamuuliza sister hana noma akasema nitamwambia nililala kwa Rafiki vyangu.

Usiku tukatoka tukaenda kula na kupiga Vyombo kidogo tukarudi tukagegedana moaka asubuhi maana yule demu nadhani alikuwa anafidia muda wote ambao alikuwa anatakaga nimgegede mimi nikawa napotezea. Asubuhi wakati namsindikiza akaniambia furaha niliyonayo ni Kubwa mno maana nimefanya kitu ambacho vilikuwa natamani Kufanya tangia nikiwa Mdogo sana.

Kwa Sasa kaolewa huko huko mkoani kwetu na ana watoto wawili ila bado tu anatakaga nimle. Juzi kati mother alikuwa anaumwa nikaenda kumsalimka mkoa aliposikia tu kuwa nipo home akaja. Wakati namsindikiza akaniambia jpili twendwe town basi ukaninanii...(tunakaa nje ya mji kidogo) nikwamwambia we ni mke wa mtu halafu siku hzi mimi nna tabia mbaya hautaniweza, Sijui alijua ninaongelea nini, akaniambia chochote utakachotaka nitakupa..duuu...MZEE baba uzalendo ulinishida nikaenda kujilia vyangu na nikapewa chochote nilichokitaka..hahahaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…