Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Yaani umefikia kuniita baba yako au sioni vzr hapo juu.

Mi Pia Nakupenda huwa najiuliza nitakuanzaje jamani,Ila Jua tuu nakuoenfa Mwandiko wako na Mawazo yako unavyoandika humu!
Yaani Natamani siku moja tuwe somewhere for dinner![emoji8]
 
mpaka mmefanya bado unasema bahati mbaya huu umalaya siyo mtakuja kulala na majini bila kujua unaamka asubuhi unakutana na mwanaume mwenzako wakati mlipokutana alikuwa mwanamke michepuko siyo dili baki njia kuu kwa mtazamo wangu
Unatutishia nyau?
 
Kuna mwanamke amenipa kazi ya kumtafutia namba ya mwanamke mwenzake anaedhamiwa kutembea na mume wake...namba Ni na sitamkabidhi namba hiyo bila kumvua chupi.

Nitawapa mrejesho wakuu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mariam karibia atanipa cha kiutani utani, kila nikienda kutoa hela kwenye tigo pesa yake ninaponyosha mkono kuchukua hela anauvuta na kuupapasa huku ananilegezea macho, juzi nimepata file lake kumbe ni mke mdogo wa ustaadh flan na huwa analala na wake zake kwa zamu, niligundua siku nyingine nikipita ofisini kwake anakua Kauzu tunaongea kazi tu hapo ujue mme wake yupo ila siku nyingine nikifika ananipokea kwa bonge la tabasam mixer kuvua hijab yake nywele zake ndefu, sasa nataka na Mimi nimletee zilezile, nitaenda kutoa hela ucku akifunga ofisi namtafuna kiutani nitaleta mrejesho.
Mkuu mrejesho vipi au bado tu
 
Mi Pia Nakupenda huwa najiuliza nitakuanzaje jamani,Ila Jua tuu nakuoenfa Mwandiko wako na Mawazo yako unavyoandika humu!
Yaani Natamani siku moja tuwe somewhere for dinner![emoji8]
Hili jina lako limefanana na sehemu moja hivi huko Buchosa, utakuwa wa huko wewe
 
Back
Top Bottom