Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Niombeen niombeen ndugu zangu, kuna TUKIO nmelifanya mimi mwenyewe hapa nilipo linanichekesha na kuniogopesha.


Leo wakati najisogeza kupanda kibajaji nielekee Job, ebanaa weeewe Nikakutana na Demu ,unajua Demu??? Nmekutana na demuuuu Mkali mnoooo, yaan mweupeee ,hips zimekimbiana na sura ya mdoli .


Daaah mate yakanijaa Ndugu zangu, nikamsimamisha na kumuomba namba, akanipa...nikasepaaaaa


Nimefika nkamuanzishia ( uzur siku za Ijumaa Job kwetu huwa wagonjwa wa nje huwa ni wachache sana .

Nikaanza kumsifiaa wee..mwisho akaniuliza , Airtel Money yako inafanya kazi???

Nikjibu Ndioo

Akaniambia ,sasa nihivi, wewe unashida na **** ,mimi nashida na Hela.


Nikamuuliza, unataka ngapi, basi akaniambia nmpe 130 K tsh sio K followers [emoji23][emoji23].


Basi nikajitetea weeeee sanaa tuuuu, apunguzeeee dau ,nmelia weeee, demu kakomaa palepale


Mwisho akaniambia kua yeye ni mke wa mtu , hajawa hata kusaliti ,hata mimi tu nisababu ana rejesho la wiki jpl laki na hamsin .

Demu akaniambia kama simpi basi imetoka.


Daaahh nikajikoki palepale nikatumia 30K tsh sio followers


Baadae mida ya saa tisa nikampa raman akaja nipulizee.


Nmepulizaa weeee, nmemaliza nmejiandaaa, dem akakomaa nmmalizie 100K, nkamwambia poa ngoja baadae, akakomaaa, wacha demu alianzishe timbwili timbwili ndani khaaaa yaaan ikawa balaaa.


Nikaamua kumtumia hapo hapo 100K, nkasepa.

Nmefika nje ya Lodge, nikaingia kwenye Menu ya Airtel Money, nikarudisha Muamala wangu wa 100K..ule wa 30 K nikauacha.


NYIEEEEEE ,NMETUKANWAA HAHAHAHA YAAN MESEJ ZAIDI YA 20 NI KUTUKANWA TUUUUUU YAAN[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

NMEUKANWAAA, NMETISHIWA KUROGWA ET MBOOO HAITASIMAMA TENAAAAAAAA[emoji23][emoji23]


NIOMBEENI NDUGU ZANGU.
Umenikumbusha mbali sana kuna kipindi nilipewa ada na mzee tena ikipungua hata senti sifanyi end of semester exam. Shetani fundi nyie. Nipo naenda kulipa ada. Aunty huyo kapiga simu niende kwa kwake kuna hela anataka kunipa nikamtumie jamaa flani kwa ajili ya mizigo yake huko China ni hela nyingi tu UBA bank pale posta. The same day Aunty alikuwa anasepa anaenda kwenye msiba mkoa. So apartment langu lote.
Nilikutana na teller mmoja mkali ana ngozi flani nzuri sana pale bank. Nikaomba namba nikapewa. Kumchatisha aling'ang'ana nimpe 400k kama sina ndio imetoka hiyo. Mawazo ya kwenda kulipa yakawa yameishia hapo. Nikasema poa. Nikampanga aje mpaka Morocco then mimi nitampick hapo pale mida flani. Kweli akaja. Kusema ukweli nilipanga kabisa kuwa namla bure nitamlipia uber tu ya kumrudisha. Kwanza alikuwa ananijibu kwa dharau fulani hivi nikasema huyu lazima nimuonesha picha moja la kutisha hata amini
Kama kawa nikachukua ndinga ya aunty kwenda kumchukua. Si tupo kwenye gari akaanzisha ooh kwanza nilikuambia shing ngapi vile nikamwambia 400,000tshs akasema labda alikosea kutype alimaanisha 500,000tshs. Najua ndinga ndio limempagawisha. nikwambia poa ila akilini nikasema huyu manzi lazima kama hana Mania basi ana PTSD disorder angejua angekaa kimya tu. Nikampitisha KFC pale mikocheni nikachukua mazaga hao home.
Kufika pale home nafikiri ndio akaamini asilimia 100% hapa 500k ipo.
Baada ya kula nikataka kuanza harakati akagoma akasema chake kwanza mtoto wa kiume nikazama room nikampa sehemu ya ada. Akahesabu akatia kwenye pochi. Sasa nikasema hapa huyu pochi anaiacha hapa hapa sebleni. Fanya foreplay kwa sana pale sebleni nikambeba na kumuingiza room. Nikaanza kupeleka moto. Huku nawaza ada. Nilivyokojoa tu. Nikamwambia naenda washroom. kwa kweli all the niliact as a real gentleman kuanzia kumpanga kufika home so hakutegemea naweza mfanyia uhuni wowote. Basi mimi nikatoka nikaenda straight kwenye pochi yake nikachukua laki tano zangu nikaenda kwenye fridge nikaiweka humo kwa spidi moja ya ajabu. Nikarudi aisee nikaenda kuwa naye bed tukaendelea na mchezo
Sasa kimbembe tumemaliza anarudi sebleni anachungulia kwenye pochi kiburungutu chake cha nusu million hakioni alinigeukia kwa macho hayo na kuniambia anataka hela yake. Simple nilimjibu nilishakupa. Akaanza kutukana pale ohoo ila nilinote na zile sikutegemea mtu kama wewe utafanya hivi. Si akatishia kunifanyia fujo nilimjibu jibu moja tu uliwaona wale walinzi pale chini ni simu moja tu watakushusha kama mwizi basi dada wa watu akawa mpole.
Nikamwambia nikukodishie uber akawa analia tu. Kusema ukweli huruma ilinijia. Kwenye simu nilikuwa na hela nikarumshia 50k akaondoka.
Ila huyu manzi nilikuja kukutana naye mahali nipo na demu wangu aisee alinifanyia fujo sijawahi ona.
 
Hao ndio kawaida yao mtu anataka 130k sio mchezo

Dawa yao nikuwatumia kwa mtandao tu

Mm nkishampaga mtu pesa fake 90k nkalibandua weeee ucku kucha na tigo nkamla

Asubhi nkaliamsha nkamuambia mm naondoka likasema poa,nkamuliza ela zako si nimeshakupa likasema ndio,nkafungua mlango nkasepa nkapanda gari huyo moshi kula zangu mbege

Sitakag ujinga mm nkinitajia dau ndefu
Hiii balaa mkuu


Ila daahh yaan dem mwenyewe sio kwamba nimempenda ,hapana, nivile limeumbika tu


Sasa et nimpe 130K?? Kwa bao tatu?? Si Bora angekua hata ni Demu wa nayempenda.
 
Visa vya kula kimasihara ni vingi mnoooo.
Hila ngoja nianze na hiki kimoja. Nina aunty yangu mmoja (ni mama yangu wa ubatizo) kwa kweli katika watu wanaonipenda ukitoa wazazi wangu na ndugu zangu wa damu. Ni huyu aunty yangu. Ananifanya niishi kama mtoto wa tajiri hapa mjini. Yeye ana watoto wawili tu na wote ni watu wazima na wapo nje na familia zao. So mimi huwa ananichukulia kama mwanae wa kumzaa. Huyu aunty anaishi maaneo flani mikocheni na anakaa kwenye apartment alone anamaisha flani ya kizungu. Sema yeye ni mlokole muda mwingi huwa najifanya sipendi anasa. Ninaweza kuandika mengi kuhusu yeye all I can say Mungu amtunze. Ila Shida ilianza pale aunty aliponinunulia Gari hii siku ndio milango ya kula kimasihara watoto wakali ilipofungaka.
Mimi nasoma chuo flani hapo mjini. Mara nyingi huwa nakaa kwa aunty japo nina room hostel na yeye ni mtu wa kusafiri na mostly huwa anaenda kwa watoto wake na biashara zake nyingine so sio mtu wa kuwa inchini muda mwingi thanks to that nimepata opportunity ya kwenda inchi kadhaa.
Nakumbuka ilikuwa jumamosi nilikuwa sina hili wala lile nimekaa tu chuo najisomea mara nikaona muamala huo 1,000,000tshs kutoka kwa aunty sikushtuka sana maana kuna hela nilimuomba ya pc kuwa nimeibiwa ila ukweli sikuwa nimeibiwa. (Alikujaga kuuliza PC baadaye kuna uongo nilimwambia ikawa hiyo). Sasa baada ya huo muamala akanipigia simu akaniambia anasafiri niende nikakae home kwa kwake mpaka atakaporudi. (Alikaa huko for 2weeks)
Siku hiyo nikamtafuta binamu yangu flani yupo TPA ni agemate sema yeye alimaliza form 4 akaenda chuo akapata diploma akaingia TPA nikamwambia mida ya saa nne tukutane kwa aunty halafu tutoke. Basi kweli saa tatu hivi akaja kwa aunty. Siku aunty akiwa hayupo huwa nachukua ndinga yake hii kali inaheshima mjini. Kwanza tulienda Tips. Ile tumeingia tu nikawaona wadada watatu aisee ni wakali sana. Ni kwambia yule binamu twende palepale.
Tukaenda pale walipo wala hatukuwasalimia kuna mmoja alitaka kusema kitu ila akaacha. Nafikiri alikataka kusema kuna watu wanakuja.
Mhudumu alipofika tuliagiza hennesy.Si unajua zile mbwembwe wanazoleta hennesy wale wahudumu.
Kitu nilichonotice wale walikuwa watoto wa kishua kwa sababu tulianza kupiga story mmoja alikuwa amemaliza form 6, wengine wawili wote walikuwa chuo. Tuliendelea kunywa na kupiga wale wa chuo walikuwa wametuelewa kichizi. Taniana kwa sana kama ni washikaji tuliojuana long. Hapo muda ulishaenda kama saa sita hivi. Binamu yangu akasema guys vipi si tubadilishe kiwanja tukakubaliana. Kumbe walikuwa wamekuja na gari yao. Nikasuggest twende na moja ambayo ni yetu. nikamshawishi akaipaki pale kwenye hospitali ya kairuki. Ni karibu. Aisee kwanza walivyoona ile ndiga ya aunty. Mmoja wao akatania ya Baba hii tukacheka tu. tukaenda pale kairuki nikaongea na wale walinzi pale nyuma ya hospitali kuna parking za wafanyazi wakakubali kwa kidogo kitu.
Hao tunaruka samakisamaki aisee siku ile vibe lilikuwa kama lote binamu kamatia mmoja mimi nimekamatia mwingine full shangwe yule dogo wa form 6 alikuwa busy na simu hata kunywa alikuwa hanywi sana. Tulikaa kwenye kona flani huku mwisho watu wanapoingilia kuna kagiza flani amaizing wadau wa hiyo sehemu wanaijua. Basi mimi na Vero(anaitwa Vero) ni full kucheza na kula mate. Ilifikia hatua tulikuwa hatuchezi nilimpakata na kula mate. Kuangalia hivi binamu na Brenda hawaonekani. Kumtext akasema yupo smoki zone nikamwambia vero kuwa wapo smoking zone. Tulibond na vee kama longtime couple kiss kwa sana.
Nikamchombeza Vero muda ulishaenda si twende tu home kwangu. Huku baada nachat na binamu kwa kuibia ampange Brenda. Hapo Vero akasema mpaka Brenda aje so nikamcheki binamu aje. So wakaje kumbe kule binamu alikuwa kashafaulu kumpanga Brenda. Basi tukawaambia hapo Vero nimeshampagawisha kinoma. Kusema ukweli She is one of a good kisser. Hatukuchuakua muda. Tukasepa
Sasa kwenye Gari binamu ndio yupo mbele na Brenda mimi nyuma na Vero na yule dogo wa form 6.. Sasa kosa lilikuwa mimi kukaa katikati kwenye Gari Vero alikuwa haelewi. Sasa na mimi nikataka kumtest dogo nipo na nakula mate na Vero kupima oil kama kote nikaamua mkono mmoja kupeleka kwenye kifua cha dogo aisee maziwa yalikuwa wamesimama kama yote na dogo akawa ametulia tu.
Tufafika kwa aunty actually sio mbali. Kufika tu sebleni kila moja na purukushani zake kusema nilisex na Vero palepale sebleni yule dogo ila nilinote dogo kaingia chumbani kuna vyumba vitatu kwa aunty cha kwake akiosafiri huwa anafunga so vilibaki viwili dogo aliingia kimoja kati ya viwili vilivyobaki. Aisee nilipiga sana mechi na Vero alikuwa poa na kazi anaiweza ( nikaamini sio wa kishua wote shughuli hawawezi huyu shughulia anaiweza ).
Kiukweli baadaye wote wanne tulitoka sebleni tukaenda kulala kwenye chumba kimoja.
Tulikuja kuamka saa tano uzuri kwa aunty mazaga kama yote. Mchana tukala. Tukawasha gari tukawapeleka kairuki wakachukua gari yao waenda kijitonyama ndipo Vero alipopanga sehemu flani pametulia nilikuja kupajua baadaye Vero akaja kuwa demu wangu.
Siku nitasimulia jinsi nilivyomla yule Dogo wa form 6 alipokuwa anakaa Vero. Mpaka Vero kuja kujua natoka na mdogo wake. Na kutaka kujiua alikuja kunipenda mnoo.

Binamu yako namjua ni mwanangu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ohooooooo! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii isiposimama, nikathibitisha kweli kanifanyia uchawi.


NITAMTAFUTA TU NO WAY,ILA NITAMTAFUTA NAYEYE NIMUADHIBU .."unyama unyama tu".
 
Umenikumbusha mbali sana kuna kipindi nilipewa ada na mzee tena ikipungua hata senti sifanyi end of semester exam. Shetani fundi nyie. Nipo naenda kulipa ada. Aunty huyo kapiga simu niende kwa kwake kuna hela anataka kunipa nikamtumie jamaa flani kwa ajili ya mizigo yake huko China ni hela nyingi tu UBA bank pale posta. The same day Aunty alikuwa anasepa anaenda kwenye msiba mkoa. So apartment langu lote.
Nilikutana na teller mmoja mkali ana ngozi flani nzuri sana pale bank. Nikaomba namba nikapewa. Kumchatisha aling'ang'ana nimpe 400k kama sina ndio imetoka hiyo. Mawazo ya kwenda kulipa yakawa yameishia hapo. Nikasema poa. Nikampanga aje mpaka Morocco then mimi nitampick hapo pale mida flani. Kweli akaja. Kusema ukweli nilipanga kabisa kuwa namla bure nitamlipia uber tu ya kumrudisha. Kwanza alikuwa ananijibu kwa dharau fulani hivi nikasema huyu lazima nimuonesha picha moja la kutisha hata amini
Kama kawa nikachukua ndinga ya aunty kwenda kumchukua. Si tupo kwenye gari akaanzisha ooh kwanza nilikuambia shing ngapi vile nikamwambia 400,000tshs akasema labda alikosea kutype alimaanisha 500,000tshs. Najua ndinga ndio limempagawisha. nikwambia poa ila akilini nikasema huyu manzi lazima kama hana Mania basi ana PTSD disorder angejua angekaa kimya tu. Nikampitisha KFC pale mikocheni nikachukua mazaga hao home.
Kufika pale home nafikiri ndio akaamini asilimia 100% hapa 500k ipo.
Baada ya kula nikataka kuanza harakati akagoma akasema chake kwanza mtoto wa kiume nikazama room nikampa sehemu ya ada. Akahesabu akatia kwenye pochi. Sasa nikasema hapa huyu pochi anaiacha hapa hapa sebleni. Fanya foreplay kwa sana pale sebleni nikambeba na kumuingiza room. Nikaanza kupeleka moto. Huku nawaza ada. Nilivyokojoa tu. Nikamwambia naenda washroom. kwa kweli all the niliact as a real gentleman kuanzia kumpanga kufika home so hakutegemea naweza mfanyia uhuni wowote. Basi mimi nikatoka nikaenda straight kwenye pochi yake nikachukua laki tano zangu nikaenda kwenye fridge nikaiweka humo kwa spidi moja ya ajabu. Nikarudi aisee nikaenda kuwa naye bed tukaendelea na mchezo
Sasa kimbembe tumemaliza anarudi sebleni anachungulia kwenye pochi kiburungutu chake cha nusu million hakioni alinigeukia kwa macho hayo na kuniambia anataka hela yake. Simple nilimjibu nilishakupa. Akaanza kutukana pale ohoo ila nilinote na zile sikutegemea mtu kama wewe utafanya hivi. Si akatishia kunifanyia fujo nilimjibu jibu moja tu uliwaona wale walinzi pale chini ni simu moja tu watakushusha kama mwizi basi dada wa watu akawa mpole.
Nikamwambia nikukodishie uber akawa analia tu. Kusema ukweli huruma ilinijia. Kwenye simu nilikuwa na hela nikarumshia 50k akaondoka.
Ila huyu manzi nilikuja kukutana naye mahali nipo na demu wangu aisee alinifanyia fujo sijawahi ona.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Niombeen niombeen ndugu zangu, kuna TUKIO nmelifanya mimi mwenyewe hapa nilipo linanichekesha na kuniogopesha.


Leo wakati najisogeza kupanda kibajaji nielekee Job, ebanaa weeewe Nikakutana na Demu ,unajua Demu??? Nmekutana na demuuuu Mkali mnoooo, yaan mweupeee ,hips zimekimbiana na sura ya mdoli .


Daaah mate yakanijaa Ndugu zangu, nikamsimamisha na kumuomba namba, akanipa...nikasepaaaaa


Nimefika nkamuanzishia ( uzur siku za Ijumaa Job kwetu huwa wagonjwa wa nje huwa ni wachache sana .

Nikaanza kumsifiaa wee..mwisho akaniuliza , Airtel Money yako inafanya kazi???

Nikjibu Ndioo

Akaniambia ,sasa nihivi, wewe unashida na **** ,mimi nashida na Hela.


Nikamuuliza, unataka ngapi, basi akaniambia nmpe 130 K tsh sio K followers [emoji23][emoji23].


Basi nikajitetea weeeee sanaa tuuuu, apunguzeeee dau ,nmelia weeee, demu kakomaa palepale


Mwisho akaniambia kua yeye ni mke wa mtu , hajawa hata kusaliti ,hata mimi tu nisababu ana rejesho la wiki jpl laki na hamsin .

Demu akaniambia kama simpi basi imetoka.


Daaahh nikajikoki palepale nikatumia 30K tsh sio followers


Baadae mida ya saa tisa nikampa raman akaja nipulizee.


Nmepulizaa weeee, nmemaliza nmejiandaaa, dem akakomaa nmmalizie 100K, nkamwambia poa ngoja baadae, akakomaaa, wacha demu alianzishe timbwili timbwili ndani khaaaa yaaan ikawa balaaa.


Nikaamua kumtumia hapo hapo 100K, nkasepa.

Nmefika nje ya Lodge, nikaingia kwenye Menu ya Airtel Money, nikarudisha Muamala wangu wa 100K..ule wa 30 K nikauacha.


NYIEEEEEE ,NMETUKANWAA HAHAHAHA YAAN MESEJ ZAIDI YA 20 NI KUTUKANWA TUUUUUU YAAN[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

NMEUKANWAAA, NMETISHIWA KUROGWA ET MBOOO HAITASIMAMA TENAAAAAAAA[emoji23][emoji23]


NIOMBEENI NDUGU ZANGU.
Hahahahahah wewe Jamaa fala Sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]
 
Hao ndio kawaida yao mtu anataka 130k sio mchezo

Dawa yao nikuwatumia kwa mtandao tu

Mm nkishampaga mtu pesa fake 90k nkalibandua weeee ucku kucha na tigo nkamla

Asubhi nkaliamsha nkamuambia mm naondoka likasema poa,nkamuliza ela zako si nimeshakupa likasema ndio,nkafungua mlango nkasepa nkapanda gari huyo moshi kula zangu mbege

Sitakag ujinga mm nkinitajia dau ndefu
Hivi wapi naweza pata hela feki mazee

Maana kutoa hela halali kisa mbususu Ni uzwazwa
 
Umenikumbusha mbali sana kuna kipindi nilipewa ada na mzee tena ikipungua hata senti sifanyi end of semester exam. Shetani fundi nyie. Nipo naenda kulipa ada. Aunty huyo kapiga simu niende kwa kwake kuna hela anataka kunipa nikamtumie jamaa flani kwa ajili ya mizigo yake huko China ni hela nyingi tu UBA bank pale posta. The same day Aunty alikuwa anasepa anaenda kwenye msiba mkoa. So apartment langu lote.
Nilikutana na teller mmoja mkali ana ngozi flani nzuri sana pale bank. Nikaomba namba nikapewa. Kumchatisha aling'ang'ana nimpe 400k kama sina ndio imetoka hiyo. Mawazo ya kwenda kulipa yakawa yameishia hapo. Nikasema poa. Nikampanga aje mpaka Morocco then mimi nitampick hapo pale mida flani. Kweli akaja. Kusema ukweli nilipanga kabisa kuwa namla bure nitamlipia uber tu ya kumrudisha. Kwanza alikuwa ananijibu kwa dharau fulani hivi nikasema huyu lazima nimuonesha picha moja la kutisha hata amini
Kama kawa nikachukua ndinga ya aunty kwenda kumchukua. Si tupo kwenye gari akaanzisha ooh kwanza nilikuambia shing ngapi vile nikamwambia 400,000tshs akasema labda alikosea kutype alimaanisha 500,000tshs. Najua ndinga ndio limempagawisha. nikwambia poa ila akilini nikasema huyu manzi lazima kama hana Mania basi ana PTSD disorder angejua angekaa kimya tu. Nikampitisha KFC pale mikocheni nikachukua mazaga hao home.
Kufika pale home nafikiri ndio akaamini asilimia 100% hapa 500k ipo.
Baada ya kula nikataka kuanza harakati akagoma akasema chake kwanza mtoto wa kiume nikazama room nikampa sehemu ya ada. Akahesabu akatia kwenye pochi. Sasa nikasema hapa huyu pochi anaiacha hapa hapa sebleni. Fanya foreplay kwa sana pale sebleni nikambeba na kumuingiza room. Nikaanza kupeleka moto. Huku nawaza ada. Nilivyokojoa tu. Nikamwambia naenda washroom. kwa kweli all the niliact as a real gentleman kuanzia kumpanga kufika home so hakutegemea naweza mfanyia uhuni wowote. Basi mimi nikatoka nikaenda straight kwenye pochi yake nikachukua laki tano zangu nikaenda kwenye fridge nikaiweka humo kwa spidi moja ya ajabu. Nikarudi aisee nikaenda kuwa naye bed tukaendelea na mchezo
Sasa kimbembe tumemaliza anarudi sebleni anachungulia kwenye pochi kiburungutu chake cha nusu million hakioni alinigeukia kwa macho hayo na kuniambia anataka hela yake. Simple nilimjibu nilishakupa. Akaanza kutukana pale ohoo ila nilinote na zile sikutegemea mtu kama wewe utafanya hivi. Si akatishia kunifanyia fujo nilimjibu jibu moja tu uliwaona wale walinzi pale chini ni simu moja tu watakushusha kama mwizi basi dada wa watu akawa mpole.
Nikamwambia nikukodishie uber akawa analia tu. Kusema ukweli huruma ilinijia. Kwenye simu nilikuwa na hela nikarumshia 50k akaondoka.
Ila huyu manzi nilikuja kukutana naye mahali nipo na demu wangu aisee alinifanyia fujo sijawahi ona.
Teller wengi njaa tu

Wanachapika Sana Wana mabaharia
 
Umenikumbusha mbali sana kuna kipindi nilipewa ada na mzee tena ikipungua hata senti sifanyi end of semester exam. Shetani fundi nyie. Nipo naenda kulipa ada. Aunty huyo kapiga simu niende kwa kwake kuna hela anataka kunipa nikamtumie jamaa flani kwa ajili ya mizigo yake huko China ni hela nyingi tu UBA bank pale posta. The same day Aunty alikuwa anasepa anaenda kwenye msiba mkoa. So apartment langu lote.
Nilikutana na teller mmoja mkali ana ngozi flani nzuri sana pale bank. Nikaomba namba nikapewa. Kumchatisha aling'ang'ana nimpe 400k kama sina ndio imetoka hiyo. Mawazo ya kwenda kulipa yakawa yameishia hapo. Nikasema poa. Nikampanga aje mpaka Morocco then mimi nitampick hapo pale mida flani. Kweli akaja. Kusema ukweli nilipanga kabisa kuwa namla bure nitamlipia uber tu ya kumrudisha. Kwanza alikuwa ananijibu kwa dharau fulani hivi nikasema huyu lazima nimuonesha picha moja la kutisha hata amini
Kama kawa nikachukua ndinga ya aunty kwenda kumchukua. Si tupo kwenye gari akaanzisha ooh kwanza nilikuambia shing ngapi vile nikamwambia 400,000tshs akasema labda alikosea kutype alimaanisha 500,000tshs. Najua ndinga ndio limempagawisha. nikwambia poa ila akilini nikasema huyu manzi lazima kama hana Mania basi ana PTSD disorder angejua angekaa kimya tu. Nikampitisha KFC pale mikocheni nikachukua mazaga hao home.
Kufika pale home nafikiri ndio akaamini asilimia 100% hapa 500k ipo.
Baada ya kula nikataka kuanza harakati akagoma akasema chake kwanza mtoto wa kiume nikazama room nikampa sehemu ya ada. Akahesabu akatia kwenye pochi. Sasa nikasema hapa huyu pochi anaiacha hapa hapa sebleni. Fanya foreplay kwa sana pale sebleni nikambeba na kumuingiza room. Nikaanza kupeleka moto. Huku nawaza ada. Nilivyokojoa tu. Nikamwambia naenda washroom. kwa kweli all the niliact as a real gentleman kuanzia kumpanga kufika home so hakutegemea naweza mfanyia uhuni wowote. Basi mimi nikatoka nikaenda straight kwenye pochi yake nikachukua laki tano zangu nikaenda kwenye fridge nikaiweka humo kwa spidi moja ya ajabu. Nikarudi aisee nikaenda kuwa naye bed tukaendelea na mchezo
Sasa kimbembe tumemaliza anarudi sebleni anachungulia kwenye pochi kiburungutu chake cha nusu million hakioni alinigeukia kwa macho hayo na kuniambia anataka hela yake. Simple nilimjibu nilishakupa. Akaanza kutukana pale ohoo ila nilinote na zile sikutegemea mtu kama wewe utafanya hivi. Si akatishia kunifanyia fujo nilimjibu jibu moja tu uliwaona wale walinzi pale chini ni simu moja tu watakushusha kama mwizi basi dada wa watu akawa mpole.
Nikamwambia nikukodishie uber akawa analia tu. Kusema ukweli huruma ilinijia. Kwenye simu nilikuwa na hela nikarumshia 50k akaondoka.
Ila huyu manzi nilikuja kukutana naye mahali nipo na demu wangu aisee alinifanyia fujo sijawahi ona.
Duh hapo umenunua k kimasikhara ya 500k
 
Hili ni kweli kabisa halina ubishi mkuu. Na wale wa Tigo shops aisee halafu wanakuaga wazuri balaa. Kuna kipindi walishusha wadada pale Tigo mlimani city ilikuwa ni shida.
Kumbe na wee uliliona hili.....hatari aiseee
 
Hili ni kweli kabisa halina ubishi mkuu. Na wale wa Tigo shops aisee halafu wanakuaga wazuri balaa. Kuna kipindi walishusha wadada pale Tigo mlimani city ilikuwa ni shida.
Yule wa form six ebu fanya kuleta maajab yake
 
Hili ni kweli kabisa halina ubishi mkuu. Na wale wa Tigo shops aisee halafu wanakuaga wazuri balaa. Kuna kipindi walishusha wadada pale Tigo mlimani city ilikuwa ni shida.
Oii vizuri kula na ndugu zako mzee uyo wa form six na bank nitwmbezee code
 
Back
Top Bottom