Umenikumbusha mbali sana kuna kipindi nilipewa ada na mzee tena ikipungua hata senti sifanyi end of semester exam. Shetani fundi nyie. Nipo naenda kulipa ada. Aunty huyo kapiga simu niende kwa kwake kuna hela anataka kunipa nikamtumie jamaa flani kwa ajili ya mizigo yake huko China ni hela nyingi tu UBA bank pale posta. The same day Aunty alikuwa anasepa anaenda kwenye msiba mkoa. So apartment langu lote.
Nilikutana na teller mmoja mkali ana ngozi flani nzuri sana pale bank. Nikaomba namba nikapewa. Kumchatisha aling'ang'ana nimpe 400k kama sina ndio imetoka hiyo. Mawazo ya kwenda kulipa yakawa yameishia hapo. Nikasema poa. Nikampanga aje mpaka Morocco then mimi nitampick hapo pale mida flani. Kweli akaja. Kusema ukweli nilipanga kabisa kuwa namla bure nitamlipia uber tu ya kumrudisha. Kwanza alikuwa ananijibu kwa dharau fulani hivi nikasema huyu lazima nimuonesha picha moja la kutisha hata amini
Kama kawa nikachukua ndinga ya aunty kwenda kumchukua. Si tupo kwenye gari akaanzisha ooh kwanza nilikuambia shing ngapi vile nikamwambia 400,000tshs akasema labda alikosea kutype alimaanisha 500,000tshs. Najua ndinga ndio limempagawisha. nikwambia poa ila akilini nikasema huyu manzi lazima kama hana Mania basi ana PTSD disorder angejua angekaa kimya tu. Nikampitisha KFC pale mikocheni nikachukua mazaga hao home.
Kufika pale home nafikiri ndio akaamini asilimia 100% hapa 500k ipo.
Baada ya kula nikataka kuanza harakati akagoma akasema chake kwanza mtoto wa kiume nikazama room nikampa sehemu ya ada. Akahesabu akatia kwenye pochi. Sasa nikasema hapa huyu pochi anaiacha hapa hapa sebleni. Fanya foreplay kwa sana pale sebleni nikambeba na kumuingiza room. Nikaanza kupeleka moto. Huku nawaza ada. Nilivyokojoa tu. Nikamwambia naenda washroom. kwa kweli all the niliact as a real gentleman kuanzia kumpanga kufika home so hakutegemea naweza mfanyia uhuni wowote. Basi mimi nikatoka nikaenda straight kwenye pochi yake nikachukua laki tano zangu nikaenda kwenye fridge nikaiweka humo kwa spidi moja ya ajabu. Nikarudi aisee nikaenda kuwa naye bed tukaendelea na mchezo
Sasa kimbembe tumemaliza anarudi sebleni anachungulia kwenye pochi kiburungutu chake cha nusu million hakioni alinigeukia kwa macho hayo na kuniambia anataka hela yake. Simple nilimjibu nilishakupa. Akaanza kutukana pale ohoo ila nilinote na zile sikutegemea mtu kama wewe utafanya hivi. Si akatishia kunifanyia fujo nilimjibu jibu moja tu uliwaona wale walinzi pale chini ni simu moja tu watakushusha kama mwizi basi dada wa watu akawa mpole.
Nikamwambia nikukodishie uber akawa analia tu. Kusema ukweli huruma ilinijia. Kwenye simu nilikuwa na hela nikarumshia 50k akaondoka.
Ila huyu manzi nilikuja kukutana naye mahali nipo na demu wangu aisee alinifanyia fujo sijawahi ona.
 
Hiii balaa mkuu


Ila daahh yaan dem mwenyewe sio kwamba nimempenda ,hapana, nivile limeumbika tu


Sasa et nimpe 130K?? Kwa bao tatu?? Si Bora angekua hata ni Demu wa nayempenda.
 

Binamu yako namjua ni mwanangu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ohooooooo! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii isiposimama, nikathibitisha kweli kanifanyia uchawi.


NITAMTAFUTA TU NO WAY,ILA NITAMTAFUTA NAYEYE NIMUADHIBU .."unyama unyama tu".
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahahahah wewe Jamaa fala Sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi wapi naweza pata hela feki mazee

Maana kutoa hela halali kisa mbususu Ni uzwazwa
 
Teller wengi njaa tu

Wanachapika Sana Wana mabaharia
 
Duh hapo umenunua k kimasikhara ya 500k
 
Hili ni kweli kabisa halina ubishi mkuu. Na wale wa Tigo shops aisee halafu wanakuaga wazuri balaa. Kuna kipindi walishusha wadada pale Tigo mlimani city ilikuwa ni shida.
Kumbe na wee uliliona hili.....hatari aiseee
 
Hili ni kweli kabisa halina ubishi mkuu. Na wale wa Tigo shops aisee halafu wanakuaga wazuri balaa. Kuna kipindi walishusha wadada pale Tigo mlimani city ilikuwa ni shida.
Yule wa form six ebu fanya kuleta maajab yake
 
Hili ni kweli kabisa halina ubishi mkuu. Na wale wa Tigo shops aisee halafu wanakuaga wazuri balaa. Kuna kipindi walishusha wadada pale Tigo mlimani city ilikuwa ni shida.
Oii vizuri kula na ndugu zako mzee uyo wa form six na bank nitwmbezee code
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…