Kuna watu ni wagumu kama wewe kuamin
Me mbona nilikuwa mama thena akanipa mtoto wa dada yake
Watu wengine wanaona haya mambo hayawezekani kabisa,kumbe ukiwa mzoefu mambo madogo tuu hayo. Watu washakula Maza,Maza akaunganisha mwanae nae akaliwa,akaunganisha wofi nae akaliwa.
 
Uzuri wa mapenzi hayana laana, alikuwa ananiambia x wangu tukipeana tahadhali kwamba tukija achana hakuna laana kwa kila mmoja wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseeee,mchezo huo nimeufanya sana nikiwa Chuo.
 
Ilikuwaje Mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah Dunia ina vituko hivi mweeeeeh.
 
Mnakutana na wajinga ndo mnawafanyia huo upuuzi, kutaneni na wajanja ndo mtajua kua hamjui, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaan nacheka km mwendawazimu lol,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…