Siko vizuri sana katika kutumia maneno makali, yaani neno kama lilivyo, ngumu sana kuliandika. Kama kwa tafsida hiyo imekuwa ngumu kunielewa, sijui utanielewa vipi sasa.

Najaribu tena, umeshawahi kufanya mapenzi?
Kila siku nafanya yale yaliyo mapenzi ya Mungu maishani[emoji23][emoji23][emoji23]

Naona bado swali ni tata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngenye zimeongezeka aki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…