[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka nusu nizimie wallah khaaaaahKila siku nafanya yale yaliyo mapenzi ya Mungu maishani[emoji23][emoji23][emoji23]
Naona bado swali ni tata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ziko wapi kwani? [emoji23][emoji23][emoji23]Ngenye zimeongezeka aki
Hili suala tulishalimaliza na majibu yako juu kule, siwezi kurudia tena, ahsante kwa kushiriki.Mkuu usiseme hivyo wengine tukiscreen shot msg zetu inbox za watoto wazuri alafu wana class kabisa yan na ni independent utashangaa, wanawake wote duniani hawapendag walokole wanapendaga mabadboys yan ndio formula yao yan unachotakiwa kufanya nikuwa na hela kidogo tu ya kuendesha hayo mapenz hilo huwa linaosha, mwanamke akiwa mgumu kwako kuna mhuni mwingine anapewa kirahis sana yan, huwa iko hivyo, saivi kuna mwanake ananiambia simwez eti mimi kuwa nae ni ntakuwa nimepanda rank, yan kila siku ndio stori zake hizo, yan ni kama ananivuta ili nimkazie awe wangu me sitaki sababu naona atansumbua tu ila yemwenyewe ni mzuri kabisa yan
Ndo tulichokua tunatakaa mkubali hili Kwanza, case closed.Ndugu yangu mwanaume kukataliwa sio dhambi hawawez kukukubali wote hakuna mwanaume asio kataliwa
Mbona mnamshambulia sana mdau?[emoji23][emoji23][emoji23] umeona sasa akili yako? Yaan mwanamke kua na uchumi, kazi nzuri, maisha bora, bas unaona kuwa huyo yupo sahihi ktk kila jambo?
Ndio maan nimekuambia hivi hao unaowapata wa sampuli hiyo ni hao au wachache wao, sio wanawake wote kuwa wako hivyo unavowaza wee,
Eti unao uwezo wa kumfanya mtu achat na atumie maneno unayotaka wee, tobaaaah!! aseeeeh unajidanganya sana wee tena mno.
Nwei, endelea na mawindo yako km kawaida, ila nilichokua nataka kukuambia ni kua, acha ku generalize wanawake wote kuwa wana huu upuuzi unaooneshwa na hao partners wako, na kujaza wenzio humu ndani mtazamo huo. Wala haipo hivyo.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Halafu nyie ndo unakuta mnapakuliwa had kwenye 'mitaro'[emoji23][emoji23][emoji23] unajua kama hili ni hekalu? Hiki kipago kinalindwa kwa gharama yoyote ile. Tunakitoa kwa upendo na si kwa kuongopewa.
Hapa tunajaribu kuwaelewesha wenzenu kwamba hizo mbinu wanazokibrag kuzitumia kwa wanawake wao na kugeneralise siyo kwa wanawake wote. Si rahisi. Tena usike ukajiponza bure. Kwanza kunifanya nijisikie offended kwa sex harassments inanipa haki ya kukufungulia mashtaka. Zaidi wengine mtajaambulia matusi na kudharaulika tu. Angalia na mazingira na mtu unayemfata. Wake za watu walioko kwenye ndoa wanaoliwa kimasikhara pia hawajielewi. Wameingia huko bahati mbaya. Mke wa mtu ni kujiheshimu. Kwahiyo hao vitonga mnaokumbana nao si wote.
Halafu nyie ndo unakuta mnapakuliwa had kwenye 'mitaro'
kaa tulia kama huliwi kimasihara usome nyuzi uone wenzio wanavopelekewa moto kimasihara. Unazingua yani Uzi unataka kuwa wako,
Tupia link ya deception bossWiki ilopita nikiwa natoka mwanza kwenda dom nikiwa nimelala guest ya bei ndogo, ni kawaida yangu kulala guest ya kuanzia buku 10 kushuka chini sizidishi hapo.
Mida ya sa tatu usiku chumba Cha jirani nikasikia demu anaongea kwenye simu. Katika maongezi nikaelewa ana matatzo alikuja kumuuguza mama ake na bahati mbaya mama yake kshafariki, pili nilielewa ana miaka 22 na mmewe na 33 Ila hawana mahusiano kutoka na mmewe kushindwa kumpa sapoti kipindi anamuuguza mama yake.Tatu nikaelewa msiba umemfilisi Hana kitu hata hela ya kula uck ule hakua nayo. Tano nilimsikia akijidai kwamba yupo vizur kitandan Ila tu hua anamuogopa mmewe maana ni mzito anaogopa atamuua.
Hiyo somo namba 4,5 likafanya nimsubirie atoke chumban ili nimthaminishe. Baada ka ya dk kumi akafungua mlango na Mimi nikafungua. Kuichek ni pisi ya Kali tu, nikaisalimia kisha nikaiomba tukale. Pisi ikakubali tukaenda kula. Wakt tunarud nikaiambia nimeskia ilivyo vzr kitandani mpaka nimeitaman. Ikakubali kunipa show. Kuja kuipiga ni gogo kitandan af dk 5 nying ikaanza kelele nakojoa nakojoa, ikakojoa mapema Sana. Niliipiga vitatu uck ule na Wala hakua na uzur wwte ktandan.
Kuhusu ndom msiniulize nishaachaga kitambo toka nisome uzi wa deception kwanza nna kibamia sio rahis kupata ngoma nikimuandaa demu vzr. Mm kuliko kutumia ndomu bora nipige master tu
Ndo tulichokua tunatakaa mkubali hili Kwanza, case closed.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Bas sawaaah.Si ni ukweli ? hapa watu wanaleta success stories sababu ndio uzi unataka hizo zile za kukataliwa hawazilet sababu they are not part of this thread
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upo kibaha nnFacebook anatumia jina gan?
Mwanamke cheap unamaaanisha Nini.mwanamke aliyekuelewa lazima atakuwa cheap kwako Ila Kama hajakuelewa utatumia nguvu nyingi atakuachia kisa umetumia nguvu nyingi.I salute your opinion ila still unanipiga chenga ya mwili ujue.. Mimi mwenyewe sipendi mwanamke cheap of course ila siungi mkono u-hardcore kwenyenye kupanda mti kwenye hako kashimo[emoji4]
Sent from my SM-G970U1 using JamiiForums mobile app
Kizur kula nanduguyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] upo kibaha nn
Mzee kuna mserereko hata asipokuelewa utakula tu mzigoMwanamke cheap unamaaanisha Nini.mwanamke aliyekuelewa lazima atakuwa cheap kwako Ila Kama hajakuelewa utatumia nguvu nyingi atakuachia kisa umetumia nguvu nyingi.
Binafsi napenda mwanamke ambaye na yeye akanipenda Mana tukienda atanifurahisha pia.
Mwili wake utafunguka pia kwangu
Yupo mmoja hapo juu, nadhan kwa vile wanamruka mtaan huko basi anapiga kelele humu.Dem awe mzuri na shape kali huyo ndo tunaita classic wew na sura lako la joka la mdimu baki na misimamo yako.
Bahati mbaya ukalenga kwenye ukweli, daahDem awe mzuri na shape kali huyo ndo tunaita classic wew na sura lako la joka la mdimu baki na misimamo yako.
I wish hao wanaojifanya kuleta ligi hapo juu watume picha zao, naapa kwa Mungu tutajuta kwa nn tumetumia nguvu kubwa hivi kubishan na mtu sura zaidi babu yake wa miaka 107.Bahati mbaya ukalenga kwenye ukweli, daah
Humu wanawake wazuri wa sura na shape ni wa kuwahesabu mkuu, wengi wana sura za baba zao.I wish hao wanaojifanya kuleta ligi hapo juu watume picha zao, naapa kwa Mungu tutajuta kwa nn tumetumia nguvu kubwa hivi kubishan na mtu sura zaidi babu yake wa miaka 107.
Classic ladies aka pisi hazina pozi za kujimwambafai hivo
Kuna kublockiwa kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna nakupigwa kibuti mkuuu