Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mkuu umezingua...tena mno

Na hakikisha wale makamanda wangu wasijue kuwa this ever happened (if it is true japo najua unatania) [emoji51][emoji51][emoji51]

Ila uzi huu nao kiboko. Mabaharia walishakula mpaka nguruwe dadeki [emoji16][emoji16][emoji16]

alieniacha hoi ni yule aliekula kichaa[emoji23][emoji23][emoji23] watu wamepinda
 
alieniacha hoi ni yule aliekula kichaa[emoji23][emoji23][emoji23] watu wamepinda
Wa kichaa mbona ana unafuu? Imagine nguruwe na yalivyo machafu na magonjwa sugu ya kila aina lakini bado mtu anapiga bao.

Vichaa wengi wana immune system kali sana ndiyo maana anaweza kuokota kiporo kilichooza akala na akawa poa tu. Na huwezi kuwakuta wana magonjwa haya ya ajabu ajabu. Hata Korona hii mtakufa wote wenyewe wapo tu wanadunda na hawajui kinachoendelea. Lakini nguruwe?
 
Listen and listen good you son of Lucifer. Don't ever tag me in your incorrigible posts.
Unafikiri ni sifa kufanya uasherati na kusimulia uovu wako?

Young man it's your choice to obey GOD au kuwa mkaidi. But remember this, in every action there is consequences.

Mwenye masikio na asikie.
"stop pretending to be holier than the pope himself"

[emoji1]Umemuelewa!!?
 
Top three story
1. Yule jamaa aliyekula Nguruwe
2. Yule jamaa aliyekula kichaa
3. Alafu na uyu aliye kula gay ( ingawa ajaleta story yake [emoji1787][emoji1787][emoji1787] lkn tuipitishe tuu )
Nitag aliyekula kichaa na kitimoto
 
Yaan ushoga unapingwa huku mitandaoni, ila uraiani unafanyika hatari, wala hakna jipya na ajabu yeyote.
Yeye alete kisa chake hapa, tusome ilikuaje, labda awe anatania lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani we ni mwanachama? Naona unapenda kwa mpalange
 
Too many names in one post. So who am i, a young man or a son of Lucifer?

Simple advice, if you can't stand the heat, then get out of the kitchen. Hujalazimishwa kuwepo humu sir!

Ni either uachane na huu uzi, au usome na udinde kimya kimya!
Uzuri kudinda hakuna heshima, yeyote anasimamisha mnazi
 


Hebu kwanza tuingieni hapa kwa Mlokole uchwara
Ngoja tukaone
Anapost uzi wa kujadili viuno vya mabinti mlokole wetu, uzuri JF haifuti kitu
Msameheni labda kaokoka juzi juzi [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom