Simulizi inavutia. Uandishi sifuri. Hakuna aya wala sentensi. Uandishi wa kifala wa kutumia consonanti bila vowels kama unaandikia mafala wenzako mlosoma wote mnaojua slang. Utoto mtupu ktk uandishi ila simulizi inavutia

Bazazi
Msamehe tuu mkuu may b anakumbukia utam wake
 
Wakala wa wap mpka sa5 usiku upo Ewan?
 
Mh chai hii
 
Jana nimekula wife ya mtu kimasihara walahi.. nilikuwa na kajimvua halafu tumekutana nikamuelekeza kwenye Baraza ya guest house tujikinge mvua... Nikaanza kulililia tunda walahi nimelia Hadi tukajikuta tumechukua chumba na kupeana majotrooo!
 
Ndefu inaboa nimeishia kati kusoma au uandishi nao dah
 
[emoji3][emoji3][emoji3] hii balaa hii
 
Kwa hiyo ushakua padri
 
Daaaah huyu rikiboy amefanya had tunasikia na ya uvunguni kabisa, tutazid kusikia na kugain megi zaidi, ila usikate tamaa ipo siku huenda atarudi. Hongera pia kwa kula tunda la mtawa
 
Kwa harakaharaka inaonekana kitandani ni 0 manake kama ungekuwa unayaweza mambo lazima angekukubali....hakunaga mwanamke anayekunwa vizuri halafu akaja kumkataa mkunaji

Usicheke,jitafakari​
The naked truth.
 
Mpka sasa akitoka yule aliomla shangazi yake,anafata huyu mwamba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…