Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Natoka Terminal 3 natua Kotoka International airport ndani ya Ghana,
Nikiwa mitaa ya Spintex Accra, mchana nina tabia ya kula migahawa hii ya kawaida kitu cha Jollof, nazoeana na mhudumu wa pale ni dogo tu around 18yrs, mashine kichizi, Zigo kama lote, kila nikimaliza kula napiga kitu cha Hunters gold kama tatu hivi na vistory vya hapa na pale, natoa tip nasepa kufanya kilichonileta

siku moja weekend nimezama club maarufu mitaa hiyo inaitwa Nhyiraba kojo, kula sana bia, totoz zipo za kumwaga, zina parking hatari, si unajua tena kule West Africa, nikawa napiga bia huku najisemea moyoni bwana atende muujiza hizi parking zisinipite pembeni, nibahatishe ata moja nimuegeshe abdallah,

nanyanyuka kuelekea chooni mara ghafla jicho kwa jicho na yule dogo mhudumu wa kule mgahawani, anashtuka na kuniuliza nimepajuaje hapa, namwambia ni karibu na ninapoishi, na yeye ofcourse ni karibu na mgahawani kwao, namuuliza meza aliyokaa nazama chooni narudi naunga tela meza yake, yupo na mhudumu mwenzake wa kule mgahawani, nachafua meza isivyo kawaida maana nina Cediz za kutosha na card ni kuswap tu, ila dogo hanywi pombe

kufika mida ya around saa tano usiku ya kule mwenzake na dogo yuko njwi anataka kusepa, nikamunong'oneza dogo langu nikamwambia asiondoke nitamsindikiza baadae hivyo amruhusu mwenzake asepe ila amwambie asifunge mlango( technique kidogo ya kumpumbaza mwenzake), maana wanakaa wote, kweli mwenzake nikamlipia Taxi huyoo,

sasa pale nawaza huyu namnyanyuaje hapa kumpeleka hotel nlipofikia, wazo likaniijia nikamwambia kua kuna rafiki yangu alinipa zawadi na vitu mbali mbali nimletee demu wake yupo huku lakin bahati mbaya yule demu wake kahamishwa kikazi nchi nyingine, hivyo twende chap hotel napokaa akaangalie vitakavyomfaa achukue maana sitaki kurud na vile vitu home na isitoshe nitakaa huku muda mrefu kidogo baadhi vinaweza haribika, dogo akatabasam ila akawa anasema ni usiku sana atatoroka kazini kesho fasta aje acheki, nikamkazia akasema basi twende haraka sana ili awahi nyumbani akalale kesho mapema kibaruani, mazee nikaita bolt chap ata bia za mezani sijui nani alizimalizia

hao mpaka room, dogo anafika anashangaa shangaa room kali ina kila kitu cha kufanya ujisikie comfortable, nikaingia bafuni nikaoga yeye akakataa, ile natoka bafuni namkuta bado kasimama ananisubiri, nikamkwatua maksudi kwa kisingizio cha pombe akateleza nikamshika tukadondokea kitandani wote puuu,

shughuli ikaanzia hapo, kula sana mate, nyonya sasa chuchu konzi a.k.a saa sita, sugua sana clitoris juu ya nguo, naona mtoto analowana kwa kasi ya 5G, mimi kwenye safari zangu zote nakua na fullpacked Rapid Kits 5, Condom rough riders 5 ndio safari inaanza, nikaona hapa huyu mtoto nikisema nianze kukomaa kupima kwanza itakula kwangu ngoja kwanza nipge na rough rider cha kwanza halafu vinavyofuata nitamshawis apime ili niwe namla vizuri,

nikavaa condom kwa speed ya light, nikamvua nguo zote, mtoto ana shanga kama nane hivi(ulevi wangu huu), nikampiga pigo pendwa kwanza, nikamgeuza mbuzi kagoma huku nimeshikilia shanga kama zote, jaman mtoto alikua mnato yule acha kabisa, k*ma haikauki, anahema kama ataka kukata pumzi, dakika 15 nyingi wazungu hawa hapa

kalala kama dakika tano kaingia bafuni kaoga vizuri, karudi anaona ona aibu, nikamvua taulo pwaa, aisee nilichokiona mbele yangu abdallah alinyanyuka ghafla, ikabidi tena nichukue rough rider, yule dem nlimtom*ba na mapombe yangu, alilia vilio vyote vikaisha, alikata kiuno style zote lakini mwamba nimesimamia ukucha hakuna cha wazungu wala nn, after almost 45 minutes akaomba tupumzike kidogo anadai nitamuua, nikampa break nikabadili condom nikarejea mada tajwa hapo juu, hapa sasa nikamuonea huruma mtoto ikabidi nitafute deep ejaculation ili nami nipumzike, baada ya dakika 20 bao la pili likakamilika sasa, wote hoi, hapo ngoma saba inaenda nane, mtoto alilala fofofo nami nikaunga tela kuja kushtuka saa 12 kasoro, nikamwamsha dogo bila kumwambia muda nikapiga morning Glory, akaoga chap nikaita bolt akasepa home, hata zile zawadi hakuniulizia nahisi atakua alisahau kabisa kilichomfikisha pale[emoji1][emoji1]

Nilimpima dogo siku za baadae akawa yuko fresh, nikaendelea kumchakata dogo kwa kipindi chote nlichokaa pale, ila Cediz zangu amekula nyingi sana yule mtoto mzuri, maana alikua ananipa mbususu yote nami nikaamua kumpa wallet yote, ngoma GG

Lakini baada ya kua mwenyeji zaidi nilipata wasaidizi wake mitaa ya Osu na Adenta, dogo ningemuua na mechi za kila siku, kwahiyo wakawa wanasaidiana, maana nchi iliniamini mpaka kunituma huko nikaiwakilishe. jaman yale matoto ya kule shanga kama zote halafu matamu haswa, hutaman kula kwa kijiko, ila nilijikaza sana.

Kwani dunia ni yetu,
mkuu ulifwaidi hii ni zaidi ya kufaidi
 
Bwana JeZeus Asifiwe wadau,poleni na majukumu ya hapa na pale tuendelee kushasha vitu vya wagiriki hapa yaani

Masikhara yaendelee!
 
BE CAREFUL OR MAKE A CHAPTER IN MY NOVEL*

Nipo ofisini nimetulia, ghafla anakuja mtu na kibegi cheusi! Mara anatoa dispatch na barua, sign! Mmmh, ndo nini tena jamani! Nikajikuta moyo unapiga paap, mshituko! Akili ikanaambia;
1. Promotion
2. Transfer

Cha pili ndo kilikuwa sahihi. Hivyo, nikalazimika kuanza kukusanya kila kilicho changu kwa ajili ya kusepa na within a fortnight niwe nimeripot ofisi mpya. Yaani nimehamishwa from MMU hadi Hoja Mchanganyiko Kama afisa wa dawati la kupiga ban.

Baada ya kukamilisha kuweka vitu vyangu sawa, nilienda kwa immediate boss wangu na staff wenzangu nikaaga na kuchomoka kurudi maskani.

NAPIGA RIPOTI OFISI MPYA

Nilivofika ofisi mpya, nikapokelewa na kwenda kuoneshwa idara yangu mpya ya kupiga spana nyuzi Chonganishi. Nikatambulishwa kwa wenzangu, waliyokuwepo ofisini. Walikuwa 6, Wanawake 5, mwanaume 1. Jamani huyu ni mwenzetu, mpeni ushirikiano.Alisema bosi wangu mpya! Ohhhh, karibu kaka, karibu idara ya hoja mchanganyiko. Nikasema ahsante!

Baada ya boss kuondoka, mmoja wao akanambia, karibu lkn ujue ni kijiwe haswaa. Hamna safari wala vi-allowance vyovyote.

Nilishukuru kwa ukaribisho, ambapo ukweli kila mtu niliyekuwa namcheki alikuwa na furaha kuanzia kwenye lips zilizokuwa zimepakwa lipstick na macho angavu yenye kuonesha dhahiri kuwa kuna amani na upendo katika ofisi yangu mpya! Yule mbaba naye alikuwa anaonekana kufurahi kupata kijana wa kiume.

Basi siku iliyofuata nilianza kazi rasmi, nikaoneshwa sehemu ya kukaa! Nikawa na-share meza na ofice mate wangu mmoja wa kike ambaye alikuwa mtu mzima kidogo.

Kati ya wale wanawake watano alikuwepo dada mmoja ambaye kwa kweli nilipatwa tamaa ya kumchenjua. Lakini mahsusiano yetu kwa wakati huo yalikuwa ya kuheshimiana Sana. Na huyu dada hamuezi kuzungumza sentensi tatu hajamtaja bwana wa Majeshi. Ilifikia sehemu nikahisi nikimwambia anaweza kataa na kuwaambia wadau afu nikaonekana mhuni, maana ndo kwanza hata mwezi sijamaliza.

Roho ilikuwa inanipa tahadhari kuwa tamaa mwisho wake fedheha. Zaidi nilipojaribu kumdodosa yule mama ( ofice mate ninae-share nae meza) alinihakikishia kuwa dada yule anajiheshimu sana. Watu wanajikanyaga kweli ila ndo hivo. Ni mgumu, akafika mbali akasema yawezekana hajaanza hata wanaume! Nikamuuliza kwa nn mama! Hatujawahi kusikia akizungumza kuhusu mwanaume, mkizungumza hizo stori yeye hunyamaza tu.

Maelezo haya yalinifanya nihisi mambo matatu kwa huyu binti;
1. Msiri
2. Kweli hajaanza (hii nilikuwa na mashaka nayo kabisa)
3. Alishaumizwa, hivyo hataki kushare hiyo experience.

Basi siku moja Ijumaa,bosi aliingia ofisini kwetu na kututaka mimi na yule dada twende job,kesho yake (Jumamosi) tukasaidiane kukamilisha kazi fulani hivi. Tulikubaliana saa 3 asubuhi, tuwe tumefika.

JUMAMOSI SAA TATU

Siku zote hizo nilikuwa naenda na usafiri wa umma, japo nilikuwa na ki-spacio changu uchwara. Nilifanya hivo (kutumia usafiri wa umma) kutokana na ukweli kwamba kipato changu kilikuwa Cha wastani. Sikuwa na mradi wa kuniingizia kipato cha ziada hivyo, kuhudumia gari mafuta ilikuwa inakula kwangu. Na zaidi, ilikuwa ni kuepuka aibu ya kupaki baada ya kupata taarifa kuwa pale mambo ni magumu. Hivyo nikikwama kila mtu atajua. Au wataanza kusema tulikuwa tunamuona tu, hapa ni kijiweni!

Basi siku hiyo (Jmosi Sasa) nilienda nacho, saa 2:40 nilikuwa nimefika, huwezi amini nilimkuta dada keshafika. Nilipaki na kushuka. Then, nikachukua kibegi changu kilichokuwa na laptop. Na mfuko mwingine ulikuwa na karanga na juice 2 za take away. Moja yangu na nyingine yake, afu tukaongozana nae kuelekea ofisini.

Kilichonishangaza si kuwahi kwake kufika, bali ni pigo alizokuwa kapiga! Binti alikuwa kapendeza jamani, alipendeza! Alipendeza Sana! Nilijikuta moyoni naimba wimbo wa Mzee B!

Nimekubali kwamba wewe ni kifaa, uzuri wako baby umepitilizaa, tululi lilili na lilii. Tulili lilili na liliiii. Nikikuangalia moyoni, naishiwaaa, hata wasichana wenzio wakikuona wanakubaliii. It was really a joy to watch a girl of such calibre, sliding like Kelvin De Bruyne in front of my eyes!

TUNAONGOZANA KWENDA OFISINI

Ikumbukwe kuwa tayari alikuwa keshachukua ufunguo kwa mlinzi. Hivyo, tuliongozana kwenda kwenye ofisi yetu.

Kwa nje nilimsalimia, bila kumwambia chochote, nikisubiri tutakapofika ndani, nijaribu kumpa sifa zake, na kumpa sababu ya kutabasamu huyu mwanamajumui wa Korogwe!

Tulifika kwenye chumba Cha ofisi yetu, akafungua mlango na kuurudishia, then akaenda kufungua dirisha na kukaa kwenye kiti chake cha kila siku. Akiwa anafungua dirisha, hakika ndo nilipata nafasi ya kuona jinsi huyu binti alivyo. Alipomaliza kufunga alikaa, hapo pia ndo nilipata nafasi ya kuona tena jinsi kifua chake kilivyokuwa kimetulia kwenye ile fulana yake kwa utulivu.

Chuchu hazina papara, ziko imara zikisubiri kumchoma mtu yeyote atakayesogeza mwili wake jirani. Hakika lilikuwa ni jaribu kubwa Sana kwangu, ambalo sikuwa najua namna ya kuliepuka. Nilitamani kumrukia lakini, she is a girl who always think of heaven. Kama ni timu ya mpira basi ni fantasy, yaani kalio Mesi, chuchu Ronado.

Ukweli nilipatwa na hisia, na kushindwa kuamini Kama ndo yeye ambaye kila siku huwa tuko ofisi moja. She is a different girl today! Balanced and ready for evening meal.

Nilisimama nikamwita jina lake, Gladness, she replied abeee. Nikanyamaza, ila nikaamua kumwangalia tu, kwa unyekekevu na uungwana usiyomithilika.Nilikosa cha kusema , nikabaki nampiga jicho lililobeba ujumbe kama nimemwelewa na kumpokea vizuri moyoni mwangu. Akavunja ukimya, nambie Lugumya!

Nikamwambia, G umependeza Sana, naomba, kama hutojali nikupe mkono wangu wa pongezi. Akafanya kama kuguna, then akasema Okay! Nikamfuata na kumpa mkono, akaupokea vizuri.

Baada ya kuupokea mkono wangu, niliamua kujaribu kama kuuvuta kidogo kwa lengo la kumnyanyua, huku mkono wangu mwingine ukiwa tayari kwa ajili kumkumbatia. Alisimama, nikamwachia! Then nikainua mikono yangu kidogo Kama ishara ya kumkaribisha katika kifua changu, nikiwa natabasamu na kumpiga jicho la paka mwizi.

Bahati nzuri aliitikia tukawa tumekumbatiana. Hapa nilipata nafasi ya kumnong'oneza jambo sikioni mwake. "Umependeza sana Gladness", huku nikiachia na pumzi fulani iweze kusambaa katika ngoma ya sikio la mwanamajumui huyu wa Korogwe, jirani na Mto Mbeza.

Alijitoa kwangu, afu akakaa, nami nikarudi kwenye siti yangu kukaa na kumsubiri boss aje.

Tukiwa tunamsibiri boss, Mara akaniletea simu yake, kuna ujumbe, uliyosomeka,

"Habari za leo Glad! Nitachelewa kufika, bahati mbaya gari limepata shida kidogo, hivo narekebishiwa afu nitafika hapo kwenye saa 4-5. Poleni"

Baada ya kusoma ile sms ya boss alibaki amesimama tu. Nikamwambia kaa G, yaani akae kwenye kiti cha yule mama ambaye huwa nashare nae meza! Akajishauri kidogo then, akakaa!

Alivyokaa, nilifungua ule mfuko nikatoa karanga na juice. Nilimkaribisha, tukaanza kula tukiwa tunamsibiri boss wetu. Huku mimi nikitafakari, namna ya kumweka karibu ili niweze kumtafuna siku za usoni.

Niliwaza Sana. Roho nyingine ikanambia, mwambie tu unampenda, kwani nini? Hawa watu, tumeumbiwa sisi, wawe wasaidizi wetu. Na msaada wao mkubwa kwetu ni kuhakikisha ecolojia ya miili yetu inabalansi.But, I wanted to make it too jokingly, and not so seriously!

Nikiwa katika fukuto la fikra, nilikumbuka kuwa,anapenda kumtukuza Bwana wa Majeshi. Hivyo, hii ndo itakuwa njia sahihi ya kutimiza nia yangu. Nilivuta computer yangu, na kuingia you tube kupiga nyimbo za dini. Moja ya wimbo niliyo upiga ni;

Unikumbukeee, Babaaa, unawa....wengine na Mimi ukikumbukeee.

Usinipitee, babaaaa. Unapowa...wengine na mimi unikumbukeee!

Kijana huyu ataka mchumbaaa, umkumbukeee...!

Wimbo uliendelea kurindima, huku sisi tukifuatisha kwa Sauti za kawaida na kutafuna karanga zetu kwa kusukumia na juice. Tukiwa tunaendelea, na zoezi hili nilipata wazo.

Wazo lilikuwa ni kuhamisha computer kutoka upande wangu, na kuiweka upande alokuwa amekaa Gladness ili nikitaka kutype wimbo, basi nihakikishe mkono wangu unapita jirani na kifua chake, na kuigusa chuchu yake kwa bahati mbaya (sorry, makusudi). Akishtuka niombe msamaha, akipotezea nami nijikaushe!

Kweli wimbo ulivyokaribia kuisha, nilianza kutype wimbo mwingine wa "Kaa Nami" wa Angela Chibalonza! Kipindi natype nilihakikisha kiwiko cha mkono wangu kinagusa chuchu yake. Kweli nikafanikiwa, ila alishtuka na kuinuka kidogo. Nikamwambia sorry! Hakujibu kitu.

Kabla wimbo haujaisha niliona anainama tena kuendelea kuangalia wimbo, hapo nikafanya tena jaribio. Nikamwambia Kuna wimbo mmoja wa niguse tena, ni mzuri Sana.Akanambia, ebu upige! Basi nilianza kutype(ku-saearch) nikiwa nautype nilihakikisha tena kiwiko kinagusa kwenye kifua cha mwanamajumui huyu. Mara hii nafikir niligusa kwenye nido, maana hakujitoa, bali alifanya kama ananilalia.

Nikaanza kuhisi kimsisimko fulani katika mwili wangu. Nikawa natype, nafuta, type nafuta, type nafuta, ili niendelee kufurahia ule mgusano. Zoezi hilo lilienda sambamba na kujitingisha tingisha mwili wangu ili kutengeneza ka-friction fulani hivi amazing.

Alizidi kuusogelea mwili wangu huku chuchu sasa nikiwa bayana kwenye mgongo wangu. Nilijitahiidi kuhakikisha kuwa mwili wangu hautulii, ndipo Glad akaamua kukunja mikono yake na kuiweka juu ya mgungo wangu na kulaza kichwa chake hapo. Hapo nikajisemea, be careful Gladness , otherwise you'll make a chapter in my novel!

Nilipandisha mkono wangu Hadi kwenye kichwa chake, taratibu na kuanza kumpapasa nywele. She was cool. Then, nilipeleka mkono mmoja kwenye upaja wake, nakuanza kuushika kwa namna ya kuusugua sugua. Hapo akajichekesha kicheko fulani Cha kijinga, etii annnnhaa, na kunipiga kikofi fulani cha hamasa na kuongea akiwa amebana pua eti sitaki bn.

Nilijiinua, nae akaondoa mwili wake kwangu. Nilivoinuka tu, sikulazama damu, nikampelekea mdomo, akanitazama kwa mshangao wa mahaba, sura ameikunja kwa style ya kudeka, na jicho la kulegeza, nami nikamkodolea kifilipino, afu nikamvutia mdomoni, akatoa ushirikiano kishikaji na akiwa anaguna taratibu nyaam, nyaaam, mmmmnyaaaammm, kimguno cha kuibia. Nikasema my time is now Kama John Cena!

Nikaanza sasa kutomasa tu bila hofu, na yeye akaanza kujibu mapigo, akanishika kifuani kwenye vichuchu vyangu, afu akahamia chini kwenye mkuyenge akawa anachezea kwenye kichwa kichwa hapo. Nikataka nifungue zipu, akanizuia!

Tuliendelea na zoezi letu, then nikamuinamisha kichwa nikanyonya sikio la kushoto, then la kulia. Lamba shingo yake, akanambia it's eneough bana. This is not a safe place. Sikujali, niliendelea kumchechemua lengo lilikuwa nimlainishe afu nile kamoja fasta. Mara nikasikia kwaa, kwaaa, kwaaa, kwaaa! Kwaaa! Ni bosi alikuwa anakuja.Tukajikausha wote kau, mm nikiwa Vibaya mno, uume umesimama balaa! Tukajifanya kula vikaranga vyetu na kupiga vifunda vya uongo na kweli vya juice! ........!

BOSS ANAINGIA!

Tutaendelea na sehemu ya mwisho jioni wadau, ngoja nimalizie kufua!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom