Mkuu unataka kuwakomoa mademu aisee. Una nguvu ya kupiga bao la kwanza lisaa lizima. Embu fanya kwanza mazoezi ya viungo, push up nyingi upate pumzi. Then ukishaiva nitafute nikupatie urithi.
Mkuu hakuna mwanaume ambae hapendi kuweka heshima kwenye suala la mgegedo, tupe maujanja ya hiyo spray inaitwaje ili heshima zetu zizidi kuongezeka juu ya hawa viumbe,
 
Ila hilo la mwaka wa 4 lilikuwa limalaya
 
Ngoja nami nilete ushuhuda
2016 nasafir na kidia one naenda arusha kikazi ya siku 3 nimepanda Basi mbezi siti namba 10 dirishani yupo dada mrembo wa wastani kumpa salamu kakausha nikajisemea kumoyo msafiri kafiri mda si mda pot za chaji kwa upande wake zika seaze hapo ndipo alipo uza ramani ya vita kuomba atumie pot ya nilipo mie
Maongez ya hapa na pale kumbe ni mjasiria mali anaenda maasai market kununua viatu vya culture
Safar kunoga tupo same gari ikapasua tairi ya ndani mpaka tunafika boma ng'ombe nika mwambia ikikupendeza leo unifundishe ujasiria mali tukifika arusha mda huo ulikuwa by saa moja usiku
Alizingua ooh leo nimechoka mpaka kesho jion nikawa mpole then akanipa namba yake ya simu baada ya mishe kesho yake ilikuwa ijumaa nkamcheki akaniambia yupo
Phillips hotel inaitwa City link nikasema poa am on my way kufika stor za hapa na pale akadai anataka kwenda kula mbuzi kwa mrombooo
Hapo ndipo alipo kosea baada ya kutoka kwa mrombo nkwamwamwisha city link tukaenda mitaa ya Florida mpaka narudi alikuwa ananipunguzia strees kwa kweli na hali ile ya hewa

Nisameheni wakuu kwa uandishi huu
 
Huu ni uzi utakaokuwa na matokeo chanya zaidi hapa nchini... Umetupa wanaume nguvu na ujasiri mkubwa wa kuattempt kula pisi kali....

Ila kama ni kura sijui ni stori ya nani imebamba zaidi...
 
Huu ni uzi utakaokuwa na matokeo chanya zaidi hapa nchini... Umetupa wanaume nguvu na ujasiri mkubwa wa kuattempt kula pisi kali....

Ila kama ni kura sijui ni stori ya nani imebamba zaidi...
Kuna mchizi alimpanda Swine, pengine alistahili Kura
 
Kuhusu story za chuo za kupiga show hizo zako nyepesi Sana. Nakupa moja, jamaa mmj alikuwa anapenda kuongea sana na demu wangu, siku Mija nikamkuta anakula, Dem wangu akadai alimkaangia shemeji ake mayai, kumbe mwehu yule alikuwa amemla Dem wangu, alivaa koti alipomalizakumla kondom kaweka kwenye mfuko wa koti.


tukiwa mabwenn jamaa bila kujua akajikuta ametoa kondom kwa juhificha akataka aipotezee lkn wahuni tushamuona....nilipomuhiji Dem akasema jamaa kweli kamka lkn katumia ndomu....akaniomba msamaha....nikamuona choko tu nikamuacha

Kubwa kuliko huyo demu alikuwa sio maji Mara moja ni mwaga chomeka, alikuwa Malaya lkn na mm nikajikuta nakuwa obsessed, nikisikia anatomb...wa sana na mm machine inakuwa high nyuzi 1000, nikaamua kumrudia nikawa nambana Kona inanafuu, yaani rum yetu hachomoki na zaidi tulikutana na room mate mwenzie wanaetoka wilaya moja, mm na muhuni anayemchukua yule mate wa changudoa wangu, tukawa tunalala room moja,yaani wanne yaani kila mmoja na Dem wake kitanda kimoja, kumbuka kila kitanda ni double decker, juu tukaweka mabegi, chini tukazungushia mashuka, mzee unaingia ndani zitazosikika ni sauti tu, nilikuwa najua dem wangu alikuwa analia sana akimakwa mashine, tena alikuwa anajisahau kabisa kilio kinasikika chumba kizima, mamaamae kumbe kile kilio cha Dem wangu kinamfanya mhuni jirani naye anachanganikiwa so tunawala madem wote muda mmoja, kelele za wangu zinatumika kotekote, baada ya muda Dem wangu akaanza tabia ya kuzimia katikati ya Raha. Anapokuwa na hali ile napiga na kukojoa haraka naanza kumpepea. Kutitukia jamaa jirani anapiga bado

Sasa Hivi anajamaa ake, kabla hajaolewa na huyu mjamaa ake, siku moja tax driver tuliyemzoea akawa anawasimulia wenzie jinsi anavyomkunja Dem wangu kwenye tax yake, sometimes naona huyu dem ni homa tupu

Pamoja na kwamba ameolewa na anawatoto nikimstua tukumbukie hakatai.

Siku moja nikamfumania na jamaa ndani, nikachungulia kwenye mwanya, nikamuita, kwa kumnong'oneza akaja, nikamwambia, mtoe jamaa kimya kimya mm naenda dukani nisimuone, akakubaki nivyoondoka kwa mbali nawacheki akamtoa nje jamaa mmj wa kozi ya Public admin nikammaki, nikarudi rum akaniomba msamaha, nammnnikamwambia ndio maana sikutaka kumuona jamaa ako maana sitaki Vita. Aende kwa amani
 
Huu uandishi wa kijinga hauishii hapa tu

Ataandika hata huko kwingine hivyo hivyo

Wivu wa nini huyo mtawa kuna mtu anamjua?

Huku wote ni anymous wasaidie watu mkiona wanaenda chaka acheni UPUMBAVU.
Sawa mkuu tumekuelewa, ila hata wewe uandishi wako wa kila mstari na aya yake wala hauvutii na wala hauteki hisia za wasomaji,

Kawaida kutoka aya moja kwenda nyingine angalau weka mistari minne na kuendelea.
 
Sawa mkuu tumekuelewa, ila hata wewe uandishi wako wa kila mstari na aya yake wala hauvutii na wala hauteki hisia za wasomaji,

Kawaida kutoka aya moja kwenda nyingine angalau weka mistari minne na kuendelea.

Hatutakiwi kuteka hisia za wasomaji naamini humu wengi sio waaandishi wazuri.

Ila kuandika kwa aya kuweka vituo na mikuto ni muhimu sana kurahisisha usomaji.

Uandishi huu niliiga humu humu ndani baada ya kuona una urahisi zaidi wa kusoma.
 
Hatutakiwi kuteka hisia za wasomaji naamini humu wengi sio waaandishi wazuri.

Ila kuandika kwa aya kuweka vituo na mikuto ni muhimu sana kurahisisha usomaji.

Uandishi huu niliiga humu humu ndani baada ya kuona una urahisi zaidi wa kusoma.
Asa unakuta story ni ndefu kama ya huyo mwamba mseminary, ivi unafikiri kwa uandishi kama huo wako story itakuwa ndefu kiasi gan?.

Nikweli waweke aya lakn siyo kila mstari na aya yake.
 
Nani kakwambia
Hatutakiwi kuteka hisia za wasomaji naamini humu wengi sio waaandishi wazuri.

Ila kuandika kwa aya kuweka vituo na mikuto ni muhimu sana kurahisisha usomaji.

Uandishi huu niliiga humu humu ndani baada ya kuona una urahisi zaidi wa kusoma.
 
Mzee bb tugange yajayo shusha vitu maisha yenyewe aya aya tu close hyo tooic sio sifa
Hatutakiwi kuteka hisia za wasomaji naamini humu wengi sio waaandishi wazuri.

Ila kuandika kwa aya kuweka vituo na mikuto ni muhimu sana kurahisisha usomaji.

Uandishi huu niliiga humu humu ndani baada ya kuona una urahisi zaidi wa kusoma.
 
Asa unakuta story ni ndefu kama ya huyo mwamba mseminary, ivi unafikiri kwa uandishi kama huo wako story itakuwa ndefu kiasi gan?.

Nikweli waweke aya lakn siyo kila mstari na aya yake.

Baba huko nyuma kuna watu wameweka ndefu kuliko hata ya mwana lakini mwandiko freshi

Tatizo lako nini hasa mwana kuambiwa ajirekebishe au? Yaani kuna hatua unakubali halafu unakataa kuna tatizo huko upstairs

Nani kakwambia

Nani kaniambia nini? Kwanza umetokea wapi na wewe?

Mzee bb tugange yajayo shusha vitu maisha yenyewe aya aya tu close hyo tooic sio sifa

Nakuelewa mzee,

Tunajenga tabia za kinafiki sana kama tunashindwa kurekebisha haya madogo makubwa tutaweza?

Uliyeandika ushaelewa point ila kuna ndezi hapo juu hawataki kabisa kukubali wanataka tubishane tu

Anyway huu mjadal naufunga sitarudi tena kuongelea mwandiko

Kwanza mm uzi huu ni msomaji na ninapitia neno baada ya neno hata nisipoingia siku mbili nikakuta posts 200

Am out
 
Hii nyingine nilivyokula tunda kimasihara

Wakati naingia form four,,kuna form one wapya walianza kama kawaida enzi zile wakawa busy sana kutafuta kaka wa shule na dada wa shule

basi kuna binti akawa ananizoea nikawa kaka yake wa shule,,baada ya kumaliza four nikamuacha shule but baada ya kumaliza six nikiwa najiandaa kwenda chuo nikarudi shule yangu ya o level kufata cheti,,,nikamkuta yule binti amekua kua baada ya story tukabadilishana namba maisha yakaemdelea na chats kama kawaida but ananiita kaka tu kama siku zote

alivyomaliza form four akarudi kwao dodoma kuanzia hapo sikuwahi kumuona tena mda niko chuo dsm demu akaenda chuo cha mipango akaanza certificate then diploma kuna siku nikaamuona social media kawa bonge la pisii tamaa zikanijaa nikatafuta namba yake nikawa nachati nae but namzingua mbona umekuwa mkali tukikutana lazima nimle mdogo wangu yy anacheka tu

baada ya kumaliza chuo nikapata kazi mwezi ule ule nikapata semina ya kikaz dodoma baada ya kulipwa tu na wale wazungu per diem zetu nikamtafuta binti walikuwa bado wako chuo amepanga karibu na mipango akanielekeza nikachukua daladala mpaka nikafika akanifata kituoni safari ya kwenda kupaona ghetto lake ikaanza

njian nawaza huyu leo ntamtafunaje wakat tunatembea nikaona duka la dawa nikamzuga nahisi kichwa kinaniuma ngoja nikanunue panadol kuzama nikaagiza fasta condom then nikanunua panado condom nimeweka mfukoni nachukua tu panado dem nae akaingia pharmacy uzuri hakuona kama nimenunua condom nimampa muuzaji hela kamili(sikutaka ajue kama nna mawazo ya kumla siku hio) basi kuffika ndan story chache kumshika shika akawa analalamika unajua ww ni kama kaka yangu mm hapo mizuka imeshapanda hata simuelew analalamika lakn hanizuii dk chache nikawa nimeshamvua nguo nikavaa ndomu fasta dem alikuwa wet tyr nilipiga mashine siku ile rough rider bao tatu zikakata ikabd niuze mechi nikaanza kupiga kavu cha mwisho baadae nikamwambia tukatafute msosi tukarudi tukalala nikamuamsha tena usiku nikapiga kimoko kavu asubuhi nikapiga tena then nikaenda kumalizia semina usiku nilikuwa na washikaji wa semina tukaemda kupiga vyombo kuagana so sikupata mda wa kukutana nae tena kesho yake nikasepa kila siku ananiuliza utakuja lini tena dodoma so bad sijapata tena semina ya pande zile but nikienda tu nahisi ntakula mzigo hata kama kaolewa maana ananiuliziaga sana tu na ni katamu sana **** ilikuwa inabana mno labda saa hv kawe kamegawa sana imetepeta
 
Wakuu mi hiki kitoto sijakitindua ila stori yake ni hii, Nlikuwa nikipita sehemu washkaji waMtaa wanakaa, kuna kiduka cha cha kidizain, sometimes napita nagonga Mkubwa wao narudi home, sasa kuna kitoto kilikuwa kinatoka geti la jiran kinakuja shop, Nikizuri sana, nikawa nakiangalia mara moja alafu navuta hisia, kinaniwazisha mbali sana, kikipita kinasalimia wote mimi kinanichunia, sasa wiki ilopita, kikapita kwa mbali kimependeza nkamwambia mshkaji wangu mmoja(Amezoeana nacho na huwa wanapiga stori) pale kwamba kile nikipata namba ake ntakiweka, tukapiga piga stori pale, yakaisha.... SASA KUMBE KILA NTAKACHOKISEMA JAMAA ANAKIIFADHI ALAFU ANAMFIKISHIA YULE MTOTO, sasa basi Juz nimekaa hapo maskani, kikafungua geti kinataka kutoka kwenda shop kikarudi ndani fasta, kikamwita jamaa kikamwambia naomba uninunulie (groceries) alafu niletee me sitoki nje, jamaa akagoma na kitoto kikagoma kabisa kutoka, nikamwambia jamaa mnunulie mpelekee ndani jamaa akaenda kumpelekea mazaga, kilivhofika ndani kikapiga simu kwa jamaa, jamaa akapokea, akiwa anaongea nacho nikadakia nikamwambia kama ni yule mtoto aloogopa kuja nje kununua mazaga naomba nibonge nae, nkabonga nae nikamwomba na namba yake ya simu pale pale akakubali, nlivyokata simu nkaichukua nikaisev, NKAJISEMEA SIKU NIKIPATA MUDA NTAKITAFUTA, sasa Jana jion sina hili wala lile bila hata ya kuwah kumpigia simu naona simu yake inaita, kumbe jamaa alivyokuwa anakipa mastori kilishaelekea kibra siku nyingi sana, sasa kesho kimesema mida ya mchana kinataka kije gheto kinisalimu, hii chance siwez ikosa, Naenda ofisini alafu najipa call ya maeneo ya home aisee nikikibandua na mimi ntakuwa NIMEKULA TUNDA KIMASIHARA AU ? Sababu najua siwez kukikosa aisee, najua akija ATADUWAA TU MNYAMWEZI NLIVYOPANGA VITU VYANGU VIKAPANGIKA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣


WAZEE WA KUTELEZA NAJUA MNACHOWAZA ILA ME CONDOM NNAZO NYINGI, ila hapo hapo nawaza nataka nikiweke kiufundi ili kichanganyikiwe( Na ufundi na ndomu inakuaga ngumu kidogo daah), kiwe kinanisikiza mimi tu aisee....KINANIPA MAWAZO AISEE, ni kizuri sana wakuu...
 
Nyingine hii. Nmeamishiwa kazi dar. Kufika nkapanga room moja self maeneo ya sinza. Katika pita pita nkaopoa demu kitaa hana ishu nkawa namkaza. Siku hiyo nimepanga kutoka nae na wanangu nliopiga nao shule tuende maeno ya 5N. Nkajua ntachelewa sana kurudi so nkaomba funguo ya getini pale home. Nkauluzia ulizia demu mmoja nae kapanga nyumba hiyo hiyo kanipa funguo yake ya getini kasema ye yupo tu siku hiyo. Tukabadilishana namba ikapita.
Ile nipo 5N mida ya saa 3 hivi na wana na huyo demu wangu,yule wa home akanicheki, kasema kaboreka anataka kuja nilipo. Nkamuelekeza akaja.
Lengo langu niwapasie wana. Kafika tumekunywa hadi saa 7 tukasepa. Nkarudi nao wote home. Yule demu yeye kaenda kwake, mimi nkaenda kwangu na yule demu wangu.
Baada ya kama siku 4 au 5 hivi demu katoka kazini kaja kapitia kwangu tukapiga piga story, kamuulizia demu wangu nkamuambia yupo kwake. Baadae kidogo kasema anaenda kwake kubadilisha nguo, nkamfata tumeingia ndani akaniambia hili gauni linanibana I hope u dont mind, kalivua, kavua tight, kavua bra, kavua chupi, kaingia bafuni, mwamba nimekaa kwenye kiti namcheki tu. Nkavua nguo nkafata bafuni, kainamishwa kapigwa doggy pale pale bafuni. Nkalala kwake siku ile. Mtoto anajua kutiana yule. Kumbe alikua amegombana na mchizi wake. Jamaa kazalisha nje demu kajua.
Nkaendelea nae na yule wa kitaa nkampotezea manake mabaharia walikua washamtumia sana. Jamaa yake kakomaa mpaka kamvalisha pete wakarudiana, tukapotezeana. Nyumba nzima hakuna alikua anajua tulikua tunagongana. Show zilikua ni usiku kwa usiku

Kwenye hiyo nyumba kulikua na manzi mwingine amepanga, ni mhasibu, nlitaka kumla lakini akawa hataki kuingia geto, anataka mpaka tuwe wapenzi rasmi, nkampotezea. Mara kaja mdogo wake mtoto wa mamdogo anasoma chuo, mtoto mkali af mbichii. Sikumchelewesha, vizawadi kila siku geto nae anaogopa kuja, nkampeleka movie mliman city siku moja, kurudi home saa 7, nkaunga nae geto nkamla siku ile, ndo nkawa namla.
Baadae dada yake akajua,wakagombana hadi akatimuliwa, kaenda kupanga mawasiliano. Nkaendelea kumla. Lakini nkaja kumuacha tu baadae, demu ana vizinga yule. Kila siku elf 5 elf 10. Ukipiga hesabu kwa mwez inafika 200k. Na pale nlikua nimeama kipindi hicho. Namba yake bado nnayo naona status zake bado anavutia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…