We jamaa umeongea point sana! Kuna mwamba ameleta ya alivomtafuna mtawa, yan raia wanaanza kuponda mwandiko.

Halaf nimegundua kuna watu wana wivu sana humu, kama huwez kusoma mwandiko si unapita tu kimya unatafta comment iliyoandikwa vizuri?
kweli bro,au wale kila story wao wanasema ni uongo,ila zao za kweli hawatoi
 
Pole mzenji kwa kuchapiwa!!!
 
Hiy
Hiyo ya kwanza itafaa. Hii spray inachofanya ni kutia ganzi sehemu husika. Sasa watu tunaitumia kuua sensitive ya nerves kwwnye kichwa cha uume ili MTU aende muda mrefu kabla hajamaliza.
Basically vumbi Lmla Congo ndicho inafanya. Kupunguza au kuua sensitivity ya nerves around the head of a penis so as to avoid premature ejacuoation.
Lakini matumizi ya hii spray ni kuua maumivu kwa muda (temporary) mfano wacheza Moira wanapoumia uwanjani wana wapulizia kwwnye misuli au mfupa kuua maumivu kwa muda ili waweze endelea na mchezo.
 

Hizi hutumii muda Wote unatumia Kwa Wale Wasumbufu na Watukutuuu..!!! Dar zinapatikana wapi hizi?
 
Mkuu hiyo sprei inakazi nyingine kwa matumizi ya binadamu au kazi yake ndo hiyo moja tuu....yaani namaanisha ukienda kununua ndomu muuzaji anajua kazi yake ni sex sasa nikienda ulizia hiyo sprei nikauliza inafahamika matumizi yake kwamba ni sex au inamatumizi mingine pia??.....hahaha
 
Utinduaji mwema kamanda, ila usikamie sana gemu, ukikamia aisee utapiga shoo mbovu hutaamin, na hutaleta mrejesho huku bali utapeleka kwenye ule uzi wa kupiga shoo mbovu,

Relax mkuu, usikamie hapo ndo utapiga shoo ya maana!!
 
Hii fursa ya kibiashara. Ngoja nizitafute nitengeneze hela.
 
Umetisha bro[emoji23][emoji23]
 
Utinduaji mwema kamanda, ila usikamie sana gemu, ukikamia aisee utapiga shoo mbovu hutaamin, na hutaleta mrejesho huku bali utapeleka kwenye ule uzi wa kupiga shoo mbovu,

Relax mkuu, usikamie hapo ndo utapiga shoo ya maana!!

ahahahaha nimecheka ahahahahaha ule uzi na wenyewe una mambo ahahahahaha daaah aisee ngoja nirelax
 
Mkuu

Haikutengenezwa kwa ajili hiyo. Imetengenezwa maalum kwa tiba hasa ya kinywa. Unapulizia mdomoni unapata ganzi, wajuvi wanafanya yao.

Ila ktk madawa hasa ya BinAdam kuna kitu kinaitwa "Off-Label Use". Hiyo ikimaanisha matumizi ya dawa yasiyokusudiwa na mtengenezaji. Mfano tramadol ni dawa ya kutuliza maumivu ya wastani na makali. Mabaharia wameibadilishia matumizi; waitumia kama tiba ya PE. Wanainywa saa 2 kabla ya mchezo, hivyo wanasugua papuchi hadi iwake moto kabla ya mzee kucheua maziwa yake.

Spray inatumia kama "OFF-LABEL USE" tu mkuu Baba

Bazazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…