[emoji38][emoji38][emoji38]mabaharia sio watu wazuri
 
Hebu wote tum ignore huyu jamaa,unajua watu wengine wana msongo wa mawazo wanatafuta pakupumzika!!
yeye kama ana hela ni zakwake na familia yake sioni sababu ya kuja kutambia watu humu Jf,na haya ni matokeo ya Tecno vitochi,hadi wapumbavu wanamiliki simu!!
Mkuu vipi mbona kama vile unatuandama sana na tushakwambia hatutaki shobo hivi hujaona Uzi mwengine wa kwenda zaidi ya huu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…