Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mkuu huu uzi unavutia ila una madhara yake. Mimi nilikua nina imani na mke wangu ila toka nianze kusoma huu uzi simuamini tena, nikipiga simu Mara moja asipopokea nakua mkali na spend awe na ukaribu na washkaji zangu. Mpaka ameanza kulalamika Kama nimebadilika sana siku hizi hata simuamini ila namjibu ni upendo tu umeongezeka
[emoji38][emoji38][emoji38]mabaharia sio watu wazuri
 
Hebu wote tum ignore huyu jamaa,unajua watu wengine wana msongo wa mawazo wanatafuta pakupumzika!!
yeye kama ana hela ni zakwake na familia yake sioni sababu ya kuja kutambia watu humu Jf,na haya ni matokeo ya Tecno vitochi,hadi wapumbavu wanamiliki simu!!
Mkuu vipi mbona kama vile unatuandama sana na tushakwambia hatutaki shobo hivi hujaona Uzi mwengine wa kwenda zaidi ya huu ?
 
Back
Top Bottom