Harufu ilikuwaje..?
 
Duuuh...we sio Baharia, ni Fisi kabisa..hizo genye zako noma sana🙂🙂
 
Umetumia pesa kiasi gani mchakato wa kuwala wote hao???[emoji16][emoji16]
Akaunti yako benki ina nusu ya hyo hela uliyotumia....

Badae lete visaa
 
Ushawahi kujiuliza watoto wa adam walioa watoto wa nani
Hamna aliyenipa mamlaka, nimejipa mwenyewe, na ndio ukweli, hayo maroho mnayoyabeba huko fools, unalala na mama mdogo wako na shangazi yako unategemea nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…