Dooh...

Nimesoma stori nyingi naona watu mmekula sana watawa..

Tunapata picha gani kwa hawa watawa..? [emoji848]
Kazi ipo..
 
Mademu nao sometimes huwa ni waongo kinyama..
 
Duuh *****[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
 
rikiboy ase nilikula ban kwa ile Id yangu ya mwanzo kisa kuutetea uzi wetu pendwa mods wanasema nimeitukana serikali ya ccm[emoji16][emoji16][emoji16]
Babaa nipo hapa[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] na mimi wamenipa bhanaa.....!! Acha waendeleee kufuta post tu na kutupiga ban
 
Duh!!!
 
We jamaaa police hawakukupiga????
 
Aiseeee this is among the best coincidence dah
 
Jinsi mabek tatu wanavyopata tabu dahjjj
 
Hukula??? Dah
 
Duh yaaani sita wote umekula wewe we jamaaa noma
 
Bwana mifugo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…