huyu hazijui siemens C45 na hajui zilivotamba na ile milio ..nikiwa form 2 nadhani ndi mshua alinunu asimu kwangu na mdodo wangu ///...leteni story tu hapa wadau za kula kimasihara


Miaka hyo bei ya simcard (aka line) kwa Sasa unapata simu ya mchina swaaafi Kabisa..
 
Wewe ndio ulimkosea heshima kwanza
 
Hiyo ajali tu kazini kaka ..., Si unajua kibongo bongo tunapenda kitonga sana

Na alikaa kwangu zaidi ya miezi mitatu napakua kila aina ya stayle
Hukumpa mimba? Maana huwa nasikia hana beki tatu mgumba.
 
Jinga la mwaka![emoji57]
 
Umeandika nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…