Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Kwamb unatak kusema walaj wa kimasihara wagonjwa
Hapana mkuu lakini kula kimasihara unaweza sababisha kueneza ukimwi kwa sababu wapo miongoni mwao watakuwa nao ila wengine hawana pia suala la matumizi ya condom hamna. So inakuwa afadhali ukipata mtu muaminifu pima ndio mfanye mapenzi na pia chagua kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
 
Hapana mkuu lakini kula kimasihara unaweza sababisha kueneza ukimwi kwa sababu wapo miongoni mwao watakuwa nao ila wengine hawana pia suala la matumizi ya condom hamna. So inakuwa afadhali ukipata mtu muaminifu pima ndio mfanye mapenzi na pia chagua kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu
Asa mbn kama huu Uzi hauhitaj watu aina yako na unalijua Hilo hahahha c unsubscribe tu mzeee
 
Ukifanya hivyo mkuu na unaijua yule ni mtu wangu utakuwa unakosea na hiki ndio nachokisema usigonge mtu ukijua kabisa ana mahusiano na mtu Fulani hiyo ni kukoseana heshima. Pia hii huchangia kueneza ukimwi tafuta wa kwako tulia kwani mbona inawezekekana tatizo liko wapi mpaka utake kulala na mwanamke huku unaijua ana mtu? Ukimwi hauna mchezo ndugu yangu tuheshimu mahusiano ya watu

Swali? Una uhakika huyo ulie nae ana mahusiano na wewe tu? NIPO PALE NIMEKAA.
 
Wakishakujaga watu na mada zao za ajabu ajabu humu au wale wazee kutongozana humu wakipamba moto tuna mute kuutembelea uzi kidogo, mpaka hali iwe shwari ndo tunarudi.
Kaeni mkijua humu hamna mtoto, kila mtu anajua nini anafanya na kwanini anafanya. So mshahara wa dhambi zake ni wake mwenyewe
 
Back
Top Bottom