Tafuta hela
 
Nani amekuambia uoshe mashine na spirit??.


Unapomaliza kumwaga shahawa, chakwanza kwanza, ingia bafuni jimwagie maji kwenye mashine uondoe maji maji yote ya ukeni.


Kuna wapuuzi wanamwaga ,wanaendelea kumtuliza mbooo Kwa K alafu baadae wanatoa mbooo nje, wanajifuta 🤣🤣...mtaondoka!!.


Ukishamwaga tu, wee usisubiri , mida huohuo , toa Mboo nje, ingia bafuni, jimwagie maji , USITUMIE SABUNI WALA NN.


HIV anatumia karibia Masaa 72 ( siku tatu ) ili kupata Seli zinazomsaidia yeye kujizalisha.

Kwa Masaa haya 72 HIV atakua anazunguka kule na kule kuzitafuta zeli hizo, akishaingia tu basi, hata PEP hafai tenaa.


Hivo basi kwakua umewahi mapema, PEP itamfanya kazi Kwan bado HIV Yuko kwenye muda wa kuzunguka huko na huko kutafuta makazi ya kuanza kuzaliana .


Kunywa PEP, kula ushibe.

Najua mwezi mzima, hautakua unalala vizuri, ndoto za ajabu, kuhisi unapaa, kuhisi unaitwa itwa, tumbo **** ,kichefu chefu, haya yote ni maudhi ya Dawa ambayo HAUNA BUDI ZAIDI YA KUVUMILIA.


Tombeni sanaaa, kuleni sana masihara, ila ila ila KONDOM NI MUHIM.


Siku mkijiuliza kwann sahizi Kila Kona Kuna MATAKO MAKUBWA, ndo mtajua kua ARVs ni nyingi na zimezigaa mtaani!!.


Mimi pamoja na uhuni woteeee, ulaji tunda Kimasihara sanaaaa, Kondomu Huwa ni lazima, hata tupime, lazima nikutombe Kwa ndomu.


Kuna watu wanachelewa kua Seropositive , Hawa unakuta Ndani ya miezi miwili mpaka minne au sita, wanasoma negative, lkn ni watu ambao ni highly infectious yaan wenyewe wanasoma hawana HIV ila Sasa wanakuaa na kiwango Kikubwa sana Cha HIV kwahiyo wanaambukiza kwelikweli yaan ni kugusa tu paaaa, unaondoka nao.
 
Hakuna mwanamke /mwanaume asiyependa hela.

Hapo usikute ulimpa buku ten mwenyewe ukahisi umetoa pesa ya maana.

Ongeza ongeza kibunda uone kama ataruka.
 
Dah Kama huku Chugga vitoto vya chuo flani sitataja , vimewaka sana ...
 
Koss lako kubwa ni kumpa attention yako kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…