Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Habari zenu

Wataalam nimekutana na mkasa huu lisaa limoja lilopita navyoongea sasa nipo Hospital nachukua dawa za PEP Mungu Mwema naamini sijapata...
Kwa hiyo ulimpima wakati umeshamla hadi tigo. R.I.P in advance!!
 
Dem akikuzungusha sanaaaa, achana naye.. chukulia kama anataka kuepusha asikuambukize


Demu umepata leoleo, Usimuone yeye ni bwege Sanaa, Tumia Kondom.


Haya Kuna Hawa walevi, pombe zinawapaga nyegee, nakujikuta mmetiana na watu waliojichokeaaa sana.


Acheni kulana na Wanawake wakati mmelewa.


Kama Kuna Mlevi anayekumbuka Ndom au kupima , anyooshe mkono hapa nimuone.


Otherwise niiteni Mbwaaaa nmekaa pale !!.
WAZUNGU HAWATUPENDI. MADAKTARI FUNDISHENI WATU UKWELI JUU YA HUYU RETROVIRUS H.I.V NI WA KAWAIDA KABISA SIO WA KUMWOGOPA KABISA
 
Humu wanafurahia shida za watu haya sasa labda nawewe ulikuwa unanishutumu mie malaya ila ndio life
 
WAZUNGU HAWATUPENDI. MADAKTARI FUNDISHENI WATU UKWELI JUU YA HUYU RETROVIRUS H.I.V NI WA KAWAIDA KABISA SIO WA KUMWOGOPA KABISA
JACOB ZUMA ALITUAMBIA TUWE TUNAWAHI KUOSHA ILA ALITUMWA TU NA WAZUNGU KUSEMA HIVYO KUMKANISHA THABO MBEKI ALIVYOWWMBIA WA SOUTH WAPUUZE HIV NA ARV
 
NIMEPEWA DOZI MOJA YA LEO USIKU KAANDIKA (TLG) SABABU NIMEENDA JIONI SANA NA SIJUI DATA WAMEFUNGA.. SO KESHO ASUBUHI NAENDA KUCHUKUA VIDONGE 29 VILIVYOBAKI.. KANIELEZA PIA MAUDHI YAKE KASEMA NIJIANDAE KWA LOLOTE.

NIKIRUDI NYUMBANI NAENDA KUOSHA UUME NA SPIRIT AISEE ANASEMA VIZURI UKIVIWAI MAANA HUYO MDUDU HUWA NJE HAPO KWA SAA 12 KISHA ANANZAA KUCHIMBA NDANI KUFATA CELL ZA DAMU.

TUWE MAKINI SANA WATAALAM UKIMWI UPO
Sasa wewe uwe makini ya Nini wakati tayari.
 
Back
Top Bottom