Ogopa sana maisha ya kula mbaazi everyday ,Sasa endeleeni kutamani matakoo
 
Sio lazima ukubaliwe na kila mwanamke unayemtaka.
 
Hongerq mmuu.

Umepata ulichokitafuta.

Sasa ishi kwa kujimwambafy na ARVs

Yeye umempima leo anao, wewe pima baada ya miezi 3 uweze kuwa na uhakika wa CD4 za kuongeza
 
Unavyozidi kuomba kupewa ndo unavyojishusha hadhi na utaishia kuingizwa kweny friendzone. A man should know why anatongoza kwanza na hapo...
Naam ukiona mwanamke hana response na ww move on mapema it will save you from a lot of embarrasement.
Keki ni kubwa sana tafuta kipande chako na wewe jikatie uinjoy taratibu
 
Test ya syphilis afu unasema ana ukimwi? Picha ya SD bioline iko wapi? Uni gold je
Hivi kati ya SD bioline HIV self Test na Unigold HIV self test ipi iko poa kwenye kutoa matokeo sahihi ?

Kwa yeyote anayefahamu naomba ajibu please.
 
Naam ukiona mwanamke hana response na ww move on mapema it will save you from a lot of embarrasement.
Keki ni kubwa sana tafuta kipande chako na wewe jikatie uinjoy taratibu
Sometimes tunapenda kufukuziwa jamani msi move on mapema aah πŸ˜€πŸ˜€
 
Hivi kati ya SD bioline HIV self Test na Unigold HIV self test ipi iko poa kwenye kutoa matokeo sahihi ?

Kwa yeyote anayefahamu naomba ajibu please.
Uwa wanaanza kutumia SD Bioline ukikutwa positive wanakupika ya Uni gold so Uni Gold ndo kinatoa majibu sahihi na kinaaminika zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…