Kama
 

Attachments

  • Screenshot_20230620-230251_PLAYit.jpg
    87.3 KB · Views: 67
Shusheni hizo essay za ki joke joke sie tusomee hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shusheni hizo essay za ki joke joke sie tusomee hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kuna instagram account inaitwa Muregi; madem wa Kenya wamefunguka sana kuliwa na Uber Drivers

Nasubiri kusoma hapa testimony zenu mkitoka Kidimbwi na Tipsy.
 
Achana na issue za kubaka. Ni kosa mbele ya macho ya Sheria. Mmeshawahi kutoka pamoja mka kae au ndio unamalizia maongezi barabarani?
Muombe tu akupe nafasi siku moja mwende sehemu umwambie nia yako thabiti kwake akikataa mwache baadae atakutafuta mwenyewe. Saikolojia ya wanawake iko hivyo. Ukimuonesha kumtaka/jali/penda sana wengi husumbua.
 
Habari za asubuhi wapenzi. Naomba kujuzwa hii staili ipoje, Kuna jamaa nimekula hela yake ndefu, nataka nikafanye retirement weekend ili ikiwezekana ahonge nyumba kabisa
 
WAKUU HABARI ZENU..

MUNGU MWEMA.. TANGU JANA NIMEFIKISHA MASAA 24 TOKA NIKUTANE NA MWANAMKE MWENYE MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA UKIMWI.

TAYARI NIMESHAANZA KUNYWA PEP TOKA JUZI.. KIUKWELI HIZI DAWA NDO MARA YA KWANZA KUNYWA KAMA WATU WANAVYOSEMA KWELI ZINAMAUDHI SANA ILA SIJUI KUOTA NDOTO MBAYA SIJAONA KIUKWEL.

TOKA NIMEANZA KUNYWA NIMEKUTANA NA MAUDHI YAFUATAYO:

1. NAPO KUNYWA TU DAWA HUWA SIMALIZI LISAA NAJIKUTA NIMESINZIA USINGIZI MZITO SANA

2. TOKA NIMEANZA KUNYWA DAWA IKIFIKA SAA 9 USIKU WAKUU KWANZA NASHTUKA HAPO SIPATI USINGIZI TENA MPAKA KUNA KUCHA

3. IKIFIKA SAA 9 MCHANA AU 10 NAPATA USINGIZI WA AJABU AMBAPO NIKIAMKA LAZIMA NINYWE MAJI KOO HUWA KAMA LIMEKAUKA HIVI

4. MWILI KUHISI UVIVU, KUCHOKA CHOKA NA KUHISI KICHEFU CHEFU.

HIZI ZOTE NILIAMBIWA NA DOKTA ZINAWEZA KUTOKEA NA KWELI ZIMETOKEA BADO NAENDELEA KUTUMIA DAWA PEP SO TUOMBEANE WADAU AJALI KAZINI HAZIKOSI
 
Alinikata mzuk alivyokuwa anaongea na sim na mwenzie af majiran sio wa kutongoza maana ukimtongoza unampa mda wa kufanya maamuzi! Ila sijataka tena kuhangaika nae maana ni nyege tu ndo zilifikisha huko! Jana tena amesikia nakuja akafungua mlango wote nikapita kama simuoni! Nyenge mbaya sana wakuu!
 
Oyaa jamaa unataka umpe matatizo huyo, mshauri aende kwingine na kuendelea na maisha na aachane na huyo. Hadi hapo keshapoteza pride yake mbele ya huyo demu, hata akija kumpata atamsumbua sana na kumpa stress kupitiliza sababu alishafanya koaa moja kubwa.

Mwanamke ukimpa attention kubwa ni kosa la kiufundi hilo na huyu ameshalifanya. Muhimu atafute mwingine kwanza na afute wazo la kuwa na huyo kimapenzi kabisa kama nia yake ni kumpenda kwa dhati. Tusije tukaja kumzika kwa msongo wa mawazo. Kama nia ni kupita naye, atoke na demu mwingine na ahakikishe kajua hilo na apunguze kumpa attention.

Demu asipoonesha kujishtukia na kujirudi basi aachane naye mara moja hadi hapo hana feelings zozote kwake
 
Imeisha hyooooo,,,dj tuambie tunakutana mwananyamala au wap
 
Oya acha uduwanzi unatuharibia uzi wetu, wewe pambana na madawa yako... Hakuna mtoto humu embu tuletee kimasihara nyingine hata ya primary...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…