Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajuana hao mtu na dada ake. Ale wote tukama hadi sasa mkeo hajashtuka kitu basi nae ni boga kama mdogo wake.
Kaambie kaache ujinga ina maana kanamuonea wivu dada yake. Usikatooooo...achana na tamaa mkurungwa.Aaah wp
mke wng namjua vema angekuwa anajua angesharipuka ana wivu sn.
Na hata mimi ningeshawashtukia ushahd mmoja yule shem wng hawez nitumia ujumbe wowote muda ninaokuwa home mpk niwe nimetoka na hata muda huu nachart naye namwambia anazngua sn amejbu ye bdo mtoto ndo maana lazma azngue kdogo kwan mambo meng hajui ananitegemea mi shem wake nimjuze nimemwambia ye aje tamfundsha.
Yan tampga shipa si inji hii...!
Mbn hatuon visa vya mademu waloliwa kimasihara[emoji4][emoji4] maana zote ni za ma men asa wamewala nani..........
umesema ukweli manzi, kiukweli wanaotengeneza mazingira ni ke! tena makusudi!! akili mkichwaa!! [emoji28]Nyie mnaweza hisi mmekula kimasihara lkn kwa wadada wengi ni tunakua tumeplan kwamba hapa lzm nimpe au lzm nionje au akitaka tu sikatai
Na ndo maana wapi wengine walijaribu kula kimasihara na hawakufanikiwa
Uhuru unapitiliza,yaani hakuna mipakaHivi mtu na shemeji ake mnazungumza nn? Tena jinsia tofauti??
Mie waume wa dada wala wake za kaka, cna mda waa kuchati nao, hata kuongea nao kwa cm ni mara chache sanaa.
Mie tangu nasoma nilipata bahati ya kuwa na marafiki wengi wa mikoa hii,singida manyara kuna namna tunaendana maybe walidhani ndugu yao ila nasema hivi hata akiwa analala kwenye maombi ishi naye kwa akili,hapana kwao ni ngumu mno,utasema walikunywa maji ya ndioSingida sina hamu napo! Nikiskia mtu anaentertain pisi za huko kinachonijia kichwan ni bench za hospital ya sinza Palestine na bima yangu mkononi