Toka kwa shemeji,panga chumba,utagegeda utakavyo.
 
Duh! We jamaa umetisha Sana kwa Kweli,Sasa unataka kwenda kumsemea shemeji yako kwa dadako😂
 
Kaambie kaache ujinga ina maana kanamuonea wivu dada yake. Usikatooooo...achana na tamaa mkurungwa.
 
Mbn hatuon visa vya mademu waloliwa kimasihara[emoji4][emoji4] maana zote ni za ma men asa wamewala nani..........

Nyie mnaweza hisi mmekula kimasihara lkn kwa wadada wengi ni tunakua tumeplan kwamba hapa lzm nimpe au lzm nionje au akitaka tu sikatai

Na ndo maana wapi wengine walijaribu kula kimasihara na hawakufanikiwa
 
Nyie mnaweza hisi mmekula kimasihara lkn kwa wadada wengi ni tunakua tumeplan kwamba hapa lzm nimpe au lzm nionje au akitaka tu sikatai

Na ndo maana wapi wengine walijaribu kula kimasihara na hawakufanikiwa
umesema ukweli manzi, kiukweli wanaotengeneza mazingira ni ke! tena makusudi!! akili mkichwaa!! [emoji28]

hili naona men wengi hawajalijuwa
 
Singida sina hamu napo! Nikiskia mtu anaentertain pisi za huko kinachonijia kichwan ni bench za hospital ya sinza Palestine na bima yangu mkononi
Mie tangu nasoma nilipata bahati ya kuwa na marafiki wengi wa mikoa hii,singida manyara kuna namna tunaendana maybe walidhani ndugu yao ila nasema hivi hata akiwa analala kwenye maombi ishi naye kwa akili,hapana kwao ni ngumu mno,utasema walikunywa maji ya ndio

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Asikuambie mtu babu aisee jana nimernjoy sana wakuu baada ya wikiendi yangu kumalizwa na mbususu kutoka kwa member mmoja maarufu humu jukwaani jina kapuni, nataraji kutangaza ndoa wakuu aisee yaani sio poa kabisa

Shukrani sana kwa hotel moja ya nyota tatu humu mjini ambayo ipo katikati ya kariakoo karibu na msikiti wa mtoro ndipo nilimo muingiza tokea saa kumi alasiri mpaka saa sita usiku ndipo tulimomaliza kazi wakuu huyu demu ni msafi, mtamu, ana akili mingi sana na nawasihi na nyie muwatafute member mmoja wa jamii forum muoe then mkulane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…