Mke wako yeye hana Dada mkubwa mwenye Mme na ashawai kwenda kwao kabda ujamuoa?

Usikute ni tabia tu ya hio familia.
 
Wewe ni bado ni Mvulana, ukifikia hadhi ya kuitwa MWANAUME utaachana na huu upuuzi. Wanawake kuweni makini kutofautisha Wavulana na Wanaume ili kuepuka fedhea ndogo ndogo.k
 
Wewe na Dada yako nani mkubwa? Unafanya kazi ya houseboy ie kufua, kupiga pasi, kupeleka watoto shule nk
 
Tunamsubiri na yeye aje atoe ushuhuda wake jinsi ulivyomkeraaaa, mwanamume unaongea kama kasuku... kwa kweli alikuvumilia tuuuu..... humpati tena!! omba Mungu asielezee habari za kibamia!!!
 
Singida, kateshi, hydomu na some parts za mbulu plus karatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…