[emoji23][emoji23] alikua ashakolea ,mimi pia nikiwalaga lazima nicheze napo pale,yani wanaongezaga hadi speed ya kukatika,alafu kuna mmoja nikitaka kutoa tu anakwambia usitoe [emoji23],,yani kama una manzi yako basi we mfanyie tu hivyo, otherwise atakutana na maniga kama sie atapagawa [emoji23]
 
Nilivhogundua
Walevi wa pombe wanafaid sana
Pia pesa nayo inashawishi sana
Ila.haiba ya mtu ni silaha kubwa
Pombe+pesa+ haiba=masihara kibao.
Pombe=hulegeza mkiwa eneo
Pesaro= hupumbava vudemu
Haiba= huvuta

Nini kinabaki hapo. Kula tu

Kwahiy sisi ambao
No pombe
No pesa
No haiba
Tunapitia kipind kigum sana
 
Umeongea kwa uchukungu sana
 
Inawezekana alikuwq na mimba na kaitoa kwa njia isiyo rasm so makab ndio yanaleta shida na dyudyu yako ikayatifua......!!
 
na
mafuta ya nazi ulinunua bila shaka
 
Watu nomaaa yaniii... mnanonya hadi vinenaa... 😅😅😅
Unatishaaa asee
 
Wakuu hapa napoishi ninaishi nyumba moja na mpangaji mwenzangu ni demu fulani ana tako la kichokozi, sasa tuna share choo, na kamba ya kuanikia nguo.

Sasa yeye akiona nimeanika nguo zangu, kwa pembeni ataanika chupi zake, sasa leo nimeenda kuoga nimeona chooni nyuma ya mlango katundika chupi tatu za pinki aisee wakuu hii inaashiria nini hafu wiki iliyopita nilianika soksi zangu kwenye kamba lakini sizioni na nimemuuliza kagoma kasema hakuziona na tunaishi wawili tuu ndani ya fensi.
 
Acha ujinga basi kuna dogo amempa mimba mdogo wake wa kike mama yao anaondoka kazini anawafungia ndani wajisomee na kuangalia TV kumbe watoto wameanza kukulana mda sana ile likizo ya form 4 mtoto wa kike anakitumbo
ukistaajabu ya Mussa utayaona ya firauni
 
Nyie mnaweza hisi mmekula kimasihara lkn kwa wadada wengi ni tunakua tumeplan kwamba hapa lzm nimpe au lzm nionje au akitaka tu sikatai

Na ndo maana wapi wengine walijaribu kula kimasihara na hawakufanikiwa

Waambie hao hawajui km wao ndio wanaliwa kimasihara [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tafuta kijisababu umpakue
 
akianika chupi zake chukua moja sepa nayo gheto uone kama atarudia

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Na wewe iba hzo chupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…