3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
AminaUSIZINI
Bahati mbayaDaah,.umeliwa dear mama kwahiyo??!lol[emoji23]
Bahati mbaya jamaniWe ndo ulipewa 7800..kweli unapenda kuliwa!
Sio 7800 ni 78000Hivi kuliwa na kuachiwa 7800, nayo inaingia kwenye kundi la kuliwa kimasihara?
Bahati mbaya jamani
Unajiweza mwaya💃💃Bahati mbaya
Kila dakika wanayafanyaUnadhania watasema!
Watajifanya kurusha madongo nk
Ukweli yanafanyika kila siku.
Ilikuwa kimasihara, sirudii tena mamii!Unajiweza mwaya[emoji126][emoji126]
Sio 7800 ni 78000
We noma aisee sikujua Kama were ni mbabe namna hiyo mission zako zote ngumu very risk aisee.Hahaa...umeanza..kuna wengine ni mafia kuliko hata mimi..ila,wanaficha tu siri zao
Vaa chupi la chuma basii,.Ilikuwa kimasihara, sirudii tena mamii!
Wanaume wanasema waliokula kimasihara lakini we mdada unasema tuliokulana kimasihara..kwahiyo sio kuwa uliliwa kimasihara?Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho
Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara
Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba
Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara
Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF
Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Watu wanazidi kupiga pumbu kimasihara tu