Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hahaa...umeanza..kuna wengine ni mafia kuliko hata mimi..ila,wanaficha tu siri zao
We noma aisee sikujua Kama were ni mbabe namna hiyo mission zako zote ngumu very risk aisee.

mimi ujasiri wako Sina aisee ndo maana hua naishia kula tunda kimasihara kwa macho tu.
 
Kuna demu yumo humu nilianza kumtania kwa kumtumia ngoma ya mapenzi ya Bryan Adam kwenye PM. Then tukachart nikamwomba one night nimtoe dinner akakubali... Nikampeleka tegeta pale China bar Hadi saa nane midnight then nikaenda kujitombear lodge. Ila tulienjoy saana.

I miss you anonymous wa jf ulienizawadia kabumunda.
 
Kuna mkaka wa pale Dodoma mwenye I'd inayoanza na irabu za mwanzo na kuishia na irabu za mwisho

Alichonifanyia pale Dodoma D... m...m Hotel ilikuwa kimasihara,ilikuwa kimasihara kabisa,nahisi alitumia uchawi maana najielewa huwa stoi tunda kimasihara

Nikiwa zangu safarini kutoka Dar kwenda Mwanza,kijana mmoja nilikuwa namwelewa pm,akaniomba nishuke Dom,akaniomba tangu alfajiri kila dakika ananiomba

Nikaona isiwe soo,nikashuka kanipokea kanipeleka hotel yenye jina la mama,nikajikuta ameniroga akanila kimasihara

Karibuni tutambulishane tuliokulana kimasihara humu JF

Jamani PM imejaaa ,usipojibiwa cool down,sasa hivi staliwa kimasihara
Wanaume wanasema waliokula kimasihara lakini we mdada unasema tuliokulana kimasihara..kwahiyo sio kuwa uliliwa kimasihara?
 
Back
Top Bottom