Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
wamezingua sana, bora wangeunganisha mwanzoMods hili naomba tuliweke sawa "kula tunda kimasihara na jinsi nilivyoliwa kimasihara mbaka nikatoboa kimaisha " hizi ni nyuzi mbili tofauti .
Kuchukua uzi wa yule dada brina na kuunganisha na huu uzi wa riki boy , kusema kweli kabisa bila kupepesa macho huku nikutukosea kabisa wasomaji . Ukweli mmezingua sana
Hata hujafaidi....vina mbususu chachuLeo nmekula kitoto cha form 6 kimasihara aisee
Anaemfahamu mkeo ndo safi mana atajua mipaka yakeHii ya moto kabisa.
Iko hivi. Mimi nina ujasiriamali wangu mdogo ninaofanya nje ya kibaruani si unajua mshahara hautoshi.
Sasa wiki iliyopita nikiwa natoka kibaruani nikapanda zangu bajaj kurudi maskani. Sema ni nje kidogo ya mji so kumekaa kama kijijini vile Nyumba za kuhesabu zimeachana achana sana. Pembeni yangu alikaa mdada umri wake 34 years. Mida ilikuwa imeenda sana kama saa moja usiku so hata sikumwangalia vzuri na kagiza giza kalishaanza. Huyu bidada inaonekana alikuwa saloon maana ule unyunyu aliopiga alaf nywele zimeachiwa zile style sijui mnaitaje, zinakuwa kama mawimbi, zinataka kufunika uso hivi. Mtoto pisi kali hana mwili mkubwa wala siyo flat screen.
Akawa ananichangamkia sana kama vile ananifahamu. Kweli tukafika hatua ikabidi tuulizane tufahamiane. akasema ananifahamu sana ninapokaa na ameshaniona mara kadhaa isipokuwa hajui tu jina langu na ninapofanyia kazi. Sasa kabla hatujaanza mazungumzo yetu nilikuwa naongea kwenye simu na watu wa home kuwapa maelekezo flani kuhusu huo ujasiriamali wangu. Kumbe huyu bidada akawa ameshanisoma. Kati ya mazungumzo yakawa ni kuhusu hiyo biashara ninayofanya akaniuliza mambo kadha wa kadha nami sikuwa na hiyana nikamjibu. In short akaniambia inaonekana ninajua mambo mengi sana. Mbele kidogo abiria wengine wote wakashuka tukabaki sisi wawili. Tukapeana namba maana mm nilikuwa naenda kushuka kituo next alafu yeye anaendelea na safari.
Siku mbili baadaye akawa wa kwanza kunitafuta. Tukatumia fursa hiyo kufahamiana vzuri. Yeye ni mke wa mtu, sema jamaa anafanya kazi mkoa mwingine na wana watoto wawili. Baada ya siku zingine mbili mida ya saa 4 asubuhi akanitafuta anahitaji bidhaa (hiyo biashara yangu), mzigo wa 45k. Siku hiyo sikuenda job so nilishinda tu home. Kiukweli sikuwa na hela so kusikia hiyo habari ilikuwa habari njema sana kwangu. Nikamwambia utakuja kuchukua au unatuma mtu. Akajibu yeye hawezi kutoka labda kama ntaweza kupeleka yeye yuko tayari kulipia delivery cost ambayo ni 2k. kwenda buku na kurudi buku. Nikaona ujinga kuacha hela hii, nikasema ngoja niilete fasta nikamwomba anielekeze pa kushukia.
Nilivyoshuka kwa bajaj akanielekeza kiukweli huwezi kupotea njia. Nikafika. Nilimkuta anapata breakfast supu ya kuku na chapati. Alinikaribisha nikakataa kwanza. Akakagua mzigo, akanipa hela sema nikamwambia aachane na delivery asilipie. Sasa mwonekano wa yule mrembo ulikuwa wa mashaka sana. ni mtoto mrembo yaani utadhani hajawahi kuzaa. mweupe kiasi, ngozi nyororo soft yaani ukimwangalia hutamani kugeuza macho. kaumbika ana kihipsi flani amazing ukitazama mguu burudani tupu. Ishu ya mimi kukataa kunywa chai pale ikaleta kutokuelewana kabisa alimaind sana. baadaye nikaona ngoja nimridhishe.
Wakati wote huo nasoma mazingira, nyumba yao mpya ndo hata ujenzi haujaisha, sema wanajenga mjengo wa uhakika. Kuna nyumba moja kubwa na nyingine kama servant quarters yenye chumba moja cha kulala, jiko la nje, na mabanda ya kuku. Wakati tunakunywa chai ndo akawa ananisimulia mambo mengi, mojawapo ni kuwa mumewe yupo mkoa mwingine kikazi anafanya kazi sehem xyz. pale yupo yeye na watoto wako shule kwa wakati ule. na binti wa kazi ameenda mjini kufanya shoping tena kaondoka muda si mrefu. Baada ya chai nikataka kuondoka akasema nisubiri anionyeshe mifugo yao bandani na cha muhimu kuna kuku wanaumwa hajui awape dawa gani. Kweli tukaenda bandani nikawaangalia wale kuku. Cha kwanza nilimwambia cha muhimu ni kuangalia vinyesi vyao vikoje na vina rangi gani. Baada ya kukagua nikamwambia hii ni typhoid na coccidiosis. tena ampigie binti kama yuko mjini apitie dawa kabisa kwenye maduka ya madawa ya mifugo.
Basi akawa ananipa sifa ambazo hata sikuelewa mara anasema nafaa kuwa bwana mifugo mara bwana shamba. Sikujali. Tulivyotoka pale tukapita mlango unaofuata ulikuwa jiko la nje na stoo, akawa anaenda kwenye kile chumba cha nje. akaniita kuna issue nyingine niangalie. Kweli kifala fala si nikaenda. tumeingia ndani nakuta chumba kimetandikwa kitanda vizuri kabisa na kile chumba ni self buana weeeeh. akawa kama vile anatafuta kitu hakioni hatimaye akaurudishia mlango tukawa tunatazamana, kimya kikatawala kwa muda. Yule mwanamke inaonekana alikuwa na nyege sana na kama ni upweke basi alikuwa nao sana. Mi uvumilivu ulinishinda, kila body language ya huyu mwanamke iliashiria nachelewa kumpa atakacho. Ghafla tukajikuta midomo imeshakutana, mikono imeshapitishwa mwilini, mara paap tukajikuta kitandani. Ile style yake ya kunyonyana huku akihema ni speed ya mwendokasi. Katika sekunde chache nilijikuta tumeshavuana nguo kwa style ya kurusha kuleeeeee haijalishi imeenda kutua wapi, ili mradi imetoka mwilini. Ni ngumu kuelezea ile show ilikuwaje tamu lakini katika show tamu kuwahi kupiga ile lazima iingie tano bora. Na katika wanawake niliowapigisha squirt yule ni top three. Baada ya show tukapumzika kwa muda. Kilichonifikirisha hadi sasa ni kauli yake baada ya show tukiwa tumepumzika akasema "Mimi nakujua wewe muda mrefu tunapishanaga sana tu sema unajifanya huna time alaf hupendi kufahamiana na watu. Nakufahamu wewe, mkeo namfahamu si anaitwa .... na anafanya kazi ...". Sasa nimewaza sana hii kauli mbona nzito, kudate na mwanamke anayemfahamu mke wangu wakati mimi nilikuwa sijamfahamu nahisi nimejitia kitanzi.
Lyamungo Boyz sec ina vyoo vya Ndani na ni government schoolShule gani ya bweni ina vyoo humohumo bwenini???
Labda hizo private zenu. Nimesoma Govt Shule ya bweni hakuna kitu kama hicho
Pumba.afu
Iyunga TechLyamungo Boyz sec ina vyoo vya Ndani na ni government school
Shule niliosoma Mimi advanced level Kila darasa Lina choo🥰Lyamungo Boyz sec ina vyoo vya Ndani na ni government school
Changamoto ni fursaKazini kumezuka couples kadhaa sasa mkuu akaona hali ile imekithili mpaka ikaathili utendeji wa kazi mule ofisini si akatuitisha kikao ndo akatupa vikaratasi ili tueleze nani anatembea na nani tuviandike then akavikusanya(jamani wake na waume za watu wanaliwa kwa speed sana humu makazini sababu kubwa ni kuchokana,
kugombana alafu sana sana wanaume wanakula sana nje kwa sababu ya magubu ya wake zao) sasa mimi kwenye kile kikaratasi nilitakiwa niandike couple yoyote ila akili zangu za kijinga zikaniambia kwanini uandike wenzio kama vipi jiandike mwenyewe.
Bwana weee si nikajiandika mimi mwenyewe na demu fulani ambae anaonekana yupo serious mule ofisini kwa jina simtaji ili at the end tuungane kushangaana kwa sababu mimi na yeye hatuna mtu ambae tulikuwa tunadate nae.
Bwana wee siku ya kuitwa ghorofani kwa boss tuliitwa wote kujitetee dhidi ya hiyo shutuma ya kuwa tunakulana kmmke demu akawa amepanic mimi nimerelax kwa sababu nilijiandika mimi mwenyewe bila yeye kujua kufika kule mi nikajibu mashudu kuwa boss mimi hizo sinaga labda muulize huyu may be ametembea na mimi ndotoni daa nakuambia tunashuka ghorofani amepanic bado
nikaanza kumbembeleza aisee si nikamuambia kama vipi twenzetu out tukadiscuss shutuma yetu kaileta nani na kwa sababu gani kwa sababu hatuwahi kuwa na ukaribu.
Bwana wee huko out si akajifanya anakunywa Alta wine eti ana stress akalewa ikabidi ni mpeleke kwake kufika kule chumbani kaanza kulalamika sana baadae akanivuta akanikiss mwishowe tukaunganisha vikojoleo ikabidi mimi usiku wa manane nikasepa zangu home coz nimeoa.
Kesho kutwa yake wafanyakazi wakamind kwa nini boss ameandaaa hilo zoezi ambalo linachafua wafanya kazi kwa sababu mtu anaweza andikwa kwa sababu ya chuki na bifu wakatutolea mfano mimi na yule dada kuwa hawa hata ukaribu hawana inakuwaje waandikwe mpaka mdada alipanic kumbe wenzao tulikulana kweli baada ya skendo.
Nacheka kwa sautiVICOBA VICOBA, MAREJESHO VINAINGIZA WANAWAKE KWENYE MASIHARA
Basi niko zangu mkoa uliojaa uswahili mwingi unaanzia na jina la T. Basi niko Singida nikampigia jamaa yangu naenda kufanya mishe zangu naye ni muhimu tuonane. Basi akanielekeza ofisini kwake na nyumbani pia. Nimeshuka zangu nikampigia simu akasema yupo home maana weekend wakati mwingine huwa haendi.
Basi nikaamua kutembea kuelekea kwake. Basi nimekaribia kwake nikaona kundi la wanawake wamekaa round. Basi nikaenda pale nikawasalimia kwa heshima na sura ya upole "habari zenu". Wakaitikia. Nikawaambia samahani mimi mgeni, naulizia kwa fulani. Wakatazama (kwa kuwa mjini kila mtu na mambo yake) hawakumtambua. Wakauliza simu ya jamaa, nikawadanganya yangu imezima.
Basi nikawashukru, nikatoa pochi nikanyofoa hela zote kisha nikawapa elfu 10 wanywe soda nikawaambia waendelee na maongezi. Basi nikatoka zangu pale, nikampigia Jamaaa yangu pale nilipo aje anichukue twende kwake akasema anakuja. Basi nikiwa naendelea kwenda karibu na chuo fulani. Ghafra nikasikia naitwa "wee kaka". Basi nikageuka, nikaona mama mmoja miaka kama 30 hv. Akasema alikuwa pale nilipotoa hela ya soda, anadaiwa marejesho sh 50 elfu hapo ana 30 tu hapo walipo wanarejesha, nimuazime 20, kuna mtu amemwahidi kumtumia hadi sasa hajamtumia.
Nikamwambia sasa mm hata hanifahamu kwa nn siazime wenzake, akasema amewaambia lakini hawana. Wamemwambia asuburie tu atumiwe. Kumwagilia nikaona hana amani. Basi nikamwambia nampa afanye chini juu jioni tuonane tutaongea mengi na hiyo naweza kumwachia tu, nikampa 30 elfu na namba za simu zangu.
Akaondoka, Kumbe jamaa yangu ananipimia tu. Alipotoka jamaa akafika akanitania pale. Tukaenda kwake tukapiga stori. Tukapata na chakula. Basi nikamwambia jamaa naenda lodge, wakakataa na mke wake nilale kwao. Nikagoma. Basi wakaniruhusu. Jamaaa akanindikiza lodge tukaagana. Sikuona simu yoyote usiku mzima. Basi kesho nikaamka niende kwenye mishe.
Nikaona meseji ikiomba samahani alibanwa. Basi nikaenda hewani, nikamjuza nilipofikia, akasema anapafahamu. akaniambia mida ya saa 3 atakuja. Nikawaambia mapokezi kuna mgeni atakuja saa 3 na kuendelea. Basi saa 3 na nusu akafika. Akaletwa chumbani. Alipofika tukakaa kama dk 5 hivi, nikaomba mzigo. Nikakubaliwa, tukakapiga romance ana ngasha kiunoni. Kupima oil yuko vizuri. Nikapiga, miguno ya kutosha. Dk 4 hv wazungu hao. Kama dk 5 hv za maongezi nikaanza gemu tena.
Nilinyonywa mkuyenge, baadaye nikapiga tena. Kwenye maongezi nikagundua ni mke wa mwalim. Mida ya kumpata ni asubuhi na mchana mme wake akienda kufundisha madrasa. Au mida ya kwenda sokoni. Na ana marejesho ya sh 50 elfu kila wiki, hata mme wake hajui. Basi nikamwambia nitamlipia mwezi 1. Kila siku nikawanajilia tu anapokwama na nafac, hadi nilipotoka huko.
Toa tu ikiwezekana hata 60k[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mission fail...abort i repeat abort[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
duu kweli pepo wa ngono yupo kazini
Kweli za masihara zimekwisha watu wanaleta porojo za kutunga kuchangamsha uzi
IPO vvip ya massage centre ya Martha wellness huku ni sodomanimwenye link ya telegram ambayo mnapeana connection iko wap....
ShareIPO vvip ya massage centre ya Martha wellness huku ni sodomani