Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hii ya moto kabisa.
Iko hivi. Mimi nina ujasiriamali wangu mdogo ninaofanya nje ya kibaruani si unajua mshahara hautoshi.
Sasa wiki iliyopita nikiwa natoka kibaruani nikapanda zangu bajaj kurudi maskani. Sema ni nje kidogo ya mji so kumekaa kama kijijini vile Nyumba za kuhesabu zimeachana achana sana. Pembeni yangu alikaa mdada umri wake 34 years. Mida ilikuwa imeenda sana kama saa moja usiku so hata sikumwangalia vzuri na kagiza giza kalishaanza. Huyu bidada inaonekana alikuwa saloon maana ule unyunyu aliopiga alaf nywele zimeachiwa zile style sijui mnaitaje, zinakuwa kama mawimbi, zinataka kufunika uso hivi. Mtoto pisi kali hana mwili mkubwa wala siyo flat screen.

Akawa ananichangamkia sana kama vile ananifahamu. Kweli tukafika hatua ikabidi tuulizane tufahamiane. akasema ananifahamu sana ninapokaa na ameshaniona mara kadhaa isipokuwa hajui tu jina langu na ninapofanyia kazi. Sasa kabla hatujaanza mazungumzo yetu nilikuwa naongea kwenye simu na watu wa home kuwapa maelekezo flani kuhusu huo ujasiriamali wangu. Kumbe huyu bidada akawa ameshanisoma. Kati ya mazungumzo yakawa ni kuhusu hiyo biashara ninayofanya akaniuliza mambo kadha wa kadha nami sikuwa na hiyana nikamjibu. In short akaniambia inaonekana ninajua mambo mengi sana. Mbele kidogo abiria wengine wote wakashuka tukabaki sisi wawili. Tukapeana namba maana mm nilikuwa naenda kushuka kituo next alafu yeye anaendelea na safari.

Siku mbili baadaye akawa wa kwanza kunitafuta. Tukatumia fursa hiyo kufahamiana vzuri. Yeye ni mke wa mtu, sema jamaa anafanya kazi mkoa mwingine na wana watoto wawili. Baada ya siku zingine mbili mida ya saa 4 asubuhi akanitafuta anahitaji bidhaa (hiyo biashara yangu), mzigo wa 45k. Siku hiyo sikuenda job so nilishinda tu home. Kiukweli sikuwa na hela so kusikia hiyo habari ilikuwa habari njema sana kwangu. Nikamwambia utakuja kuchukua au unatuma mtu. Akajibu yeye hawezi kutoka labda kama ntaweza kupeleka yeye yuko tayari kulipia delivery cost ambayo ni 2k. kwenda buku na kurudi buku. Nikaona ujinga kuacha hela hii, nikasema ngoja niilete fasta nikamwomba anielekeze pa kushukia.

Nilivyoshuka kwa bajaj akanielekeza kiukweli huwezi kupotea njia. Nikafika. Nilimkuta anapata breakfast supu ya kuku na chapati. Alinikaribisha nikakataa kwanza. Akakagua mzigo, akanipa hela sema nikamwambia aachane na delivery asilipie. Sasa mwonekano wa yule mrembo ulikuwa wa mashaka sana. ni mtoto mrembo yaani utadhani hajawahi kuzaa. mweupe kiasi, ngozi nyororo soft yaani ukimwangalia hutamani kugeuza macho. kaumbika ana kihipsi flani amazing ukitazama mguu burudani tupu. Ishu ya mimi kukataa kunywa chai pale ikaleta kutokuelewana kabisa alimaind sana. baadaye nikaona ngoja nimridhishe.

Wakati wote huo nasoma mazingira, nyumba yao mpya ndo hata ujenzi haujaisha, sema wanajenga mjengo wa uhakika. Kuna nyumba moja kubwa na nyingine kama servant quarters yenye chumba moja cha kulala, jiko la nje, na mabanda ya kuku. Wakati tunakunywa chai ndo akawa ananisimulia mambo mengi, mojawapo ni kuwa mumewe yupo mkoa mwingine kikazi anafanya kazi sehem xyz. pale yupo yeye na watoto wako shule kwa wakati ule. na binti wa kazi ameenda mjini kufanya shoping tena kaondoka muda si mrefu. Baada ya chai nikataka kuondoka akasema nisubiri anionyeshe mifugo yao bandani na cha muhimu kuna kuku wanaumwa hajui awape dawa gani. Kweli tukaenda bandani nikawaangalia wale kuku. Cha kwanza nilimwambia cha muhimu ni kuangalia vinyesi vyao vikoje na vina rangi gani. Baada ya kukagua nikamwambia hii ni typhoid na coccidiosis. tena ampigie binti kama yuko mjini apitie dawa kabisa kwenye maduka ya madawa ya mifugo.

Basi akawa ananipa sifa ambazo hata sikuelewa mara anasema nafaa kuwa bwana mifugo mara bwana shamba. Sikujali. Tulivyotoka pale tukapita mlango unaofuata ulikuwa jiko la nje na stoo, akawa anaenda kwenye kile chumba cha nje. akaniita kuna issue nyingine niangalie. Kweli kifala fala si nikaenda. tumeingia ndani nakuta chumba kimetandikwa kitanda vizuri kabisa na kile chumba ni self buana weeeeh. akawa kama vile anatafuta kitu hakioni hatimaye akaurudishia mlango tukawa tunatazamana, kimya kikatawala kwa muda. Yule mwanamke inaonekana alikuwa na nyege sana na kama ni upweke basi alikuwa nao sana. Mi uvumilivu ulinishinda, kila body language ya huyu mwanamke iliashiria nachelewa kumpa atakacho. Ghafla tukajikuta midomo imeshakutana, mikono imeshapitishwa mwilini, mara paap tukajikuta kitandani. Ile style yake ya kunyonyana huku akihema ni speed ya mwendokasi. Katika sekunde chache nilijikuta tumeshavuana nguo kwa style ya kurusha kuleeeeee haijalishi imeenda kutua wapi, ili mradi imetoka mwilini. Ni ngumu kuelezea ile show ilikuwaje tamu lakini katika show tamu kuwahi kupiga ile lazima iingie tano bora. Na katika wanawake niliowapigisha squirt yule ni top three. Baada ya show tukapumzika kwa muda. Kilichonifikirisha hadi sasa ni kauli yake baada ya show tukiwa tumepumzika akasema "Mimi nakujua wewe muda mrefu tunapishanaga sana tu sema unajifanya huna time alaf hupendi kufahamiana na watu. Nakufahamu wewe, mkeo namfahamu si anaitwa .... na anafanya kazi ...". Sasa nimewaza sana hii kauli mbona nzito, kudate na mwanamke anayemfahamu mke wangu wakati mimi nilikuwa sijamfahamu nahisi nimejitia kitanzi.
 
Hii ya moto kabisa.
Iko hivi. Mimi nina ujasiriamali wangu mdogo ninaofanya nje ya kibaruani si unajua mshahara hautoshi.
Sasa wiki iliyopita nikiwa natoka kibaruani nikapanda zangu bajaj kurudi maskani. Sema ni nje kidogo ya mji so kumekaa kama kijijini vile Nyumba za kuhesabu zimeachana achana sana. Pembeni yangu alikaa mdada umri wake 34 years. Mida ilikuwa imeenda sana kama saa moja usiku so hata sikumwangalia vzuri na kagiza giza kalishaanza. Huyu bidada inaonekana alikuwa saloon maana ule unyunyu aliopiga alaf nywele zimeachiwa zile style sijui mnaitaje, zinakuwa kama mawimbi, zinataka kufunika uso hivi. Mtoto pisi kali hana mwili mkubwa wala siyo flat screen.

Akawa ananichangamkia sana kama vile ananifahamu. Kweli tukafika hatua ikabidi tuulizane tufahamiane. akasema ananifahamu sana ninapokaa na ameshaniona mara kadhaa isipokuwa hajui tu jina langu na ninapofanyia kazi. Sasa kabla hatujaanza mazungumzo yetu nilikuwa naongea kwenye simu na watu wa home kuwapa maelekezo flani kuhusu huo ujasiriamali wangu. Kumbe huyu bidada akawa ameshanisoma. Kati ya mazungumzo yakawa ni kuhusu hiyo biashara ninayofanya akaniuliza mambo kadha wa kadha nami sikuwa na hiyana nikamjibu. In short akaniambia inaonekana ninajua mambo mengi sana. Mbele kidogo abiria wengine wote wakashuka tukabaki sisi wawili. Tukapeana namba maana mm nilikuwa naenda kushuka kituo next alafu yeye anaendelea na safari.

Siku mbili baadaye akawa wa kwanza kunitafuta. Tukatumia fursa hiyo kufahamiana vzuri. Yeye ni mke wa mtu, sema jamaa anafanya kazi mkoa mwingine na wana watoto wawili. Baada ya siku zingine mbili mida ya saa 4 asubuhi akanitafuta anahitaji bidhaa (hiyo biashara yangu), mzigo wa 45k. Siku hiyo sikuenda job so nilishinda tu home. Kiukweli sikuwa na hela so kusikia hiyo habari ilikuwa habari njema sana kwangu. Nikamwambia utakuja kuchukua au unatuma mtu. Akajibu yeye hawezi kutoka labda kama ntaweza kupeleka yeye yuko tayari kulipia delivery cost ambayo ni 2k. kwenda buku na kurudi buku. Nikaona ujinga kuacha hela hii, nikasema ngoja niilete fasta nikamwomba anielekeze pa kushukia.

Nilivyoshuka kwa bajaj akanielekeza kiukweli huwezi kupotea njia. Nikafika. Nilimkuta anapata breakfast supu ya kuku na chapati. Alinikaribisha nikakataa kwanza. Akakagua mzigo, akanipa hela sema nikamwambia aachane na delivery asilipie. Sasa mwonekano wa yule mrembo ulikuwa wa mashaka sana. ni mtoto mrembo yaani utadhani hajawahi kuzaa. mweupe kiasi, ngozi nyororo soft yaani ukimwangalia hutamani kugeuza macho. kaumbika ana kihipsi flani amazing ukitazama mguu burudani tupu. Ishu ya mimi kukataa kunywa chai pale ikaleta kutokuelewana kabisa alimaind sana. baadaye nikaona ngoja nimridhishe.

Wakati wote huo nasoma mazingira, nyumba yao mpya ndo hata ujenzi haujaisha, sema wanajenga mjengo wa uhakika. Kuna nyumba moja kubwa na nyingine kama servant quarters yenye chumba moja cha kulala, jiko la nje, na mabanda ya kuku. Wakati tunakunywa chai ndo akawa ananisimulia mambo mengi, mojawapo ni kuwa mumewe yupo mkoa mwingine kikazi anafanya kazi sehem xyz. pale yupo yeye na watoto wako shule kwa wakati ule. na binti wa kazi ameenda mjini kufanya shoping tena kaondoka muda si mrefu. Baada ya chai nikataka kuondoka akasema nisubiri anionyeshe mifugo yao bandani na cha muhimu kuna kuku wanaumwa hajui awape dawa gani. Kweli tukaenda bandani nikawaangalia wale kuku. Cha kwanza nilimwambia cha muhimu ni kuangalia vinyesi vyao vikoje na vina rangi gani. Baada ya kukagua nikamwambia hii ni typhoid na coccidiosis. tena ampigie binti kama yuko mjini apitie dawa kabisa kwenye maduka ya madawa ya mifugo.

Basi akawa ananipa sifa ambazo hata sikuelewa mara anasema nafaa kuwa bwana mifugo mara bwana shamba. Sikujali. Tulivyotoka pale tukapita mlango unaofuata ulikuwa jiko la nje na stoo, akawa anaenda kwenye kile chumba cha nje. akaniita kuna issue nyingine niangalie. Kweli kifala fala si nikaenda. tumeingia ndani nakuta chumba kimetandikwa kitanda vizuri kabisa na kile chumba ni self buana weeeeh. akawa kama vile anatafuta kitu hakioni hatimaye akaurudishia mlango tukawa tunatazamana, kimya kikatawala kwa muda. Yule mwanamke inaonekana alikuwa na nyege sana na kama ni upweke basi alikuwa nao sana. Mi uvumilivu ulinishinda, kila body language ya huyu mwanamke iliashiria nachelewa kumpa atakacho. Ghafla tukajikuta midomo imeshakutana, mikono imeshapitishwa mwilini, mara paap tukajikuta kitandani. Ile style yake ya kunyonyana huku akihema ni speed ya mwendokasi. Katika sekunde chache nilijikuta tumeshavuana nguo kwa style ya kurusha kuleeeeee haijalishi imeenda kutua wapi, ili mradi imetoka mwilini. Ni ngumu kuelezea ile show ilikuwaje tamu lakini katika show tamu kuwahi kupiga ile lazima iingie tano bora. Na katika wanawake niliowapigisha squirt yule ni top three. Baada ya show tukapumzika kwa muda. Kilichonifikirisha hadi sasa ni kauli yake baada ya show tukiwa tumepumzika akasema "Mimi nakujua wewe muda mrefu tunapishanaga sana tu sema unajifanya huna time alaf hupendi kufahamiana na watu. Nakufahamu wewe, mkeo namfahamu si anaitwa .... na anafanya kazi ...". Sasa nimewaza sana hii kauli mbona nzito, kudate na mwanamke anayemfahamu mke wangu wakati mimi nilikuwa sijamfahamu nahisi nimejitia kitanzi.
Mkuu niletee mzigo wa 20k😂

sina shaka na stori yako well presented na code zimekaa mahali pake
 
Mbona shule kibao za serikali vyoo na bafu vipo humohumo mabwenini???
Au shule kubwa kubwa tu ndo meona hyo[emoji3][emoji3]??
Lyamungo
Umbwe
Moshi technical
Old Moshi
acha uongo moshi technical hakuna vyoo ndani we dogo mrongo sana
 
Hii ya moto kabisa.
Iko hivi. Mimi nina ujasiriamali wangu mdogo ninaofanya nje ya kibaruani si unajua mshahara hautoshi.
Sasa wiki iliyopita nikiwa natoka kibaruani nikapanda zangu bajaj kurudi maskani. Sema ni nje kidogo ya mji so kumekaa kama kijijini vile Nyumba za kuhesabu zimeachana achana sana. Pembeni yangu alikaa mdada umri wake 34 years. Mida ilikuwa imeenda sana kama saa moja usiku so hata sikumwangalia vzuri na kagiza giza kalishaanza. Huyu bidada inaonekana alikuwa saloon maana ule unyunyu aliopiga alaf nywele zimeachiwa zile style sijui mnaitaje, zinakuwa kama mawimbi, zinataka kufunika uso hivi. Mtoto pisi kali hana mwili mkubwa wala siyo flat screen.

Akawa ananichangamkia sana kama vile ananifahamu. Kweli tukafika hatua ikabidi tuulizane tufahamiane. akasema ananifahamu sana ninapokaa na ameshaniona mara kadhaa isipokuwa hajui tu jina langu na ninapofanyia kazi. Sasa kabla hatujaanza mazungumzo yetu nilikuwa naongea kwenye simu na watu wa home kuwapa maelekezo flani kuhusu huo ujasiriamali wangu. Kumbe huyu bidada akawa ameshanisoma. Kati ya mazungumzo yakawa ni kuhusu hiyo biashara ninayofanya akaniuliza mambo kadha wa kadha nami sikuwa na hiyana nikamjibu. In short akaniambia inaonekana ninajua mambo mengi sana. Mbele kidogo abiria wengine wote wakashuka tukabaki sisi wawili. Tukapeana namba maana mm nilikuwa naenda kushuka kituo next alafu yeye anaendelea na safari.

Siku mbili baadaye akawa wa kwanza kunitafuta. Tukatumia fursa hiyo kufahamiana vzuri. Yeye ni mke wa mtu, sema jamaa anafanya kazi mkoa mwingine na wana watoto wawili. Baada ya siku zingine mbili mida ya saa 4 asubuhi akanitafuta anahitaji bidhaa (hiyo biashara yangu), mzigo wa 45k. Siku hiyo sikuenda job so nilishinda tu home. Kiukweli sikuwa na hela so kusikia hiyo habari ilikuwa habari njema sana kwangu. Nikamwambia utakuja kuchukua au unatuma mtu. Akajibu yeye hawezi kutoka labda kama ntaweza kupeleka yeye yuko tayari kulipia delivery cost ambayo ni 2k. kwenda buku na kurudi buku. Nikaona ujinga kuacha hela hii, nikasema ngoja niilete fasta nikamwomba anielekeze pa kushukia.

Nilivyoshuka kwa bajaj akanielekeza kiukweli huwezi kupotea njia. Nikafika. Nilimkuta anapata breakfast supu ya kuku na chapati. Alinikaribisha nikakataa kwanza. Akakagua mzigo, akanipa hela sema nikamwambia aachane na delivery asilipie. Sasa mwonekano wa yule mrembo ulikuwa wa mashaka sana. ni mtoto mrembo yaani utadhani hajawahi kuzaa. mweupe kiasi, ngozi nyororo soft yaani ukimwangalia hutamani kugeuza macho. kaumbika ana kihipsi flani amazing ukitazama mguu burudani tupu. Ishu ya mimi kukataa kunywa chai pale ikaleta kutokuelewana kabisa alimaind sana. baadaye nikaona ngoja nimridhishe.

Wakati wote huo nasoma mazingira, nyumba yao mpya ndo hata ujenzi haujaisha, sema wanajenga mjengo wa uhakika. Kuna nyumba moja kubwa na nyingine kama servant quarters yenye chumba moja cha kulala, jiko la nje, na mabanda ya kuku. Wakati tunakunywa chai ndo akawa ananisimulia mambo mengi, mojawapo ni kuwa mumewe yupo mkoa mwingine kikazi anafanya kazi sehem xyz. pale yupo yeye na watoto wako shule kwa wakati ule. na binti wa kazi ameenda mjini kufanya shoping tena kaondoka muda si mrefu. Baada ya chai nikataka kuondoka akasema nisubiri anionyeshe mifugo yao bandani na cha muhimu kuna kuku wanaumwa hajui awape dawa gani. Kweli tukaenda bandani nikawaangalia wale kuku. Cha kwanza nilimwambia cha muhimu ni kuangalia vinyesi vyao vikoje na vina rangi gani. Baada ya kukagua nikamwambia hii ni typhoid na coccidiosis. tena ampigie binti kama yuko mjini apitie dawa kabisa kwenye maduka ya madawa ya mifugo.

Basi akawa ananipa sifa ambazo hata sikuelewa mara anasema nafaa kuwa bwana mifugo mara bwana shamba. Sikujali. Tulivyotoka pale tukapita mlango unaofuata ulikuwa jiko la nje na stoo, akawa anaenda kwenye kile chumba cha nje. akaniita kuna issue nyingine niangalie. Kweli kifala fala si nikaenda. tumeingia ndani nakuta chumba kimetandikwa kitanda vizuri kabisa na kile chumba ni self buana weeeeh. akawa kama vile anatafuta kitu hakioni hatimaye akaurudishia mlango tukawa tunatazamana, kimya kikatawala kwa muda. Yule mwanamke inaonekana alikuwa na nyege sana na kama ni upweke basi alikuwa nao sana. Mi uvumilivu ulinishinda, kila body language ya huyu mwanamke iliashiria nachelewa kumpa atakacho. Ghafla tukajikuta midomo imeshakutana, mikono imeshapitishwa mwilini, mara paap tukajikuta kitandani. Ile style yake ya kunyonyana huku akihema ni speed ya mwendokasi. Katika sekunde chache nilijikuta tumeshavuana nguo kwa style ya kurusha kuleeeeee haijalishi imeenda kutua wapi, ili mradi imetoka mwilini. Ni ngumu kuelezea ile show ilikuwaje tamu lakini katika show tamu kuwahi kupiga ile lazima iingie tano bora. Na katika wanawake niliowapigisha squirt yule ni top three. Baada ya show tukapumzika kwa muda. Kilichonifikirisha hadi sasa ni kauli yake baada ya show tukiwa tumepumzika akasema "Mimi nakujua wewe muda mrefu tunapishanaga sana tu sema unajifanya huna time alaf hupendi kufahamiana na watu. Nakufahamu wewe, mkeo namfahamu si anaitwa .... na anafanya kazi ...". Sasa nimewaza sana hii kauli mbona nzito, kudate na mwanamke anayemfahamu mke wangu wakati mimi nilikuwa sijamfahamu nahisi nimejitia kitanzi.
Alikuwa anakupenda siku nyingi.
 
Hii ya moto kabisa.
Iko hivi. Mimi nina ujasiriamali wangu mdogo ninaofanya nje ya kibaruani si unajua mshahara hautoshi.
Sasa wiki iliyopita nikiwa natoka kibaruani nikapanda zangu bajaj kurudi maskani. Sema ni nje kidogo ya mji so kumekaa kama kijijini vile Nyumba za kuhesabu zimeachana achana sana. Pembeni yangu alikaa mdada umri wake 34 years. Mida ilikuwa imeenda sana kama saa moja usiku so hata sikumwangalia vzuri na kagiza giza kalishaanza. Huyu bidada inaonekana alikuwa saloon maana ule unyunyu aliopiga alaf nywele zimeachiwa zile style sijui mnaitaje, zinakuwa kama mawimbi, zinataka kufunika uso hivi. Mtoto pisi kali hana mwili mkubwa wala siyo flat screen.

Akawa ananichangamkia sana kama vile ananifahamu. Kweli tukafika hatua ikabidi tuulizane tufahamiane. akasema ananifahamu sana ninapokaa na ameshaniona mara kadhaa isipokuwa hajui tu jina langu na ninapofanyia kazi. Sasa kabla hatujaanza mazungumzo yetu nilikuwa naongea kwenye simu na watu wa home kuwapa maelekezo flani kuhusu huo ujasiriamali wangu. Kumbe huyu bidada akawa ameshanisoma. Kati ya mazungumzo yakawa ni kuhusu hiyo biashara ninayofanya akaniuliza mambo kadha wa kadha nami sikuwa na hiyana nikamjibu. In short akaniambia inaonekana ninajua mambo mengi sana. Mbele kidogo abiria wengine wote wakashuka tukabaki sisi wawili. Tukapeana namba maana mm nilikuwa naenda kushuka kituo next alafu yeye anaendelea na safari.

Siku mbili baadaye akawa wa kwanza kunitafuta. Tukatumia fursa hiyo kufahamiana vzuri. Yeye ni mke wa mtu, sema jamaa anafanya kazi mkoa mwingine na wana watoto wawili. Baada ya siku zingine mbili mida ya saa 4 asubuhi akanitafuta anahitaji bidhaa (hiyo biashara yangu), mzigo wa 45k. Siku hiyo sikuenda job so nilishinda tu home. Kiukweli sikuwa na hela so kusikia hiyo habari ilikuwa habari njema sana kwangu. Nikamwambia utakuja kuchukua au unatuma mtu. Akajibu yeye hawezi kutoka labda kama ntaweza kupeleka yeye yuko tayari kulipia delivery cost ambayo ni 2k. kwenda buku na kurudi buku. Nikaona ujinga kuacha hela hii, nikasema ngoja niilete fasta nikamwomba anielekeze pa kushukia.

Nilivyoshuka kwa bajaj akanielekeza kiukweli huwezi kupotea njia. Nikafika. Nilimkuta anapata breakfast supu ya kuku na chapati. Alinikaribisha nikakataa kwanza. Akakagua mzigo, akanipa hela sema nikamwambia aachane na delivery asilipie. Sasa mwonekano wa yule mrembo ulikuwa wa mashaka sana. ni mtoto mrembo yaani utadhani hajawahi kuzaa. mweupe kiasi, ngozi nyororo soft yaani ukimwangalia hutamani kugeuza macho. kaumbika ana kihipsi flani amazing ukitazama mguu burudani tupu. Ishu ya mimi kukataa kunywa chai pale ikaleta kutokuelewana kabisa alimaind sana. baadaye nikaona ngoja nimridhishe.

Wakati wote huo nasoma mazingira, nyumba yao mpya ndo hata ujenzi haujaisha, sema wanajenga mjengo wa uhakika. Kuna nyumba moja kubwa na nyingine kama servant quarters yenye chumba moja cha kulala, jiko la nje, na mabanda ya kuku. Wakati tunakunywa chai ndo akawa ananisimulia mambo mengi, mojawapo ni kuwa mumewe yupo mkoa mwingine kikazi anafanya kazi sehem xyz. pale yupo yeye na watoto wako shule kwa wakati ule. na binti wa kazi ameenda mjini kufanya shoping tena kaondoka muda si mrefu. Baada ya chai nikataka kuondoka akasema nisubiri anionyeshe mifugo yao bandani na cha muhimu kuna kuku wanaumwa hajui awape dawa gani. Kweli tukaenda bandani nikawaangalia wale kuku. Cha kwanza nilimwambia cha muhimu ni kuangalia vinyesi vyao vikoje na vina rangi gani. Baada ya kukagua nikamwambia hii ni typhoid na coccidiosis. tena ampigie binti kama yuko mjini apitie dawa kabisa kwenye maduka ya madawa ya mifugo.

Basi akawa ananipa sifa ambazo hata sikuelewa mara anasema nafaa kuwa bwana mifugo mara bwana shamba. Sikujali. Tulivyotoka pale tukapita mlango unaofuata ulikuwa jiko la nje na stoo, akawa anaenda kwenye kile chumba cha nje. akaniita kuna issue nyingine niangalie. Kweli kifala fala si nikaenda. tumeingia ndani nakuta chumba kimetandikwa kitanda vizuri kabisa na kile chumba ni self buana weeeeh. akawa kama vile anatafuta kitu hakioni hatimaye akaurudishia mlango tukawa tunatazamana, kimya kikatawala kwa muda. Yule mwanamke inaonekana alikuwa na nyege sana na kama ni upweke basi alikuwa nao sana. Mi uvumilivu ulinishinda, kila body language ya huyu mwanamke iliashiria nachelewa kumpa atakacho. Ghafla tukajikuta midomo imeshakutana, mikono imeshapitishwa mwilini, mara paap tukajikuta kitandani. Ile style yake ya kunyonyana huku akihema ni speed ya mwendokasi. Katika sekunde chache nilijikuta tumeshavuana nguo kwa style ya kurusha kuleeeeee haijalishi imeenda kutua wapi, ili mradi imetoka mwilini. Ni ngumu kuelezea ile show ilikuwaje tamu lakini katika show tamu kuwahi kupiga ile lazima iingie tano bora. Na katika wanawake niliowapigisha squirt yule ni top three. Baada ya show tukapumzika kwa muda. Kilichonifikirisha hadi sasa ni kauli yake baada ya show tukiwa tumepumzika akasema "Mimi nakujua wewe muda mrefu tunapishanaga sana tu sema unajifanya huna time alaf hupendi kufahamiana na watu. Nakufahamu wewe, mkeo namfahamu si anaitwa .... na anafanya kazi ...". Sasa nimewaza sana hii kauli mbona nzito, kudate na mwanamke anayemfahamu mke wangu wakati mimi nilikuwa sijamfahamu nahisi nimejitia kitanzi.
Pia acha tabia ya kwenda nyumban kwake.
 
Nyingine.....kuna wakati nilikuwa nafanya project Fulani Kanda ya Ziwa. Ili kukwepa gharama nikaamua Kukodi Nyumba maana project nilikuwa ya muda kidogo...basi bwana mwenyeji wangua akafiwa na mke wake basi ikabidi tuende kijijini kuzika...huko bwana nikakutana na bi Dada weka Mbali na Watoto story hapa na pale kumbe anakaa si Mbali sana na nilipopanga.
Akaniambia wakati wakurudi nipe lift basi...nikamwambia haiana shida...ila kumbe ni mke wa mtu..msiba ukaisha safari ya kurudi ikaanza ila kwenye gari Nina watu kibao...kufika town wote wakashuka tukabaki wawili tu Kwenye gari akaniambia nipelke home kwako nikapajue...nikamwambia haina shida...kufika akaniambia sishuki nipeleke kwangu...duuu nikashangaa...basi kabla hatujafika kwake akaniambia simama...nikamwambia kulikoni..akasema wapambe wengi taarifa zitafikankwa mumewe...nikmwambi poa ila kushuka hataki...nikamuuliza vp nikupeleke au...aknimbia hivi huwezi hata kuomba namba ya simu?? Ukinitaka utanipataje?nikauzuga....aaahhh nilikuwa nimesahau nipe basi...akanijia...akanipiga kibao akaniambia tabia yako sio Nzuri akaondoka.
Mkuu hukupiga Kwa baadae?
 
Basi ikapita siku 2 bila baba P kunitafuta wala sikuwa na wacwac coz nilimwelewa na ni kijana mstarabu mpole na alitokea kunikubali na kunielewa mapito yangu. Siku ya 3 akanitafuta akaniuliza upo nyumban nikamjibu ndio akasema anakuja ilikua kwenye mida ya saa 6 nikaenda kununua mboga nikampikia ugali samaki. Alifika saa 7 jamani alinisuprise hatar [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] kaniletea tv frij sofa meza ya kioo zulia feni kabat la vyombo yan vilikua vingi vengine sikumbuki maana alikuja na kirikuu kimejaza. Tukavipanga ndani tukisaidiana na dereva walipomaliza nikawapa chakula walinisifia na kusema kweli japokua shule nilikua tia tia maji lakin mapishi nipo vizur maana kijijin nilikua naenda na bibi kupika kwenye shughuli za watu. Baada ya kula dereva aliindoka tukabaki na baba P akaniuliza mpango wangu ni nini kusema kweli mm wakat huo nilikua nawaza Kaz ya duka au za viwandani kwani dada Asha alinambia ataniunganishia Kaz ya kiwandan huku tegeta, uzuri sikuwa namficha kitu baba P akasema ni wazo zuri lakin yeye anaona wivu eti wataniiba [emoji23][emoji23][emoji23] nikamuuliza Kwan ww una mpango gan na mm wakat una familia yako akasema mm nimekupenda na siwez wala haitokaa tuachane ndio maana nafanya haya yote [emoji849][emoji849][emoji849] heee nikasema kwa hiyo baba P kwisha habar yake.. hahaha bas nikamwambia niajiri kwenye biashara zako akaniuliza unajua nafanya biashara gani nikamwambia hapana ww hujapenda kuniambia akasema huwa anasupply vifaa vya umeme na spea za magari pikipiki na vitu kama hivyo kwa bei ya jumla bas nikapata picha ndio maana wana pesa na maisha mazur hivyo. Basi akanambia wiki inayofuata ataenda china kufata mzigo hivyo hatakua dar kwa wiki 2 hivi nikajibebisha pale kwamba nitammis na nn hao tukazama kwenye mechi mambo moto moto, ilivyofika saa 12 jioni aliniaga akanambia kwenye mfuko (ulikua na nguo zingine za ndani) Kuna zawad zako nikafurah nikamsindikiza nimerud nikafungua ule mfuko jaman kulikua na simu ya smart Samsung nilifurah sana nikampigia tukaongea sana karibu lisaa (alikua kwenye daladala anarud kwake) basi tukakubaliana nisiwe namtafuta Hadi yeye anitext au kunipigia nikakubali sababu nilishampenda.. Nilivyomamiliza nikaenda kwa Da asha kumsabahi bas akaniuliza kuhusu baba P akawa anamsifia alivyo handsome na anavyonijali mm natabasamu tu [emoji4][emoji4] nikamwonyesha ile simu nikamwambia naomba unielekeze namna ya kutumia kuiwasha kumbe baba P kashanisetia Kila kitu isipokua tu nilifungua account ya Whatsapp na FB. Dada asha akawa ananidadisi huyo baba P ni nani na kwanini hakunitafutia nyumba mm nikajua tu mwenyew ile mwanzoni. Nikabid nimweleze ukweli sijui alinishawishi vp lakin nilijikuta nimemwambia Kila kitu had nililia akanipa pole. Tukaongea mengi akanishaur nisiogope mjin ndio maisha yalivyo na mimi nina bahat niitumie vizur ili baba P anifanyie mamb makubwa. Nikamwambia naogopa mme wa mtu lakin nimejikuta nampenda heeee si ndio akaanza kunifungukia yake kumbe na yeye kazaa na mme wa mtu na kiwanja ashamnunulia. Basi bint wa watu nikaanza kufundishwa maisha akasema baba P anakupenda mno na kadata sababu sio rahis from no where mtu akufanyie mamb makubwa hivyo. Akanishauri mbembeleze akufungulie biashara na jitahid umzalie ili iwe ngumu kuachana nae akununulie kiwanja na kukujengea kwani inaonesha ana pesa nyingi sana. Mimi huyo nikakubali na nikaona nimepata shoga wa maana ananifungia akili hao tukaenda kushangaa vitu alivyoniletea baba P.
Nikawa nipo tu nyumban wiki nyingine tena imeisha baba P akanitafuta Whatsapp video call tuliongea sana basi akaniambia unachagua kazi au biashara mm nikamwambia nataman biashara tena huku huku bunju akasema umefikiria vizur sababu nahofia nikikuweka kwenye biashara zangu mke wangu atajua itakua noma. Maisha yakaendelea ushosti na dada asha ndio ukaongezeka tukawa tunakula pamoja story kibao akaniambia nimepata nafasi ya Kaz kiwandan tuende nikamwambia hapana baba P kasema akirud ananifungulia biashara hvy kasema nitulie tu had arud na yeye akanishauri ni sawa usihangaike kuwa mpole tuone.
Wiki 2 zilipita baba P akarudi moja kwa moja alikuja kwangu ilikua ijumaa akanambia amemdanganya mke wake anarud jpli [emoji23][emoji23][emoji23] basi kipindi hicho nilikua danger na wala sikumwambia akaniuliza upo safe au tujikinge nikasema nipo poa usijali (niliamua kufanya hv sababu dada asha alinishaur nisichelewe hata akinichoka huwa wachaga hawatelekezi mtoto) basi siku hizo tatu mamb matamu tupo ndani tu pika pakua nikawa nambembeleza sasa kuhusu biashara, kipindi hicho uwakala ulikua vizur baba P akanishauri nitafute eneo ambapo naweza kuweka meza nikaanza kazi ya kutoa na kuweka pesa weeee nilimkumbatia kwa furaha jaman [emoji182][emoji182][emoji182] kisses kama zote. Nilikubali haraka hiyo biashara sababu nilikua nimefanya dukan kwa mama mdogo hvy uzoefu kidogo nilikua nao na kusema kweli bunju kipind hiko mawakala sio wengi sana.
Basi baba P akaniambia nitafute eneo niongee na dalali alaf yeye atashughulikia line tena alichukua hadi kitambulisho changu maana aliniambia kila kitu kitakua kwa majina Yang hvy nichangamke ili nijue nn naenda kufanya na baada ya siku 3 aliondoka na mimi huku nyuma nafanya mchakato na dada asha aliniongoza vizur tu.
Basi week inayofuata Baba P alinipigia akasema line zitachelewa mwezi unaweza upite mimi nikasema haina shida nitasubir sina pupa. Jpl jion dada asha akaniomba nimsimdikize vicoba njian akawa ananishaur jiunge ili uwe unawekeza pesa maana kushika hela mkononi haikai basi siku hiyo hiyo nikamwambia nipo tayar nikarud home chapu na boda nikachukua pesa tukaenda nikajiandikisha nikapewa fomu za kujaza na mamb mengne nikamalizia kesho yake. Alhamic asubuh kwenye saa 1 nimelala nasikia hodi kufungua ni Baba P huyo ndani kama kawaida mahaba moto moto.
Tumekunywa chai tukaoga akasema twende bagamoyo tukatembee maana unakaa mno ndani (kipind hiki nishaachana na majuba navaa napendeza nywele zangu nabana mitindo tofaut natumia vipodozi nimedamshi hatar mshaur mkubwa da asha kusema kweli alinitoa ushamba).
Tumefika bagamoyo tumeenjoy vya kutosha jioni akanidrop yy akaenda bunju ila tulikubaliana sababu yeye anasambaza spea za pikipoki na vifaa vya umem kwann tusitafute frem akawa ananipa mzigo nauza tunagawana faida na huo uwakala nikaendelea nao nikasema sawa haina shida nipo tayari. Basi akaniambia nisubir aweke mipango sawa nikakubali. Kuna siku da asha kaja kwangu nikawa namsimulia akaniambia kubali na usikatae nikamwambia nilishamkubalia hao tukaondoka tukaenda vicoba. Nilikua nanunua hisa zangu kila jpli. Tupo vicoba si Kuna mama akasema anauza kiplot chake kidgo Kipo karibu na barabar kina frem 1 ambayo haijamalizika. Watu wakamuuliza bei akasema anauza milion 5 mweny kutaka achukue no. Basi tukiwa tunarud si da asha akasema pambania shost ukichukue itakusaidia nikamwambia hela sina akacheka akasema unatembea na gar la bank [emoji23][emoji23][emoji23] changamka nikasema hapana naogopa ataniona mdangaji akasema sasa Kwan hudangi na ni mume wa mtu. Nikamwelewa nikamwambia nimetunza milion 2 kwenye cm alibaki anashangaa tena akasema kumbe ww mjanja hvy nikamwambia ndio je nikiachwa sitak kupauka tena. Basi jioni hiyo Baba p akanipigia nikamwambia jinsi nimejiunga vicoba na kuhusu hiyo frem inauzwa akanisifu kuwa na akili ya maisha akaniambia nifatilie.
Nilichangamka kwa nguvu ya da asha akasema nichakarike kabla haijachukuliwa kwani ukiwa na frem ni rahisi kufanya biashara, tulimtafuta yule mama tukaelewana uzur alikua anapenda mabinti wanaojituma kumbe wenzake tunachunaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kesho yake nikampa taarifa Baba P nikamwambia ni pazuri tunaweza kuchukua na itakua rahis kuanza.
Basi haikuisha hata siku 3 Baba P akanitumia pesa M 5 cash Mimi weweeee mamb si ndio haya. Hao tukaenda kwa yule mama na dada asha, Baba P akanishaur namna ya kuandikishana na kumbuka Yule mama alimleta wakili tukauziana vizur alikua mama mwenye upendo na roho nzuri.
Basi weekend Baba P alikuja nikampeleka akapaona alifurah na kunisifu kweli akaniambia line zimeshatoka kwa majina yangu hivyo niende tra na serikali za mitaa nisajili biashara kwa majina yangu. Alafu atamalizia hiyo frem mapema tu maana ilikua ni umeme, mlango plasta na sakafu tu ndio hamna. Tukafanya yetu nikamdatisha Baba P wa watu nakumbuka alirud kwake saa 6 maana mtoto alikua anaumwa.
Kusema kweli nashukuru Mungu haikuchukua mda kila kitu kikakamilika mzigo wa spea za pikipiki na vifaa vya umem baadh vikaletwa na Baba p nikaanza kazi na tulitafuta fundi akawa anawatengenezea bodaboda pale pale na alikua ananifundisha baadh ya vifaa majina yake na kila kitu, alikua fund kijana tu na tulizoeana had akawa anashangaa na urembo wangu kwann nafanya biashara Ile nikamwambia baby wangu ndio kazi zake akawa anacheka.
Baba P aliniaga anpenda kufata mzigo China hvy atarud baada ya week 2 tena Ila tulikua tunawasiliana WhatsApp na pia nampa update kuhusu biashara na kweli ilienda vizur (ndani ya week mbili palichangamka kiasi) maana hiyo mitaa nilikua mm tu ndio nauza spea hvy nilijuana na bodaboda weng wakawa wanakuja.
Kimbembe kikaanza sion siku zang na nimepitiliza alaf nilikua mchovu mchovu na homa[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] nikabidi jioni wakat nimerud kazini niongee na dada asha yan wala hakuwaza akawa ananipa hongera tukaenda kupima kweli mimba ipo ya wiki 5 tukarud akanishaur nijitahid nianze kliniki ila aliniambia nisimwambia Baba p kwanza nisubir had arud.
Baada ya kama wiki 3 mbele ndio nilionana na Baba P akaja kwangu alikuja jpli basi nilimpikia nikampa mapenzi motomoto akaniuliza mbona Leo unanicare hvy had sitamani kuondoka nikachekaa. Imefika jioni akanipelekà mbeleni huko Kuna sehemu nzur kweli za keenjoy tumerud saa 3 nikawa nawaza namwambiaje kuhusu mimba nilikua na hofu had alinishtukia akaniuliza shida nn (tupo kwenye gari hapo) nikamwambia Nina mimba alishangaaa akasema kwann nimefanya uzembe kiasi hiko nikamwambia sikutegemea bahat mbaya kusema kweli alichukia akaanza kunilaumu nataka kuharibu ndoa yake wakat yeye kaamua kunisaidia tu Ili tufanye starehe nilichoka [emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] nikasema dada asha kaniponza mm nikatoka kwenye gar nalia na yeye akaondoka wala hakuingia ndani. Nimefika nikawa na mawazo tu hapo nilikua naangalia movie basi badae naona text zake anasema lazima tutoe hiyo mimba yeye hayupo tayar kuzaa nje ya ndoa. Mm sikumjibu chochote nikazima simu. Majuto yakaanza maana sikuwah kutoa mimba na ni kitu nilichokua naogopa Sana kwani cousin yangu alitoaga mimba akafariki akiwa chuo hivyo nafsi yangu ilikua inakataa kabisa!!!

Nitaendelea
Ulikuaga wakala na hujui kufungua hat akaunt ya wasap na fb?[emoji23][emoji23]mbn uongo huu, enewei maelezo meng sana na baba P wako alf weka paragraph ili watu wasome kwa vituo
 
Ulikuaga wakala na hujui kufungua hat akaunt ya wasap na fb?[emoji23][emoji23]mbn uongo huu, enewei maelezo meng sana na baba P wako alf weka paragraph ili watu wasome kwa vituo
Tatizo unadhani kila mtu ni mtaalamu wa kutumia simu kwani mkuu uwakala unatumia smart au kiswaswadu?
 
Basi baada ya pale Baba P akawa kama amenisusa hapigi simu hanitafuti kama wiki 3 zilipita, yani nilihisi kuchanganyikiwa na nilivyokua nampenda kila siku nikawa nalia. Shoga angu asha akasema nijikaze kila kitu kitakua sawa tu nimpe mda hapo naendelea kwenda dukan na fund anafanya Kaz vizur tu. Basi siku 1 usiku naona muamala wa laki 5 kwenye simu yang kutoka kwa wakala haikua no, nikabaki nafurah nikafikir amekosea nikasema ngoja nisubir nitajua, nikalala asubuhi nimeamka nakuta missed calls za Baba P na message kuisoma aliandika " hiyo pesa nimekutumia katoe hiyo mimba bila hivyo mm na ww basi" nililia nikampigia da asha alikua ashaenda job akasema wala usitoe mdanganye sawa utaenda. Basi nikaenda kazini kama kawa mteja alikuja kuweka pesa nikawa sina float ikabidi nitoe Ile pesa. nikampigia Baba P nikamwambia sawa nimekubali nitaenda kuitoa akasema jioni atakuja unafunga saa ngapi nikamwambia saa 1. Niliporud nyumbani nikakuta amepaki gar kwa nje ananisubir lakin nilikua nimeongozana na Kaka wa pale (mmoja wa wale wapangaji wa2) alikua ananitongoza mara nying mm nikawa nampotezea. Basi Baba P akashuka fasta akaniuliza mbele ya yule kijana huyu ni nani nikwambia mpangaj mwenzang tunaishi nae huku ndani akanyamaza Yule Kaka akapita ndani na sisi hao tukaingia.
Baba P alikua ameniletea kuku ametengenezwa kabisa nikapokea nikamwambia tule akasema yy ameshiba nikala kias nyingine nikaweka kweny frij. Hapo hatusemeshani mm kimya akaanza kuniuliza mbona una huzun hvy au sababu umeniona mm nikanyamaza akasogea akanishika mikono nikaanza kulia akasema nisamehe sina jinsi mm sikutegemea itakua hv. Nikanyamaza kimya akawa ananitomasa mm kimya wala simpi ushirikiano akawa ananiomba msamaha na kunibembeleza nimkubalie mechi mm nikamwambia hapana mpaka nitakapotoa hii mimba ndio tutaendelea akaniuliza lini utaenda hospital nikamwambia nimemuomba da asha anipeleke sehemu weekend akasema sawa jikaze baby wang ooh mm nakupenda ikifika kipind nataka mtoto na ww tutazaa tu nikamwambia sawa. Akaniuliza kwa hiyo unipi Leo maana mda umeenda nikamwambia sitaki labda ulale huku akasema sitaweza unajua mke wang ashaanza kuona kama nimebadilika hivyo sitak ajue lolote nikamwambia sawa nenda nitakupa siku nyingine ukilala basi akanyanyuka akaondoka. Mm nikaenda kuoga nikawa naangalia TV Hadi saa 4 imefika nikalala zang. Ilipofika saa 5 naona Baba P anapiga simu sikupokea nikahisi labda mke wake, mara kioo cha dirisha langu la chumbani kinagongwa niliogopa nikaamka nikawasha taa nikachugulia namuona Baba P nikafungua dirisha akasema baby wang nimerud tulale nimekumis nimeshindwa kwenda home nifunguliee [emoji23][emoji23][emoji23] nilicheka nikaenda kufungua akaingia kuoga kwanza then mamb shata shata na hv da asha alikua ananifundisha kumhandle mwanaume kitandan nilitumia ujuzi wangu woteeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulilala hoi kuamka saa 2 Baba P akakarupuka speed akaondoka (sikuwa napenda kumuuliza au kufatilia habar za yy na mke wake hata akitaka kuniambia nilikua namkatisha) da asha ndio alinifundisha nifanye hivyo itanisaidia kuondokana na stress au woga. Basi nilienda kazin kwangu kama kawaida Ila siku hiyo Kuna baadh ya spea zilikua zimeisha kwa mara ya I natakiwa kuongezea mzigo dukani nikamtext Baba P hakujibu Ila baada ya masaa 3 hv alinipigia akasema jitahid uongee na fund akupeleke maduka ya jumla kkoo maana mm sitaweza kukutumia mzigo kila mara jitahid ujitegemee, nililalamika lakin akasema ashanipa mwanga hvy nijiongeze na yy ratiba zake zinambana hawez hiyo Kaz na anahofia mkewe atashtuka hvy nisimtafute mpaka yy aanze. Basi nikamwelewa ila sikupenda nikawa nimenuna join da asha akanipitia dukan nikamwambia akasema huoni ni vizur anajitenga na biashara yako na ukijitegemea ww hatoweza kukupangia pesa yako na utakua huru kufanya maendeleo kweli nikamwelewa.
Basi Baba p hakunitafuta tena had baada ya wiki 1 akaniuliza ushatoa Ile mimba nikamwambia bado ni wiki ijayo akalalamika akasema nafanya kusudi nikamwambia lazima nitafute sehemu nzur kwa ulinzi wa afya yangu akasema utajua mwenyew utakachofanya lakin jua sipo tayar kuzaa na wewe kwa sasa. Baada ya kuongea nae nikawa nawazia ila nikajipa moyo uzur biashara ninayo nitapambana niweze kulipia Kodi ya nyumba na kumlea mwanangu. Baba P akawa anakuja kwa wiki mara 2 hv tena usiku usiku na alikua halali mara zote lakin nilihakikisha kwa bed nampa mautamu yoteee ( hapo nimemdanganya mimba nimetoa) basi akawa ana wasiwasi anaulizia kama umetoa mbona unazid kunenepa nikamwambia nimerizika Tu ( Uzuri mimba haikua ikinisumbua hata Ile sijui kutema mate wala sipati). Mimba ikiwa na miez mitatu na nusu Baba P aliniaga anaenda tena China kufata mzigo lakin hakusema anakaa mda gani tukawa tunawasiliana WhatsApp usiku tu.
Mimba ilipofika miezi 4 nikabidi nimwambie ukweli tu kwamba sikutoka na siwez kufanya hvy kama ataniacha ni sawa nitaendelea kumlea mwanangu. Alipaniki akasema mm najidai sio muongeaji kumbe jeuri hvy bas kuanzia Leo nimekuacha na nikija utarudisha kila pesa yangu niliyokupa.
Nilipanic nikawa nalia tu ndan usiku nikawaza akininyanganya mm naelekea wapi nikanyamaza hata sikupata usingizi hiyo siku. Kesho yake nikamwambia da asha akasema achana nae usimtafute anatishia nyau na akija kukufanyia fujo mpeleke police na umkane hujawah kumjua na kweli nikakubali wazo lake. Baba P akawa ananitumia message za vitisho nikamwambia ukiendelea nakuja nyumbana namwambia mkeo kila kitu, akanyamaza akawa ameniblock kila mahali except fb (nilijua hili kwani siku moja nilipost picha nipo na da asha na wababa wawili [emoji23][emoji23][emoji23] tulitoka mtoko na baby daddy wa da asha sasa huyo baby daddy alikuja na rafiki yake ) kumbe Baba P anafatilia post zangu FB nashangaa siku hiyo hata sijafunga duka kaja (hapo mimba ina miezi 5) maana alikua ana zaid ya mwez hajaja. Akasema funga duka twende nyumbani tukaongee basi tukaenda kufika akaniomba msamaha akasema sawa amekubali tulee mimba sababu bado ananipenda na hatak kunipoteza nikamwambia sawa hamna shida. Basi alilala siku hiyo na kama kawaida mapenz motomoto na mimba yangu ilimpenda sana nakumbuka hadi niliendaga kumfanyia shopping kkoo wakat nilikua mbahili wa pesa hata kununua tu nguo zang sitoi pesa yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aliendelea kuja mara moja moja kwa wiki had mimba imefika miez 8 akaenda chini tena kufatilia mzigo ( Yani Kuna kipind walikua wanamtumia na mara nyingine alikua anaenda mwenyew kutokana na biashara ilivyo kwa maelezo yake).
Basi nilibidi nimkabidh Yule fund duka anishikie kwa muda hapo bado wiki 2 nijifungue.
Baba P alikua ananipigia WhatsApp kama kawaida akaniomba no za shoga angu asha nikampa akaongea nae akamwomba anisaidie kwa mwez mmoja asiwe anaenda kazin had nijifungue ( nakumbuka da asha wiki 3 nzima alikua na mm bega kwa bega had nikajifungia na Baba P alimpa milioni I kama zawad). Nilitafutiwa hospital fulan ya private nzur na Baba P aliongea na rafiki yake doctor aliyekua anafanya kazi hapo. Nilijifungua mapacha wa kiume [emoji8][emoji8][emoji8] nakumbuka siku hiyo tupo na da asha aliwapiga picha akanitumia Baba P jaman alifurahii ananipigia video call analia anasema tu asante mke wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakat sina ndoa nae. Alifurahi akasema atamtuma dada yake aje kuniona na atarud baada ya wiki 1.
Nilikaa hospital siku 3 tu maana nilijifungua kawaida na dada yake Baba P alikuja hospital kesho yake na vitu vya watoto kibao akanipelekà home. Basi nikawa nimezoeana na wifi sasa akawa anakuja na aliwapenda watoto mara ananisifia ooh umempa Kaka angu heshima maana alikua na watoto wa kike tu sasa amepata vidume 2 mm nafurah tu. Niliendelea vizur Baba P akarudi akaja kuwaona watoto alikua analia siku hiyo kwamba angewauwa vidume vyake ( huwa anawaita hvy) basi mapenzi yakarud kama yote on spot akaniambia inabid nikununulie kiwanja nikujengee haraka maana hata mama akija utamlaza wapi au dada wa kazi nikamwambia nipange nyumba kubwa akasema hatak wanae wapate shida Mimi kwangu magoli tu [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Basi baada ya mwez 1 akaniambia anafanya finishing nihamie mbweni Kuna nyumba alikua amejenga ilikua bado finishing nikamwambia mkeo atajua mm naogopa akasema ni lazima niende na amefanya kwa ajili ya wanae. Duh nilikua na wasiwasi dada asha akasema kubali wala usiogope na wifi akasema lazima watoto wapate maisha mazur kwan Kaka yake uwezo anao.
Jaman watoto wamefika miez miwili tu mm huyo tumehamia mbweni na mama mkwe kaja kuwaona wajukuu zake. Baba P ilibid amwambie mke wake ukweli kipind hicho ila ilikua ugomvi mkubwa had Baba P akahamia kwangu mbweni. Nakwambia wanangu ni wazuriiiii utasema wazungu wamefanana na Baba Yao sema nywele na weupe wamechukua kwangu utasema half-caste yani familia nzima ya Baba P waliwapenda mpaka Leo.

Itaendelea
Hii stori imeteka hisia zangu!
 
Hii ya moto kabisa.
Iko hivi. Mimi nina ujasiriamali wangu mdogo ninaofanya nje ya kibaruani si unajua mshahara hautoshi.
Sasa wiki iliyopita nikiwa natoka kibaruani nikapanda zangu bajaj kurudi maskani. Sema ni nje kidogo ya mji so kumekaa kama kijijini vile Nyumba za kuhesabu zimeachana achana sana. Pembeni yangu alikaa mdada umri wake 34 years. Mida ilikuwa imeenda sana kama saa moja usiku so hata sikumwangalia vzuri na kagiza giza kalishaanza. Huyu bidada inaonekana alikuwa saloon maana ule unyunyu aliopiga alaf nywele zimeachiwa zile style sijui mnaitaje, zinakuwa kama mawimbi, zinataka kufunika uso hivi. Mtoto pisi kali hana mwili mkubwa wala siyo flat screen.

Akawa ananichangamkia sana kama vile ananifahamu. Kweli tukafika hatua ikabidi tuulizane tufahamiane. akasema ananifahamu sana ninapokaa na ameshaniona mara kadhaa isipokuwa hajui tu jina langu na ninapofanyia kazi. Sasa kabla hatujaanza mazungumzo yetu nilikuwa naongea kwenye simu na watu wa home kuwapa maelekezo flani kuhusu huo ujasiriamali wangu. Kumbe huyu bidada akawa ameshanisoma. Kati ya mazungumzo yakawa ni kuhusu hiyo biashara ninayofanya akaniuliza mambo kadha wa kadha nami sikuwa na hiyana nikamjibu. In short akaniambia inaonekana ninajua mambo mengi sana. Mbele kidogo abiria wengine wote wakashuka tukabaki sisi wawili. Tukapeana namba maana mm nilikuwa naenda kushuka kituo next alafu yeye anaendelea na safari.

Siku mbili baadaye akawa wa kwanza kunitafuta. Tukatumia fursa hiyo kufahamiana vzuri. Yeye ni mke wa mtu, sema jamaa anafanya kazi mkoa mwingine na wana watoto wawili. Baada ya siku zingine mbili mida ya saa 4 asubuhi akanitafuta anahitaji bidhaa (hiyo biashara yangu), mzigo wa 45k. Siku hiyo sikuenda job so nilishinda tu home. Kiukweli sikuwa na hela so kusikia hiyo habari ilikuwa habari njema sana kwangu. Nikamwambia utakuja kuchukua au unatuma mtu. Akajibu yeye hawezi kutoka labda kama ntaweza kupeleka yeye yuko tayari kulipia delivery cost ambayo ni 2k. kwenda buku na kurudi buku. Nikaona ujinga kuacha hela hii, nikasema ngoja niilete fasta nikamwomba anielekeze pa kushukia.

Nilivyoshuka kwa bajaj akanielekeza kiukweli huwezi kupotea njia. Nikafika. Nilimkuta anapata breakfast supu ya kuku na chapati. Alinikaribisha nikakataa kwanza. Akakagua mzigo, akanipa hela sema nikamwambia aachane na delivery asilipie. Sasa mwonekano wa yule mrembo ulikuwa wa mashaka sana. ni mtoto mrembo yaani utadhani hajawahi kuzaa. mweupe kiasi, ngozi nyororo soft yaani ukimwangalia hutamani kugeuza macho. kaumbika ana kihipsi flani amazing ukitazama mguu burudani tupu. Ishu ya mimi kukataa kunywa chai pale ikaleta kutokuelewana kabisa alimaind sana. baadaye nikaona ngoja nimridhishe.

Wakati wote huo nasoma mazingira, nyumba yao mpya ndo hata ujenzi haujaisha, sema wanajenga mjengo wa uhakika. Kuna nyumba moja kubwa na nyingine kama servant quarters yenye chumba moja cha kulala, jiko la nje, na mabanda ya kuku. Wakati tunakunywa chai ndo akawa ananisimulia mambo mengi, mojawapo ni kuwa mumewe yupo mkoa mwingine kikazi anafanya kazi sehem xyz. pale yupo yeye na watoto wako shule kwa wakati ule. na binti wa kazi ameenda mjini kufanya shoping tena kaondoka muda si mrefu. Baada ya chai nikataka kuondoka akasema nisubiri anionyeshe mifugo yao bandani na cha muhimu kuna kuku wanaumwa hajui awape dawa gani. Kweli tukaenda bandani nikawaangalia wale kuku. Cha kwanza nilimwambia cha muhimu ni kuangalia vinyesi vyao vikoje na vina rangi gani. Baada ya kukagua nikamwambia hii ni typhoid na coccidiosis. tena ampigie binti kama yuko mjini apitie dawa kabisa kwenye maduka ya madawa ya mifugo.

Basi akawa ananipa sifa ambazo hata sikuelewa mara anasema nafaa kuwa bwana mifugo mara bwana shamba. Sikujali. Tulivyotoka pale tukapita mlango unaofuata ulikuwa jiko la nje na stoo, akawa anaenda kwenye kile chumba cha nje. akaniita kuna issue nyingine niangalie. Kweli kifala fala si nikaenda. tumeingia ndani nakuta chumba kimetandikwa kitanda vizuri kabisa na kile chumba ni self buana weeeeh. akawa kama vile anatafuta kitu hakioni hatimaye akaurudishia mlango tukawa tunatazamana, kimya kikatawala kwa muda. Yule mwanamke inaonekana alikuwa na nyege sana na kama ni upweke basi alikuwa nao sana. Mi uvumilivu ulinishinda, kila body language ya huyu mwanamke iliashiria nachelewa kumpa atakacho. Ghafla tukajikuta midomo imeshakutana, mikono imeshapitishwa mwilini, mara paap tukajikuta kitandani. Ile style yake ya kunyonyana huku akihema ni speed ya mwendokasi. Katika sekunde chache nilijikuta tumeshavuana nguo kwa style ya kurusha kuleeeeee haijalishi imeenda kutua wapi, ili mradi imetoka mwilini. Ni ngumu kuelezea ile show ilikuwaje tamu lakini katika show tamu kuwahi kupiga ile lazima iingie tano bora. Na katika wanawake niliowapigisha squirt yule ni top three. Baada ya show tukapumzika kwa muda. Kilichonifikirisha hadi sasa ni kauli yake baada ya show tukiwa tumepumzika akasema "Mimi nakujua wewe muda mrefu tunapishanaga sana tu sema unajifanya huna time alaf hupendi kufahamiana na watu. Nakufahamu wewe, mkeo namfahamu si anaitwa .... na anafanya kazi ...". Sasa nimewaza sana hii kauli mbona nzito, kudate na mwanamke anayemfahamu mke wangu wakati mimi nilikuwa sijamfahamu nahisi nimejitia kitanzi.
Labda Itakuwa mmewe kamla mkeo so huenda alikuwa anasaka malipizo.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Hii ya moto kabisa.
Iko hivi. Mimi nina ujasiriamali wangu mdogo ninaofanya nje ya kibaruani si unajua mshahara hautoshi.
Sasa wiki iliyopita nikiwa natoka kibaruani nikapanda zangu bajaj kurudi maskani. Sema ni nje kidogo ya mji so kumekaa kama kijijini vile Nyumba za kuhesabu zimeachana achana sana. Pembeni yangu alikaa mdada umri wake 34 years. Mida ilikuwa imeenda sana kama saa moja usiku so hata sikumwangalia vzuri na kagiza giza kalishaanza. Huyu bidada inaonekana alikuwa saloon maana ule unyunyu aliopiga alaf nywele zimeachiwa zile style sijui mnaitaje, zinakuwa kama mawimbi, zinataka kufunika uso hivi. Mtoto pisi kali hana mwili mkubwa wala siyo flat screen.

Akawa ananichangamkia sana kama vile ananifahamu. Kweli tukafika hatua ikabidi tuulizane tufahamiane. akasema ananifahamu sana ninapokaa na ameshaniona mara kadhaa isipokuwa hajui tu jina langu na ninapofanyia kazi. Sasa kabla hatujaanza mazungumzo yetu nilikuwa naongea kwenye simu na watu wa home kuwapa maelekezo flani kuhusu huo ujasiriamali wangu. Kumbe huyu bidada akawa ameshanisoma. Kati ya mazungumzo yakawa ni kuhusu hiyo biashara ninayofanya akaniuliza mambo kadha wa kadha nami sikuwa na hiyana nikamjibu. In short akaniambia inaonekana ninajua mambo mengi sana. Mbele kidogo abiria wengine wote wakashuka tukabaki sisi wawili. Tukapeana namba maana mm nilikuwa naenda kushuka kituo next alafu yeye anaendelea na safari.

Siku mbili baadaye akawa wa kwanza kunitafuta. Tukatumia fursa hiyo kufahamiana vzuri. Yeye ni mke wa mtu, sema jamaa anafanya kazi mkoa mwingine na wana watoto wawili. Baada ya siku zingine mbili mida ya saa 4 asubuhi akanitafuta anahitaji bidhaa (hiyo biashara yangu), mzigo wa 45k. Siku hiyo sikuenda job so nilishinda tu home. Kiukweli sikuwa na hela so kusikia hiyo habari ilikuwa habari njema sana kwangu. Nikamwambia utakuja kuchukua au unatuma mtu. Akajibu yeye hawezi kutoka labda kama ntaweza kupeleka yeye yuko tayari kulipia delivery cost ambayo ni 2k. kwenda buku na kurudi buku. Nikaona ujinga kuacha hela hii, nikasema ngoja niilete fasta nikamwomba anielekeze pa kushukia.

Nilivyoshuka kwa bajaj akanielekeza kiukweli huwezi kupotea njia. Nikafika. Nilimkuta anapata breakfast supu ya kuku na chapati. Alinikaribisha nikakataa kwanza. Akakagua mzigo, akanipa hela sema nikamwambia aachane na delivery asilipie. Sasa mwonekano wa yule mrembo ulikuwa wa mashaka sana. ni mtoto mrembo yaani utadhani hajawahi kuzaa. mweupe kiasi, ngozi nyororo soft yaani ukimwangalia hutamani kugeuza macho. kaumbika ana kihipsi flani amazing ukitazama mguu burudani tupu. Ishu ya mimi kukataa kunywa chai pale ikaleta kutokuelewana kabisa alimaind sana. baadaye nikaona ngoja nimridhishe.

Wakati wote huo nasoma mazingira, nyumba yao mpya ndo hata ujenzi haujaisha, sema wanajenga mjengo wa uhakika. Kuna nyumba moja kubwa na nyingine kama servant quarters yenye chumba moja cha kulala, jiko la nje, na mabanda ya kuku. Wakati tunakunywa chai ndo akawa ananisimulia mambo mengi, mojawapo ni kuwa mumewe yupo mkoa mwingine kikazi anafanya kazi sehem xyz. pale yupo yeye na watoto wako shule kwa wakati ule. na binti wa kazi ameenda mjini kufanya shoping tena kaondoka muda si mrefu. Baada ya chai nikataka kuondoka akasema nisubiri anionyeshe mifugo yao bandani na cha muhimu kuna kuku wanaumwa hajui awape dawa gani. Kweli tukaenda bandani nikawaangalia wale kuku. Cha kwanza nilimwambia cha muhimu ni kuangalia vinyesi vyao vikoje na vina rangi gani. Baada ya kukagua nikamwambia hii ni typhoid na coccidiosis. tena ampigie binti kama yuko mjini apitie dawa kabisa kwenye maduka ya madawa ya mifugo.

Basi akawa ananipa sifa ambazo hata sikuelewa mara anasema nafaa kuwa bwana mifugo mara bwana shamba. Sikujali. Tulivyotoka pale tukapita mlango unaofuata ulikuwa jiko la nje na stoo, akawa anaenda kwenye kile chumba cha nje. akaniita kuna issue nyingine niangalie. Kweli kifala fala si nikaenda. tumeingia ndani nakuta chumba kimetandikwa kitanda vizuri kabisa na kile chumba ni self buana weeeeh. akawa kama vile anatafuta kitu hakioni hatimaye akaurudishia mlango tukawa tunatazamana, kimya kikatawala kwa muda. Yule mwanamke inaonekana alikuwa na nyege sana na kama ni upweke basi alikuwa nao sana. Mi uvumilivu ulinishinda, kila body language ya huyu mwanamke iliashiria nachelewa kumpa atakacho. Ghafla tukajikuta midomo imeshakutana, mikono imeshapitishwa mwilini, mara paap tukajikuta kitandani. Ile style yake ya kunyonyana huku akihema ni speed ya mwendokasi. Katika sekunde chache nilijikuta tumeshavuana nguo kwa style ya kurusha kuleeeeee haijalishi imeenda kutua wapi, ili mradi imetoka mwilini. Ni ngumu kuelezea ile show ilikuwaje tamu lakini katika show tamu kuwahi kupiga ile lazima iingie tano bora. Na katika wanawake niliowapigisha squirt yule ni top three. Baada ya show tukapumzika kwa muda. Kilichonifikirisha hadi sasa ni kauli yake baada ya show tukiwa tumepumzika akasema "Mimi nakujua wewe muda mrefu tunapishanaga sana tu sema unajifanya huna time alaf hupendi kufahamiana na watu. Nakufahamu wewe, mkeo namfahamu si anaitwa .... na anafanya kazi ...". Sasa nimewaza sana hii kauli mbona nzito, kudate na mwanamke anayemfahamu mke wangu wakati mimi nilikuwa sijamfahamu nahisi nimejitia kitanzi.
Hapa, aliyeliwa kimasihara ni wewe..!!
 
Back
Top Bottom