Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] makumi elfu matano yote hayo!!?Ishakuwa biasharaa hapaaa
Nikiwa naomba mzigo akishaonesha kuwa pesa ni bora kuliko tendo lenyewe naishiwa mzuka kabisaDuh hola
shikamoo dadaUsinambiee wee.
Don’t do that Mama wawili, tupe vitu tujifunzeGuys naona weng MNA PM
Story ni ya kweli kabisa Ila kutokana na bullying and torture I decided to quit mtanisamehe
jamaniiiii tuendelee banaaa, watu wana mastress yao wanakuhamishiaGuys naona weng MNA PM
Story ni ya kweli kabisa Ila kutokana na bullying and torture I decided to quit mtanisamehe
Tuendelee mkuuGuys naona weng MNA PM
Story ni ya kweli kabisa Ila kutokana na bullying and torture I decided to quit mtanisamehe
No need to quit, ikikupendeza PM mwendelezoGuys naona weng MNA PM
Story ni ya kweli kabisa Ila kutokana na bullying and torture I decided to quit mtanisamehe
Huyo mwamba ni mimi, fungua pm!Hii niliponea chupu chupu.
Ni mwaka 2013 mwanzoni nilikuwa naenda shamba huko mafinga nikitokea dar.
Tulipofika mahali kabla ya chalinze gari ikaharibika. Tukashuka garini kwenda kungojea waamue tutakavyosafiri.
Kukawa na waauza chai na mihogo ng'ambo ya pili ya road.
Ndo nikakutana na mwanaume mmoja. Kweli tuliongea sana. Baada ya gari kutengemaa akanihamisha siti nikakaa naye karibu na mlango wa dereva. Duuu kule garini ni kama tulikosa hata pumzi yaani was zero distance.
Mzee akasema anafanya kazi kwa pilato. Nikapata mshtuko wa kwanza nikajua huwa hawakosi pisto kiunoni hawa loooh i may die today .... ooh my God.
Tuliendelea na safari yetu. Kweli alijitahidi kuweka mazingira ya kwenda kulala wote kituo kimoja baada ya mafinga mjini. Na mimi kwa kuona kuwa pale tumeshakolea kila mmoja na hamu nilikubali. Wakati wa kula tuko beneti mmmh.
Tulipofika mafinga mjini nikambonyeza koda wa ile basi nikashuka kama naenda kukojoa na safari yangu ikaishia pale.
Hata hivyo najua that man ni mwana jf pengine anasoma hapa.
But ukweli nilijiofia maisha yangu halafu nilikuwa na some cash money nikajua sitakuwa Salama but ...
Kisa cha pili was miaka ya 90s na mjeshi mmoja mkoani mbeya............. i'll be back.
Usiseme hivyooGuys naona weng MNA PM
Story ni ya kweli kabisa Ila kutokana na bullying and torture I decided to quit mtanisamehe
Nilijua tu hawa wapuuzi watakutoa kwenye mood... usifanye hivo banah.. wapuuze,, tumalizie banah tunaombaGuys naona weng MNA PM
Story ni ya kweli kabisa Ila kutokana na bullying and torture I decided to quit mtanisamehe
Umekutana na kahabaNilitaka nile kimasiharaa hapaaa ghaflaa napangwaaa 50k weeee shindwaaa pepooo