Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro kwani wanawake huwa wanaandikaje...? Au ndio huna demu hata wa kuzugiaMbona hajui kuandika.
Wivu wa kipemba[emoji30][emoji30][emoji30]
Sina demu, nina mke ambaye mume wake hajafa (mjane)Bro kwani wanawake huwa wanaandikaje...? Au ndio huna demu hata wa kuzugia
Mzee mbona unaniharibu kisaikolojia....? Unataka nisi pafomu fresh nnUtakachoenda pewa hutaamini braza.Yan utarud na uzi mrefu hapaa tena utaandika huku unalia .
Acha tusubiri.Kesho si ndio simba na yanga?? UTALIA MARA 2 AM TELLING U
[emoji23][emoji23][emoji23] hivo hivo mkuu ili mradi inasimama na kutoa stressUsinichukulie serious..
Sina demu, nina mke ambaye mume wake hajafa
Ungemuacha kwanza...tumwambie akirudi😂😂😂Utakachoenda pewa hutaamini braza.Yan utarud na uzi mrefu hapaa tena utaandika huku unalia .
Acha tusubiri.Kesho si ndio simba na yanga?? UTALIA MARA 2 AM TELLING U
Hiyo mechi weka asubuhi,[emoji23][emoji23][emoji23] hivo hivo mkuu ili mradi inasimama na kutoa stress
huyu yupo pale temeke karibia na hosp upande wa pili mwandiko wake mzuri anaandikia wino wa chini mkuu.Mbona hajui kuandika.
Wivu wa kipemba😩😩😩
Kwisha habari yako. Nasema tena umekwisha hii imeenda mazeeNi baada ya kumfanyia kazi yake vizuri ambayo amesumbuka nayo karibu nusu mwaka ila mimi nimemtatulia kwa siku mbili tu.
Mtoto alifurahi sana na akaleta ukaribu zaidi ya mteja ambao hata mimi mwenyewe nimeshindwa kuukataa. Kifupi sina nguvu za kubisha na kuukataa huu ukaribu.
Kwanza hakuna kinacho nigharimu kwa sababu kazi yake imenipa pesa nyingi sana yaani na mtoto kaona haitoshi kaona anipe na kibuyu cha asali.
Jaman uwaminifu unalipa, na ukiipenda kazi yako kama ndugu yetu insider man hivi vitu vipo.
Mtoto kama vanessa mdee una tumia njia gani kumkataa usile tunda lake eti jaman....? Tuwe serious kidogo. Fadhira muhimu [emoji39][emoji39][emoji39][emoji3060][emoji3060][emoji1635] jpili yangu imesha kuwa poa View attachment 2715465View attachment 2715466View attachment 2715467
Msimtishe kijana😂😂😂Kwisha habari yako. Nasema tena umekwisha hii imeenda mazee
Wadau si mnipe muongozo nisije rudi naliaMmh[emoji848][emoji848]......au basi nenda kwanza ukirudi uje nikwambie [emoji18][emoji119][emoji119]
Kumbe ndiye yule muandishi wa dozi ya UTIhuyu yupo pale temeke karibia na hosp upande wa pili mwandiko wake mzuri anaandikia wino wa chini mkuu.
Analeta ukurasa mzima wa saniJiheshimu basi....hujapewa tuna ushaleta uzi
Ukipewa je
Yaani mwanaume gani hana kabaAnaleta ukurasa mzima wa sani