Haha😂😂😂😂wewe sikuwezi ...ila jf hapana kwakweli 🤣🤣🤣🤣Soma iiyoò
Sikuiz nini? AhahahHaha😂😂😂😂wewe sikuwezi ...ila jf hapana kwakweli 🤣🤣🤣🤣
Nimesema sikuwezi rafiki yangu 😃Sikuiz nini? Ahahah
Ahahah embu ACHHA UMBEA WEWE ,TOT0 YA OLKOKOLAhahaha
kumbe ni android kweli
Husemagi hadi na jina je angekuwa dada akoMbona kimasihala watu wametoa shuhuda
AhahahahNimesema sikuwezi rafiki yangu 😃
Ulisahau kitu kimoja na wewe nitapata mawasiliano yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nime ku trap vizuri sana kwa sasa wewe sio unknown kwangu na ukileta ujinga nakulipua uichukie account yakoFuta screenshots,namba inaonekana wee falaaa.
Mimi tayari nimeihifadhi.
Utakachoenda pewa hutaamini braza.Yan utarud na uzi mrefu hapaa tena utaandika huku unalia .
Acha tusubiri.Kesho si ndio simba na yanga?? UTALIA MARA 2 AM TELLING U
Ulikua unavuta nao hizo bangiEquation x upo kama mtoa mada mmevuta bangi
Nani huyo jamani😂🤣,, usiniambie ni wa jf😊😊🤔Leejay49 kuna mtoto kampenda Mwachiluwi hadi raha yaani anampa hela sio mchezo saivi Mwachiluwi hadi anachelewa kazini aisee huyo mdada ni wa ukweli
Hii nayo ni mada?Ni baada ya kumfanyia kazi yake vizuri ambayo amesumbuka nayo karibu nusu mwaka ila mimi nimemtatulia kwa siku mbili tu.
Mtoto alifurahi sana na akaleta ukaribu zaidi ya mteja ambao hata mimi mwenyewe nimeshindwa kuukataa. Kifupi sina nguvu za kubisha na kuukataa huu ukaribu.
Kwanza hakuna kinacho nigharimu kwa sababu kazi yake imenipa pesa nyingi sana yaani na mtoto kaona haitoshi kaona anipe na kibuyu cha asali.
Jaman uwaminifu unalipa, na ukiipenda kazi yako kama ndugu yetu insider man hivi vitu vipo.
Mtoto kama vanessa mdee una tumia njia gani kumkataa usile tunda lake eti jaman....? Tuwe serious kidogo. Fadhira muhimu [emoji39][emoji39][emoji39][emoji3060][emoji3060][emoji1635] jpili yangu imesha kuwa poa View attachment 2715465View attachment 2715466View attachment 2715467