Sijui Mzee wewe ndo unajua na hao vijana na huyo rafiki yako sisi wengine tunatazama tuu.
Picha ikaanza siku ya kwanza vijana kama 70 hivi walimtafuta. Mtoto wa watu alistuka sana.

Picha ikachomwa na madomo zege wawili kwa kunikandia na kumpa kila kitu kinacho endelea huku kwa screenshots kila kitu. Kwa kuwa mrembo alikua anataka kujua nn kinaendelea akawakubalia na kujibebisha Kidogo tu aisee haya madomo zege yakaanza hadi kuhonga yakijua yamepata bebe [emoji23][emoji23][emoji23]

Mtoto wa kike akanitafuta nikampanga akapangika tukayaweka sawa yakaisha ikabaki kuwageuza watu wa jf vituko huku tukichekaa sana.

Kuna hadi kifanyakazi cha voda kimoja kika truck number na kuanza kumu updates sehemu anazo pita binti alipagawa kidogo na mimi nikaingia mitamboni nikakiona na kukijua kikala block kifie mbali na upwilu wake.

Siku ilio fata ndio ulikua mtihani mkubwa maana uzi ulihamishiwa kwenye kula tunda kimasihala hapa sasa watu zaidi ya Mia 4 walimtafia binti...binti alistuka zaidi na kutaka kwenda police ..............itaendelea
 
😒
 
we jamaa mambo ya sekondari yaache sekondari.
 
Manina
 
Kumbe mjomba sio mama
 
NAWEZAJE KUILA KIMASIAHARA HII PISI KALI

Hii piisi kali mwanzo kabsa nliomba namba ikanipa ila ikawa inanichomolea kila nikimrushia ndoano na chambo anakula chambo anatema ndowano.

Nikaomba apointiment mara ya kwanza ikasema tukutane sehemu ya wazi nikaona isiwe taabu siku ya simba day tukakutana pub akanitia hasara baada ya game tukasepa.
Kama mjuavyo mvuvi achoki hata atoke na dagaa mmoja badala ya samaki.

Wiki moja baadae nikaomba appointment ya kukutana Lodge maana siku ile nlikosa uhuru kwa kuihakikishia sitofanya chochote ispokuwa tutakaa tule tunywe na tuondoke
Baada ya kubembeleza kwingi hii pisi kali ikakubali kwa kusisitiza pia tusifanye chochote kama nlivyosema.

Wadau nipeni mbinu mazingira yapi niyaandae pale tutakapokuwa Lodge ili huyu asije nitia hasara tena maana nipo tayari hata akimind poa tu iwe mwanzo mwisho ila nimpelekee moto.

Maana nikimkosa na hii ndo itakuwa imeenda.

ushauriutakaopelelea niitafune kimasihara siku hio
 

Kakubali lodge unataka upewe mbinu gani. Lodge zimejengwa kwa kazi ya kulaza wageni na kutomb. Sasa wewe unaenda kulaza mgeni au ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…