Dumuzii
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,593
- 8,595
Picha ikaanza siku ya kwanza vijana kama 70 hivi walimtafuta. Mtoto wa watu alistuka sana.Sijui Mzee wewe ndo unajua na hao vijana na huyo rafiki yako sisi wengine tunatazama tuu.
Picha ikachomwa na madomo zege wawili kwa kunikandia na kumpa kila kitu kinacho endelea huku kwa screenshots kila kitu. Kwa kuwa mrembo alikua anataka kujua nn kinaendelea akawakubalia na kujibebisha Kidogo tu aisee haya madomo zege yakaanza hadi kuhonga yakijua yamepata bebe [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtoto wa kike akanitafuta nikampanga akapangika tukayaweka sawa yakaisha ikabaki kuwageuza watu wa jf vituko huku tukichekaa sana.
Kuna hadi kifanyakazi cha voda kimoja kika truck number na kuanza kumu updates sehemu anazo pita binti alipagawa kidogo na mimi nikaingia mitamboni nikakiona na kukijua kikala block kifie mbali na upwilu wake.
Siku ilio fata ndio ulikua mtihani mkubwa maana uzi ulihamishiwa kwenye kula tunda kimasihala hapa sasa watu zaidi ya Mia 4 walimtafia binti...binti alistuka zaidi na kutaka kwenda police ..............itaendelea