Mimi na wao bampa to bampa na hela zao wanazo jipendekeza kumpa manzi ili kuteka attention yake. Ndio hizi tunaunga mabando ya mwezi mzimaUsikubali kwanini waku overtake na wanajua huyo ni shemeji yao.[emoji35][emoji35]
Ni wewe tena.....? [emoji23][emoji23][emoji23] hivi babu zenu walivyo kuwa wanasema kuna watu wanauza ng'ombe kwa kesi ya kuku mlizani wanamaanisha nini.....? Baaaaasi mmeyakanyaga wadogo zanguUzi ushakua wa kuduanzi huu.
Huy jamaa etu punga nin[emoji23][emoji23][emoji23]Uzi ushakua wa kuduanzi huu.
We jamaa utakua msukuma make sio kwa huu ushamba. Anzisha mada yako pembeni unatujazia tu miamdishi yako watu tunaona page kibao tunakuja soma visa kumbe ni wewe na kinuka mkojo chako unakela bwanaLipo chini ya uwezo wangu halinisumbui ila vijana walio likoroga ndio litawasumbua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi na wao bampa to bampa na hela zao wanazo jipendekeza kumpa manzi ili kuteka attention yake. Ndio hizi tunaunga mabando ya mwezi mzima
Usianzshe ugomvi ukiwa hujachokozwaNgoja nikakununulie na butt plug sema unapenda rangi gani pink au red
Hahaaaaa, wasamehe bwana mkubwa.Ni wewe tena.....? [emoji23][emoji23][emoji23] hivi babu zenu walivyo kuwa wanasema kuna watu wanauza ng'ombe kwa kesi ya kuku mlizani wanamaanisha nini.....? Baaaaasi mmeyakanyaga wadogo zangu
Sihitaji kingine kutoka kwenu zaidi ya neno samahani.
Jana kimasihara nilibahatisha mwabamke bikra.
Ushapoteza Pambano kwa Binamu RozWakuu mwamba hapa anaimba na demu uyu vp kwa dalili hz atampata kweli [emoji3][emoji23]View attachment 2738330
Huyu ni bwege na anaandika kikekikeWakuu mwamba hapa anaimba na demu uyu vp kwa dalili hz atampata kweli [emoji3][emoji23]View attachment 2738330
[emoji2484][emoji2484][emoji2484][emoji2484][emoji2484]Nipe namba nimuulize [emoji3064]
Hii ni dem bikra nilipiga maana hamchelewe kusema ni tigo.[emoji2484][emoji2484][emoji2484][emoji2484][emoji2484]View attachment 2738663
Huku nikujitafutia laana tu zisizokuwa na maanaWakuu mko sawa [emoji848]
Moja kwa moja kwenye uzi.
Mi nimeoa mtoto mzuri sana kutoka singida mnyaturu. Kuna mdogo wake akasema anataka kuja kwa dada ake japo ajiendeleze na ufundi wa kushona...
Laana ikupate ww na familia yako kuanzia sasa.huku nikujitafutia laana tu zisizokuwa na maana
Sitii neno ila hizi tamaa mbqya sana [emoji125][emoji125][emoji125]huku nikujitafutia laana tu zisizokuwa na maana