Uzi ushakua wa kuduanzi huu.
Ni wewe tena.....? [emoji23][emoji23][emoji23] hivi babu zenu walivyo kuwa wanasema kuna watu wanauza ng'ombe kwa kesi ya kuku mlizani wanamaanisha nini.....? Baaaaasi mmeyakanyaga wadogo zangu


Sihitaji kingine kutoka kwenu zaidi ya neno samahani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…