Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wakuu Habari!

Juzi nikiwa nimekaa stand kwa jamaa angu mwenye kibanda Cha Mpesa tunabishana kuhusu vita ya Israel na Hamas.

Alitoka Binti mmoja age kati ya 18-23 akiomba Msaada kuwa mwenyeji wake hapatikani kwenye sim! Na Hana sehem ya kulala huku akiwa anaendelea kutafta namna ya kumpata mwenyeji wake.

Basi huruma iliniingia nikaenda kumlipia guest nikamtaftia na chakula then nikaridi zangu geto kwendelea na harakati zangu. Nilimwachia namba yangu kuwa akipata shida yoyote anitafte.

Kesho yake nikaona namba Inani beep kuipgia nikagundua kuwa ni yule Binti akinipa taarifa kuwa Hadi mida hio hajafanikiwa kumpata mwenyeji wake na guest wanamtaka aondoke, Huruma iliniingia nikamtumia Hela ya kulipia na ya chakula! Sio kubwa guest ya 5000 na chakula 4000 kwa siku nzima.

Aisee mwenyeji wake hakufanikiwa kumpata! Hadi leo Nikamsaidia kumtaftia kazi mgahawani Ili angalau apate nauli ya kumrdisha kwao Songea!

Juzi kanipgia sim akasema ana zawadi yangu Niko wapi aniletee! Nikamwelekeza akaja Geto! Zawadi yenyewe nikuwa amekuja kunipa tam kwa niliyomfanyia!!! Kwa roho yangu ya kifisi nisingekataa nimeifumua! Aisee watu wa Songea ni Mafundi.

Nimeamua nijenge kibanda kwa mambo nayoyapata! Ashukuriwe mwenyeji ambaye hapatikani kwenye sim.

Vp wakuu Kuna ambaye ashaokota Dodo stand kama Mimi? Share Experiance yako.

Nawasilisha.
Mkuu umesema wa songea sio?Jiandae kisaikolojia
 
Wakuu Habari!

Juzi nikiwa nimekaa stand kwa jamaa angu mwenye kibanda Cha Mpesa tunabishana kuhusu vita ya Israel na Hamas.

Alitoka Binti mmoja age kati ya 18-23 akiomba Msaada kuwa mwenyeji wake hapatikani kwenye sim! Na Hana sehem ya kulala huku akiwa anaendelea kutafta namna ya kumpata mwenyeji wake.

Basi huruma iliniingia nikaenda kumlipia guest nikamtaftia na chakula then nikaridi zangu geto kwendelea na harakati zangu. Nilimwachia namba yangu kuwa akipata shida yoyote anitafte.

Kesho yake nikaona namba Inani beep kuipgia nikagundua kuwa ni yule Binti akinipa taarifa kuwa Hadi mida hio hajafanikiwa kumpata mwenyeji wake na guest wanamtaka aondoke, Huruma iliniingia nikamtumia Hela ya kulipia na ya chakula! Sio kubwa guest ya 5000 na chakula 4000 kwa siku nzima.

Aisee mwenyeji wake hakufanikiwa kumpata! Hadi leo Nikamsaidia kumtaftia kazi mgahawani Ili angalau apate nauli ya kumrdisha kwao Songea!

Juzi kanipgia sim akasema ana zawadi yangu Niko wapi aniletee! Nikamwelekeza akaja Geto! Zawadi yenyewe nikuwa amekuja kunipa tam kwa niliyomfanyia!!! Kwa roho yangu ya kifisi nisingekataa nimeifumua! Aisee watu wa Songea ni Mafundi.

Nimeamua nijenge kibanda kwa mambo nayoyapata! Ashukuriwe mwenyeji ambaye hapatikani kwenye sim.

Vp wakuu Kuna ambaye ashaokota Dodo stand kama Mimi? Share Experiance yako.

Nawasilisha.
Jiandae kuibiwa... Ukitoka anaita kirikuu anasepa na furniture na tv yako ya nchi 32
 
Nimekoswa koswa kuliwa kimasihara na jirani yangu….Mimi ni me, shemeji yenu amesafiri sasa hizi apartment zetu za kupanga kuna kabint jirani ambako mara kwa mara kanakujaga shemeji yake akiwepo(shemeji yenu ana urafiki na dadaake) ……naona baada ya kufahamu shemeji yake amesafiri kakaanza kunitembelea mara hoo Concoo umesahau kufunga mlango…..nkakazuga nkakapotezea …mara ya pili kamenikuta nachek movie seblen kakanishika mabega na kuniangalia kwa macho kamelegeza…….nkazuga nmemaliza kuchek movie nasepa……mara ya tatu kamekuja ndan tuu nkatoka nje nkaanua nguo na kukaambia kuwa me nasepa kakimaliza kalichofuata kafunge mlango nkatoka nje kuwasha gari na kutokomea……nahitaji kujipongeza kwa hili maana kameshika adabu saiz hakana shobo tena …..wana masihara nakaribisha matusi yenu!!!
Chai
 
Nilivyo acha kumla kimasihara mrembo mmoja hapa Dar.

Mwezi uliopita nimetoka zangu nyanda za juu kusini. Tukaingia Moro kwa kuchelewa kidogo, saa 10 ndio tupo Msamvu stend. Nisafiripo huwa napenda sana kukaa siti za mbele pale nyuma ya dereva au pembeni yake. Kufika Msamvu, ikaingia pisi moja matata sana. Nikamshobolea na kumwambia akae karibu nami siti ya dirishani nyuma ya siti ile wanayokaaga staff.

Safari ikaanza, njiani nikawa kimya wala simuongeleshi napiga story na dereva na konda. Kufika Mikese akaanza niongelesha kuhusu foleni na story zikaanza hapo. Tukazoeana na nikaona kabisa huyu namla ila nikawa nampotezea.

Kufika Magufuli, ananiambia unaelekea wapi? nikamwambia kesho nina kikao na USAID wametuita nitashukia mwisho wa gari Shekilango na nitaenda kulala pale Rombo Green View kwani nilishaweka chumba. Naye akasema anashukia huko huko. Kufika shekilango saa 4 hivi. Nikampa simu akaandika namba yake, lakini wakati tunashuka kwenye gari naona ananifuata mi kimya na akawa anazuga kuona kama nitaondoka naye pamoja kwenye bodaboda. Ikabidi nimwambie, leo nitakuwa busy kumalizia presentation usiku huu so nitakucheki kesho baada ya kumaliza day 1 ambayo ninatakiwa kupresent. Akaondoka kwa shingo upande.

Baada ya kumaliza siku 4 za kikao niliporudi kwangu nikawa namcheki tu kujuliana hali, cha kwanza ni kuniambia yeye ni mkristo nami mkristo na dini hairuhusu kuoa mke zaidi ya mmoja maana aliangalia DP yangu Whatsapp nikiweka picha ya mke wangu na watoto. Ile pisi ni nzuri kwa kweli na ningekojolea sehemu nzuri sana. Sasa hivi mara airlock, mara Ani unblock mara anisuse mara anitafute yaani kupimana tu ila binafsi sina mzuka naye kwani umri wa mambo hayo ulishapita. Ingekuwa enzi za ujana wangu ningemlala siku ile ile.
Naomba namba zake inbox mkuu
 
Nimekoswa koswa kuliwa kimasihara na jirani yangu….Mimi ni me, shemeji yenu amesafiri sasa hizi apartment zetu za kupanga kuna kabint jirani ambako mara kwa mara kanakujaga shemeji yake akiwepo(shemeji yenu ana urafiki na dadaake) ……naona baada ya kufahamu shemeji yake amesafiri kakaanza kunitembelea mara hoo Concoo umesahau kufunga mlango…..nkakazuga nkakapotezea …mara ya pili kamenikuta nachek movie seblen kakanishika mabega na kuniangalia kwa macho kamelegeza…….nkazuga nmemaliza kuchek movie nasepa……mara ya tatu kamekuja ndan tuu nkatoka nje nkaanua nguo na kukaambia kuwa me nasepa kakimaliza kalichofuata kafunge mlango nkatoka nje kuwasha gari na kutokomea……nahitaji kujipongeza kwa hili maana kameshika adabu saiz hakana shobo tena …..wana masihara nakaribisha matusi yenu!!!
Unafeli kupita maelezo kiongozi
 
  • Thanks
Reactions: y-n
Wakuu Habari!

Juzi nikiwa nimekaa stand kwa jamaa angu mwenye kibanda Cha Mpesa tunabishana kuhusu vita ya Israel na Hamas.

Alitoka Binti mmoja age kati ya 18-23 akiomba Msaada kuwa mwenyeji wake hapatikani kwenye sim! Na Hana sehem ya kulala huku akiwa anaendelea kutafta namna ya kumpata mwenyeji wake.

Basi huruma iliniingia nikaenda kumlipia guest nikamtaftia na chakula then nikaridi zangu geto kwendelea na harakati zangu. Nilimwachia namba yangu kuwa akipata shida yoyote anitafte.

Kesho yake nikaona namba Inani beep kuipgia nikagundua kuwa ni yule Binti akinipa taarifa kuwa Hadi mida hio hajafanikiwa kumpata mwenyeji wake na guest wanamtaka aondoke, Huruma iliniingia nikamtumia Hela ya kulipia na ya chakula! Sio kubwa guest ya 5000 na chakula 4000 kwa siku nzima.

Aisee mwenyeji wake hakufanikiwa kumpata! Hadi leo Nikamsaidia kumtaftia kazi mgahawani Ili angalau apate nauli ya kumrdisha kwao Songea!

Juzi kanipgia sim akasema ana zawadi yangu Niko wapi aniletee! Nikamwelekeza akaja Geto! Zawadi yenyewe nikuwa amekuja kunipa tam kwa niliyomfanyia!!! Kwa roho yangu ya kifisi nisingekataa nimeifumua! Aisee watu wa Songea ni Mafundi.

Nimeamua nijenge kibanda kwa mambo nayoyapata! Ashukuriwe mwenyeji ambaye hapatikani kwenye sim.

Vp wakuu Kuna ambaye ashaokota Dodo stand kama Mimi? Share Experiance yako.

Nawasilisha.
Stendi kawaida mbn kwa siku tu huwezi kosa mbili tatu
 
Mwenzio aliokota hivohivo, Akapeleka Geto.

Week ya kwanza, ya pili, ya tatu mara mwezi

Mwezi wa kwanza, wa pili, wa tatu akamuamini yule mlupo akawa anamwacha geto anakuta demu kapika,kafua, kadeki.

Mwezi wa nne jamaa yuko zake mishe demu akakodi kirikuu akasomba mazaga yote geto akatokomea kusiko julikana.

Jamaa kufika geto alikutana na mwangwi.
[emoji3]
Et kskutana na mwangwi

Kwamba geto likawa empty ghfla
 
Nilivyo acha kumla kimasihara mrembo mmoja hapa Dar.

Mwezi uliopita nimetoka zangu nyanda za juu kusini. Tukaingia Moro kwa kuchelewa kidogo, saa 10 ndio tupo Msamvu stend. Nisafiripo huwa napenda sana kukaa siti za mbele pale nyuma ya dereva au pembeni yake. Kufika Msamvu, ikaingia pisi moja matata sana. Nikamshobolea na kumwambia akae karibu nami siti ya dirishani nyuma ya siti ile wanayokaaga staff.

Safari ikaanza, njiani nikawa kimya wala simuongeleshi napiga story na dereva na konda. Kufika Mikese akaanza niongelesha kuhusu foleni na story zikaanza hapo. Tukazoeana na nikaona kabisa huyu namla ila nikawa nampotezea.

Kufika Magufuli, ananiambia unaelekea wapi? nikamwambia kesho nina kikao na USAID wametuita nitashukia mwisho wa gari Shekilango na nitaenda kulala pale Rombo Green View kwani nilishaweka chumba. Naye akasema anashukia huko huko. Kufika shekilango saa 4 hivi. Nikampa simu akaandika namba yake, lakini wakati tunashuka kwenye gari naona ananifuata mi kimya na akawa anazuga kuona kama nitaondoka naye pamoja kwenye bodaboda. Ikabidi nimwambie, leo nitakuwa busy kumalizia presentation usiku huu so nitakucheki kesho baada ya kumaliza day 1 ambayo ninatakiwa kupresent. Akaondoka kwa shingo upande.

Baada ya kumaliza siku 4 za kikao niliporudi kwangu nikawa namcheki tu kujuliana hali, cha kwanza ni kuniambia yeye ni mkristo nami mkristo na dini hairuhusu kuoa mke zaidi ya mmoja maana aliangalia DP yangu Whatsapp nikiweka picha ya mke wangu na watoto. Ile pisi ni nzuri kwa kweli na ningekojolea sehemu nzuri sana. Sasa hivi mara airlock, mara Ani unblock mara anisuse mara anitafute yaani kupimana tu ila binafsi sina mzuka naye kwani umri wa mambo hayo ulishapita. Ingekuwa enzi za ujana wangu ningemlala siku ile ile.
Mara ya mwsho kibao cha wanaume ulihudhuris lini aisee
 
Back
Top Bottom