[emoji3] guilty yan nn mkuu, kwan wao hawana nyegeWANANGU NIMEMLA ALBINO JION YA LEO ni mtamu haswaa though I feel guilty
We falaa huyo kusah wa Geita au yupi? 🤣 Na Jay melo kudadadeki, hii gahwa kabisa imeipiku hata chai mr directorNiliwala dada, mdogo mtu pamoja na mama yao, pasipo kujuana, siku moja natoka zangu kufanya shooting ya song la kusah majira kama ya saa tisa hivi nikawa nimerudi hom nikiwa mimi, kusah pamoja na jay melo bas nimefika hom kipind nipo kivalandan na washkaj tunachek movi ya fast, mara hodi hodi kutoka nje ni jiran yangu mtoto kigori keupe paja lake asee masharah bas akawa kaniambia bro mr pipa nimekuja kuangalia mov mana now sina cha kufanya nikamwambia karibu ndani,, mara zuchu huyoo dah story ni ndefu afu kuandika story ndefu na jua kama hili mtihan oya wakuu namalizia baadae
Njoo unisimulie mimi kwanza 😅Nitakuja na mkasa wangu nilivyomla wife kimasihara😂
Nakuja!Njoo unisimulie mimi kwanza 😅
hii chai hii na haina sukari.Wakuu kama kuna mtu anafanya kazi tra bagamoyo anicheck tafadhali
Uje na full story, sio nusunusuNakuja!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]KIKAO CHA WANAUME.
Kikao cha wanaume kimeisha salama jana.
Kwa wale ambao hamkuweza kuhudhuria, kamati ya pesa na mahitaji tulitoa mapendekezo mapya.
Marejeo ya sheria ya kutohonga, kifungu cha 12, kilichokuwa kikisema hairuhusiwi kumpa hela mwanamke ambaye hujamuoa wala hujazaa nae.
Labda kwa shida maalum kama vocha ambayo anakupigia nayo mwenyewe..
Tumependekeza maboresho kadhaa..
Suala la kukutana ni la wote sio upande mmoja, hivyo kama mwanamke atataka kuonana na wewe, hana budi kutumia nauli yake kukufata..
Wakati wa kuondoka unaweza kumpa hela, lakini SIO LAZIMA.
Kikaoni pia tulizungumza kuhusu hela ya kutolea, na muafaka ukawa..
Kama wanataka hela ya kutolea basi waje nyumbani kuifata hela kamili, Tusiwanufaishe maboss wa Tigopesa na M-pesa tusiowajua.
Wale mabingwa wa jibu la "Kuna hela naisikilizia" wameongezwa katika kamati ya wajumbe waweka adhina..
Kila pesa ya chama chetu, itatunzwa na ubahiri wao,.
Adhabu kali itatolewa kwa wanaume wote ambao, walipotongoza na kukataliwa, wakaendelea kuwa na urafiki na mademu hao..
Kama amekukataa, futa namba na aache mazoea..
Sheria ya makosa yasiyosameheka, uhaini na jinai, yametanabaisha yafuatayo.
Kujibu kistaarabu text ya mwanamke anayekutafuta akiwa na shida pekee..
Kutomuazima mwenzio chumba, pale anapotaka kuleta manzi yake..
Kumkandia/ kumuaibisha mwanaume mwenzio, hili upendwe wewe..
Kulalamika, kulialia na kutia huruma inbox pale unapotumiwa text ya kuachwa.
Kumpokea kwa bashasha demu asiyefanana na snapchat yake,
Mwanamke ambaye kwenye edit za picha ni Rihanna, alafu live ni Josh Onyango, inasharutishwa aachwe stand ya daladala..
Upande wa pili..
Wale wadada ambao huwa wanatuambia wapo njiani wanakuja, hivyo kusabababisha sisi tufanye usafi wa kiwango kikubwa..
Na mwisho wa siku hawatokei, imependekezwa tuwaache mara moja bila kujali urembo wao..
Mjumbe aliyekumbwa na hali hii zaidi ya mara 1 aliuliza kwa jazba, "Kama hawawezi kuja gheto, kwenye harusi atakuja kweli?"
Mengineyo, tumefikia muafaka kuwa kama uwanja ni mkubwa basi Sharti ni kuzunguka round moja tu..
Yaliyoorodheshwa yafanyiwe kazi, Majukumu mema wanaume wenzangu.
Hakuna kabila la wambulu ila ni wairaqwiNi mmbulu bro
Haohao wapalestinaHakuna kabila la wambulu ila ni wairaqwi
Ngoja siku tukutafune uone kama utaleta hapa kuwa ni chaichai
Kwan huu uzi ni wa kupeana connection?Miguu yooote ni PM namba zake
Umekula mzigo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nitarudi Leo kina pisi Kali hapa kibandaumiza ni shabiki ya kolo kindaki ndaki .....Baada ya kukandwa mnara [emoji113] na Yanga .....
Inalia sana kiasi kwamba inashindwa hata kuinua kichwa ....so nmejifanya mwema nimeiombaa twende at a cool place tupoze mawazo .....kumbe Mimi mwanchi
Ntarudi kutoa kimasihara [emoji23][emoji23][emoji23]
Mnara [emoji113]
Duuuh! HongeraKuna sisi wengine maisha yetu yote ni kama tunakula kimasikhara tu.
Ijumaa nimepanda mwendokas kuna dada mmoja anaonekana ni mchaga yule tumebanana kweli yani safar nzima m-boo inamgusa kweny hips yake uvumilivu ukamshinda si akapitisha mkono kiuoga akaanza kuigusa gusa na kidole mzigo ukasimama akaniangalia usoni tukakutanisha macho..
Kufupisha strori yule dada alishuka kimara mwisho nikashuka nae alikua anaelekea sehemu moja ndani ndani uko millenia kama sijasahau tukapanda boda moja nimeshuka nae nimemsindikiza hadi karibu na anapoish mbaya zaidi tulipita maeneo yana vichaka na vijilima kama sio Dar na ajali ikatokea nikala kimasikhara vichakani nakili kwamba niliuza mechi na wala siwazi magonjwa kwasababu akili yangu kwa 98% inanambia nimetomber jini na najua majini hayana ngoma wala gono na alikua mtamu sio kawaida nimemuachia namba yangu na wala hajanitafuta
Sio msimuliaji mzuri nimeacha vitu vingi ila tuombeane tu ndugu zangu katika masikhara
Mkuu tuna subiri...Nitakuja na mkasa wangu nilivyomla wife kimasihara[emoji23]
Mkuu pale ulipoaacha namba yako ulikua unayategemea haya [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wahuni mna mipango yenu isiyoshindikanaWakuu Habari!
Juzi nikiwa nimekaa stand kwa jamaa angu mwenye kibanda Cha Mpesa tunabishana kuhusu vita ya Israel na Hamas.
Alitoka Binti mmoja age kati ya 18-23 akiomba Msaada kuwa mwenyeji wake hapatikani kwenye sim! Na Hana sehem ya kulala huku akiwa anaendelea kutafta namna ya kumpata mwenyeji wake.
Basi huruma iliniingia nikaenda kumlipia guest nikamtaftia na chakula then nikaridi zangu geto kwendelea na harakati zangu. Nilimwachia namba yangu kuwa akipata shida yoyote anitafte.
Kesho yake nikaona namba Inani beep kuipgia nikagundua kuwa ni yule Binti akinipa taarifa kuwa Hadi mida hio hajafanikiwa kumpata mwenyeji wake na guest wanamtaka aondoke, Huruma iliniingia nikamtumia Hela ya kulipia na ya chakula! Sio kubwa guest ya 5000 na chakula 4000 kwa siku nzima.
Aisee mwenyeji wake hakufanikiwa kumpata! Hadi leo Nikamsaidia kumtaftia kazi mgahawani Ili angalau apate nauli ya kumrdisha kwao Songea!
Juzi kanipgia sim akasema ana zawadi yangu Niko wapi aniletee! Nikamwelekeza akaja Geto! Zawadi yenyewe nikuwa amekuja kunipa tam kwa niliyomfanyia!!! Kwa roho yangu ya kifisi nisingekataa nimeifumua! Aisee watu wa Songea ni Mafundi.
Nimeamua nijenge kibanda kwa mambo nayoyapata! Ashukuriwe mwenyeji ambaye hapatikani kwenye sim.
Vp wakuu Kuna ambaye ashaokota Dodo stand kama Mimi? Share Experiance yako.
Nawasilisha.