We falaa huyo kusah wa Geita au yupi? 🤣 Na Jay melo kudadadeki, hii gahwa kabisa imeipiku hata chai mr director
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nitarudi Leo kina pisi Kali hapa kibandaumiza ni shabiki ya kolo kindaki ndaki .....Baada ya kukandwa mnara [emoji113] na Yanga .....

Inalia sana kiasi kwamba inashindwa hata kuinua kichwa ....so nmejifanya mwema nimeiombaa twende at a cool place tupoze mawazo .....kumbe Mimi mwanchi

Ntarudi kutoa kimasihara [emoji23][emoji23][emoji23]

Mnara [emoji113]
 
Umekula mzigo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duuuh! Hongera
 
Mkuu pale ulipoaacha namba yako ulikua unayategemea haya [emoji1787][emoji1787][emoji1787] wahuni mna mipango yenu isiyoshindikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…