Tafuta pesa Kaka.
 
Chai jaba.
 
CHAI
 
Huyu demu namjua yupo pale kwenye duka la vitenge
 
namjua ni mweupe haswa na ana kidoti katikati ya paji la uso... ni mfupi kiasi.... mzee ulifaidi sana
 
Uzi umepoa,leteni visa yani hata safari za mabasi za usiku ima maana hazijazalisha kimasihara?
Katikati ya mwezi Novemba nilikuwa nimeenda Arusha kikazi kwa siku tatu. Siku ya tatu nilijua nitamaliza mapema hivyo ningeondoka na basi za mchana zinatoka nairobi. Haikuwa kama ilivyodhaniwa shughuli haikuwa kama nilivyodhani. Tulimaliza saa tisa mchana na dk. Lodge nilishacheck out ikabidi niende ofisi za BM kuangalia basi za usiku maana sikuona sababu ya kulala. Nikapata basi la moja usiku. Nikaenda mahali nikachill ilipofika saa 12 na nusu nikaenda Ofisi za BM tayari kwa ajili ya kupanda basi. Nikiwa katika pilika pilika za kupanda basi nikaonana sister duu mmoja, pisi kali ya kisambaa nayo ilikuwa njia moja na basi moja nami. Pisi hii miaka kama minne iliyopita iliwahi kuja ofisi kwetu na kufanya internship training kwa miezi sita yeye na wenzake wawili walipangwa katika idara yangu. Pamoja na kuwa enzi alikuwa pisi kali na anawaka niliepuka kumzoea kwa sababu mbili mosi ilikuwa ni chakula cha boss hivyo sikutaka kuingia kwenye bifu na boss wangu, na pili nilikuwa nakwepa kubebeshwa majukumu ya kusomesha mwanachuo.
Alipoona niona alikuja akanivaa na kunikumbatia kwa nguvu sana. Akaniuliza upo Arusha kumbe? Nikamwambia nimekuja kikazi bado nipo palepale uliponiacha. Namba zake nilikuwa nazo sema sikuwa na kawaida ya kuwasiliana naye.
Tukaingia kwenye basi mimi nilikuwa siti za nyuma nyuma 44 yeye alikuwa mbele siti za single digit. Ikabidi aswap siti na jirani yangu ili tukae pamoja. Safari ikaanza mimi nilikuwa nimevaa tshirt, AC ilipopuliza nikaanza kuona baridi inaninyanyasa naye akaona jinsi navyopata shida, yeye alikuwa na mtandio fulani hivi mzito. Akanihurumia akaniambia tujifunike wote mtandio ni mkubwa. Hili lilikuwa ni kosa kwake.
Tukajifunika wote. Yeye alikuwa amevaa skin jeans nyeusi na juu amevaa top fulani iliyoacha mabega wazi na pia alikuwa akijivuta kidogo tu tumbo au kiuno kinakuwa wazi. Tukiwa tumejifunika pamoja nikawa nafeel joto lake kichwa cha chini kikaanza kushika hatamu. Kuna kipindi nilipitiwa na usingizi nikaja kushtuka tuko Hedaru tukiwa bado tumejifunika pamoja, yeye kalala juu ya mapaja yangu kwa upande(kiubavu) mkono wangu mmoja ulikuwa tumboni kwake.
Baada ya kushtuka ikabidi niutoe mkono wangu. Kumbe hakuwa usingizini maana nilipoutoa akaushika na kuurudisha. Hapo nikapata confidence za kupenya zaidi. Nikapenyeza hadi kwenye matiti nikawa nayachezea. Nilikuwa nikitoa mkono hata kuongea na simu kwa muda ilikuwa lazima autafute. Muda wote ndani ya basi ni giza pia nilikuwa nafanya kwa umakini bila kuchezesha mkono wote ni kiganja na vidole tu ndiyo vilikuwa vikifanya kazi.
Tulipofika Mombo ilibidi nikae kwanza kwa muda ili kichwa cha chini kitulie ndiyo nishuke.
Tuliporejea mambo yalikuwa ni yale yale na isingekuwa kujitambua kwangu ningemaliza kazi mlemle. Nilipaswa kushuka Tegeta lakini ikabidi niende mpaka mwisho wa gari Shekilango, tulishuka ikiwa ni majira ya tisa alfajiri tukachukua bajaji akatupeleka lodge maeneo ya Sinza. Kuingia room demu kaweka msimamo no condom no sex ikabidi niende mapokezi .. mapokezi hawana condom japo mhudumu akaomba hela akaninunulie nje sikutaka kuhoji atapata wapi usiku huo. Dk tano nyingi kaleta pakt tatu. Nikarudi room nikamkuta amekaa kitandani nikajifanya nimekosa. Akakaza kuwa anaondoka, nikamwambia kuwa nitaondoka mimi wewe baki but give me a kiss please before I leave.
Nilipiga kiss kali sana bidada alikuwa na alikuwa na ugwadu balaa, mwenyewe akalala kitandani. Dk tano nyingi hakuna mtu aliyebaki na nguo hata moja.
Nilipomweka sawa ili niingie akabana miguu akasema, siwezi, siwezi tutafanya kesho please.
Nilivuta condom na kumuonyesha akasema si ulisema umekosa.? Nikamwambia nilikuwa nakutania.
Aisee huyo mdada apewe maua yake, tight pusy, yuko flexible, ana passion si mchezo. Almanusura nimwage hadi ubongo....
Nina familia, mdada ana jamaa yake wako kwenye serious relationship.
Natamani sana kufanya rematch naye...
 
Naam [emoji91]
 
ngoja tuanze safari za usiku,
 
Ukiona mwanaume anasema i will never look for another women aisee ujue shit is so deep! Hongera kwa kumpata anayekufaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…