Kuna hii ilinitokea miaka mitatu imepita japo haijakaa kimasihara sana.
Nilisafiri kwenda kwa mwanamke wangu nikaingia mida ya jioni saa 2 usiku. Nikamkuta yuko na rafiki yake, ndo nikaja kugundua wote ni kabila moja. Demu wnagu ni mweupe pisi safi ngozi nyororo, ila huyo rafiki yake ni maji ya kunde nayo ngoi nyororo, mchangamfu sana kuliko demu wangu. Kwa muda wa kama dk 40 tuiliyokaa pale tukisubiri kula kabla hajaondoka na kutuaga, alinizoea utadhani yeye ndo mtu wangu. Huyu wa kwangu yeye hakuwa mzungumzaji sana. Sasa ile hali ilinivuriga sana kichwani alafu uvaaji wake ulifanya nimchore vzuri uumbaji wake shepu lake likanivuruga kiaina. Basi buana baada ya kupata msosi bidada akamuaga shosti yake kwa kilugha chao. Ambacho walikosea walidani mm sisikii wanachoongea, kumbe hicho kilugha chao nakifahamu vizuri tu sema kuongea kwa ufasaha ndo changamoto. Wakati huyu shem anatoka alimsemesha demu wangu (kwa tafsiri ya lugha yao "usiku mwema mwaya, najua leo patachimbika, ikiwezekana nibakizie kidogo na mimi nionje" Nilijua ni utani wao so sikutaka kushtuka, nikajifanya sijasikia lolote. Kweli usiku tuligaragazana vya kutosha. Kesho yake nikawa nipo tu nimejipumzikia na kundelea kutafuna cheupe ngozi nyororo.
Sasa Wakati demu wangu anagangaika na kufua mara kupika, alisahau simu kitandani, nikaichukua, nikazama kwenye sms na whatsaap kukagua kinachoendelea huko. Akili yangu ilikuwa kuona kama naibiwa au la. Kumbe nikakutana amechat sana na yule best yake aliyekuja jana. Moja ya sms niliyokuta shem anamwambia dem wangu et jamani hujanibakizia hata kidogo huyo handsome wako aje anikojolee? alaf nakuta sms inasindikizwa na emoji za mahaba. Huyu naye akajibu, "kumaliza siwezi maana huyu shughuli yake nzito, hata ukija anatupiga 3some, sema nakuogopa usije ukatuambukiza UTI. si unaona jana kaja na kuku mzima, hapa mwendo wa supu na kut***bana.." anaisindikiza tena sms na viemoj vya kejeli. Shost anajibu "jamani nyege zitaniua sasa. basi msalimie nitakuja msimmalize huyo kuku".
Zile sms ziliniamsha hisia zangu upya, ikawa kama picha ya shem inanijia kichwani, najivutia picha kama niko naye namkula. Ghafla nikapata wazo nikaiiba ile namba nikaisevu. Baada ya siku 3 nikasafiri. baada ya kama wiki nikajilipua kumtafuta. Baada ya kujitambulisha nikamwambia nilichukua namba kwa simu ya cheupe wangu, ila sitaki ajue kama nina namba yako, na sitaki ajue kama nawasiliana na wewe maana kuna kitu nataka nikuulize ambacho yeye hatakiwi ajue. akawa anasita sita ila baadaye akakubali. Nikamwacha kwanza, ikawa mimi na yeye ni salamu za hapa na pale, mara sms za kuforward, kuna pindi anasema hana vocha namtumia anajiunga whatsaap. nikawa namleta taratibu hadi ajae kwenye 18.
Baada ya wiki nikapata safari ya kikazi ambayo napita mji waliopo, naenda mji wa mbele yake. Nikamtafuta huyu shem kiutani utani. nikamwambia ila cheupe asijue kama nina hii safari maana atafosi nikalale kwake na mm niko bize. Nilipomaliza kazi ya ile safari nikamcheki tena kama vile namuaga kuwa kesho narudi kesho kazini. Kufupisha story, nikamshawishi kuwa kuna mambo nataka niongee na ww ambavyo cheupe hatakiwi kujua nitakuonaje? akasema basi niende nikalale huko ili tuonane ili siku itayofuata niendelee na safari kurudi job kwangu. Bila hiyana nikaenda. Nikatafuta lodge nikamwita akaja, nikamla siku 2 nzima yule mtoto mshenzi anajua mapenzi kuliko cheupe wangu alaf ana fujo kitandani hata kama huna hisia unasimamisha.
Nilisafiri kwenda kwa mwanamke wangu nikaingia mida ya jioni saa 2 usiku. Nikamkuta yuko na rafiki yake, ndo nikaja kugundua wote ni kabila moja. Demu wnagu ni mweupe pisi safi ngozi nyororo, ila huyo rafiki yake ni maji ya kunde nayo ngoi nyororo, mchangamfu sana kuliko demu wangu. Kwa muda wa kama dk 40 tuiliyokaa pale tukisubiri kula kabla hajaondoka na kutuaga, alinizoea utadhani yeye ndo mtu wangu. Huyu wa kwangu yeye hakuwa mzungumzaji sana. Sasa ile hali ilinivuriga sana kichwani alafu uvaaji wake ulifanya nimchore vzuri uumbaji wake shepu lake likanivuruga kiaina. Basi buana baada ya kupata msosi bidada akamuaga shosti yake kwa kilugha chao. Ambacho walikosea walidani mm sisikii wanachoongea, kumbe hicho kilugha chao nakifahamu vizuri tu sema kuongea kwa ufasaha ndo changamoto. Wakati huyu shem anatoka alimsemesha demu wangu (kwa tafsiri ya lugha yao "usiku mwema mwaya, najua leo patachimbika, ikiwezekana nibakizie kidogo na mimi nionje" Nilijua ni utani wao so sikutaka kushtuka, nikajifanya sijasikia lolote. Kweli usiku tuligaragazana vya kutosha. Kesho yake nikawa nipo tu nimejipumzikia na kundelea kutafuna cheupe ngozi nyororo.
Sasa Wakati demu wangu anagangaika na kufua mara kupika, alisahau simu kitandani, nikaichukua, nikazama kwenye sms na whatsaap kukagua kinachoendelea huko. Akili yangu ilikuwa kuona kama naibiwa au la. Kumbe nikakutana amechat sana na yule best yake aliyekuja jana. Moja ya sms niliyokuta shem anamwambia dem wangu et jamani hujanibakizia hata kidogo huyo handsome wako aje anikojolee? alaf nakuta sms inasindikizwa na emoji za mahaba. Huyu naye akajibu, "kumaliza siwezi maana huyu shughuli yake nzito, hata ukija anatupiga 3some, sema nakuogopa usije ukatuambukiza UTI. si unaona jana kaja na kuku mzima, hapa mwendo wa supu na kut***bana.." anaisindikiza tena sms na viemoj vya kejeli. Shost anajibu "jamani nyege zitaniua sasa. basi msalimie nitakuja msimmalize huyo kuku".
Zile sms ziliniamsha hisia zangu upya, ikawa kama picha ya shem inanijia kichwani, najivutia picha kama niko naye namkula. Ghafla nikapata wazo nikaiiba ile namba nikaisevu. Baada ya siku 3 nikasafiri. baada ya kama wiki nikajilipua kumtafuta. Baada ya kujitambulisha nikamwambia nilichukua namba kwa simu ya cheupe wangu, ila sitaki ajue kama nina namba yako, na sitaki ajue kama nawasiliana na wewe maana kuna kitu nataka nikuulize ambacho yeye hatakiwi ajue. akawa anasita sita ila baadaye akakubali. Nikamwacha kwanza, ikawa mimi na yeye ni salamu za hapa na pale, mara sms za kuforward, kuna pindi anasema hana vocha namtumia anajiunga whatsaap. nikawa namleta taratibu hadi ajae kwenye 18.
Baada ya wiki nikapata safari ya kikazi ambayo napita mji waliopo, naenda mji wa mbele yake. Nikamtafuta huyu shem kiutani utani. nikamwambia ila cheupe asijue kama nina hii safari maana atafosi nikalale kwake na mm niko bize. Nilipomaliza kazi ya ile safari nikamcheki tena kama vile namuaga kuwa kesho narudi kesho kazini. Kufupisha story, nikamshawishi kuwa kuna mambo nataka niongee na ww ambavyo cheupe hatakiwi kujua nitakuonaje? akasema basi niende nikalale huko ili tuonane ili siku itayofuata niendelee na safari kurudi job kwangu. Bila hiyana nikaenda. Nikatafuta lodge nikamwita akaja, nikamla siku 2 nzima yule mtoto mshenzi anajua mapenzi kuliko cheupe wangu alaf ana fujo kitandani hata kama huna hisia unasimamisha.