Chai
 
hv ni mm peke yangu ninayeona kama watu wengi wanasimulia visa vya kulala na Malaya kwa kulengeshewa halafu wanajisifia??
 
[emoji16][emoji16][emoji16] ndugu yake na cocastic. Wako kwenye kile chama cha Peke yao
Rhabhekhaaaaaaa!!!!

Usiwee unanitajaa taja, utaniharibiaaa ndoa yangu.
Nilikukatazaaa husikiii, mume wangu yupo humu
Anahisi mie nawee tunajuana, kumbe hata ukucha wako sijawahi uona, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Rhabhekhaaaaaaa!!!!

Usiwee unanitajaa taja, utaniharibiaaa ndoa yangu.
Nilikukatazaaa husikiii, mume wangu yupo humu
Anahisi mie nawee tunajuana, kumbe hata ukucha wako sijawahi uona, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahahaha cocastic yupo kwenye ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…