Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Lengo lako la kutunga stori ya uongo kama hii ni kutaka kuonyesha kuwa wanawake wa mtwara hasa wamakonde ni malaya kumbe sio kweli kabisa kwasababu kama ingekuwa hivyo kuanzia hapa mtwara mjini pale kwa lipaja ambako ni danguro tungewakuta wamakonde tupu ila chakushangaza ni ngumu kumkuta mwanamke wa kimakonde pale na hata ukienda kwa brother Y napo hautakuta mwanamke wa kimakonde pale na hata ukienda Bar ya shooters napo haukuti mmakondè hata mmoja ndio huwa najiuliza umalaya wa ndugu zangu hawa huwa wanaufanyia wapi?
Wamakonde na watu wa Lindi sio Malaya ila wa mishow ya kuvunja Chaga

Ngono kwao ni starehe na wanaimudu kweli
Ukiwa mjwa mirinda Kwa show zao hutoboi
 
Ndugu wazinzi mko poa [emoji1]...Naombeni dua zenu jamn Shemeji yenu amesafiri alafu amekaa na jamaa mmoja iv [emoji2] asa nikiwaza na mastory ya umu na ivi viumbe vilivyo nabaki naumia tu ...Leo ndio nimeamin kuwa mkuki kwa ngurue ila kwa binadamu n mchungu [emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio ndio
 
Tanga ipi?
Yanayosemwa mengi kuhusu Tanga,hakuna uhalisia.Sidhani mtu wa Magoma,Lushoto n.k kama kuna hayo mambo.
Ukisema Tanga wanajua mahaba maana yake tanga mjini pale sahare, kwakidira, nguvumali

Pale Kwa wadigo wenye mwingiliano na wa mombasa

Sio huko pembezoni sijui lushoto Kwa ndugu zetu wasambaa korogwe sijui magoma huko hamna kitu zaidi ya watoto weupeee....
 
Back
Top Bottom