pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,559
kwakweli tembea uyaone mambo ni mengi mno pale unapodhani umeyaona yote 😎 😎 😎
Mkuu kuna wakati unajiona umemaliza...kumbe hata hujaanza yaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwakweli tembea uyaone mambo ni mengi mno pale unapodhani umeyaona yote 😎 😎 😎
kwani ni lazima kwa kila kiumbe hai kusoma elimu ya chuo, hapo ndio huwa mna- fail sasa[emoji849]wewe umesoma chuo gani mzee? labda wewe ulikuwa hujichanganyi tu
mimi sijasema ni lazma mkuu ila nimekuuliza kulingana na maelezo yako ya awalikwani ni lazima kwa kila kiumbe hai kusoma elimu ya chuo, hapo ndio huwa mna- fail sasa[emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio chai mkuu kilichonibeba nina mwli wa ukakamavu wengi huwa wanadhan mm n mjeda.Hahahhahahahahh chai kabsa
sasa mtu anafaidika vipi na video call?..Umeamua kumuita Master sasa. Kuna channel ya telegram nilipata link kwenye uzi wa Biashara za Badoo kuna majamaa mawili yanasifiwa kwa kufanya video call na warembo wa mule. Wale ni nyinyi 100%
Alishakuona bwegeBinti akishakuwa rafiki jua umeshapoteza asilimia 70 za kumgegeda.
Miaka ile kuna binti mmoja nilimfanya rafiki, anaweza kuja chumbani kwangu akalala na chupi tu, na nikiomba mzigo hanipi ataishia kunizingua tu. Wakati mwingine wewe unatengeneza urafiki anatokea mwamba anakula mzigo kiulaini kabisa. Kula tunda kwanza urafiki uje baadaye.
[emoji23][emoji849][emoji23]Wewe jamaa kilaza sana. Sasa si alishusha pajama.
Ulifaulu kweli wewe?!
aaah kumbe kuna group kabisa telegram..me nahangaika mpaka ngatwa na mbu bar!!..
Kama una nafasi wambie tunasubiri story yaoDah!! Jana niliona tukio hilo saa 7 za mchana jamaa anakula tunda kimasihara pale Millennium tower, tena mwanamke anapete ya ndoa mkononi,Kwenye hizi office kuna mengi sana yanaendelea...!! Nadhani yule baharia au yule dada kama wapo humu basi wajue niliwaona.
Kuna zile college zina wanachuo Mia moja chuo kizima.waliosoma kwenye Universities kwenye maelfu ya wanachuo haya mambo ni ya kawaida sana.wewe umesoma chuo gani mzee? labda wewe ulikuwa hujichanganyi tu