Usi hangaike, huyo binti yetu๐Ÿ˜†๐Ÿค“
View attachment 2928068

ana stress pia za kuachiwa watoto na mumewe.
 
Team VAR tujuane hapa.

1. Juzi kati. Leo Ijumaa, juzi Jumatano.
Sasa juzi kati nilikua home mida ya mchana , akaja akanisalimia kwa heshima na kuniomba nimsikilize,
2. Kwa wiki. Which week?
Kazi haikua kubwa kiufupi Hadi sasa najilia mke wa mtu kwa 20000 tu kwa wiki Nampa pesa ya rejesho
 
Tuna kizazi cha hovyo sana
 
Isijekuwa wee ndo unaliwa
 
Achana na huyo mwanamke,utakuja juta,ukiendelea naye,kama ni.kweli usemayo
 
Mke wa mtu ni sumu, ukiwa unatembea nae jitahid uwe na kilainishi maana ukikamatwa hautoachwa salama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ