hearly, ]aaah kumbe kuna group kabisa telegram..me nahangaika mpaka ngatwa na mbu bar!!..
 
Umeamua kumuita Master sasa. Kuna channel ya telegram nilipata link kwenye uzi wa Biashara za Badoo kuna majamaa mawili yanasifiwa kwa kufanya video call na warembo wa mule. Wale ni nyinyi 100%
sasa mtu anafaidika vipi na video call?..
 
Alishakuona bwege
 
Nashangaa huyo ndugu yako..ana group kabisa lakini cha ajabu hataki kuku connect..sijui anakuogopa kuwa utamlia machicks wake
aaah kumbe kuna group kabisa telegram..me nahangaika mpaka ngatwa na mbu bar!!..
 
Kama una nafasi wambie tunasubiri story yao

Mwezi wa ku refresh huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…